<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872</id><updated>2012-01-03T15:54:12.522+03:30</updated><title type='text'>Kona ya Afya</title><subtitle type='html'></subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><link rel='next' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default?start-index=101&amp;max-results=100'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>206</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-68952895805561163</id><published>2011-10-19T15:52:00.002+03:30</published><updated>2011-10-19T16:01:21.154+03:30</updated><title type='text'>Majaribio ya chanjo ya kwanza ya malaria  duniani yaonyesha mafanikio</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-xC72_s_1YF0/Tp7DBPFFwoI/AAAAAAAAAnw/-2y--xe5dnI/s1600/malaria-600.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 250px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-xC72_s_1YF0/Tp7DBPFFwoI/AAAAAAAAAnw/-2y--xe5dnI/s400/malaria-600.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5665179807273828994" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Majaribio ya chanjo ya ugonjwa wa malaria yameonyesha mafanikio na hivyo kuleta matumaini kuwa huenda gonjwa hilo sugu linalohatarisha maisha ya mamilioni ya watoto barani Afrika likapatiwa chanjo kwa mara ya kwanza duniani.  Taarifa kuhusu awamu za mwisho za majaribio ya chanjo hiyo inayotengenezwa na shirika la GlaxoSmithKline zilitangaza Jumanne ya wiki hii na kuonyesha kwamba ina uwezo wa kuulinda mwili dhidi ya malaria kwa watoto wenye umri wa miezi mitano hadi 17. Andrew Witty Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo la kutengeza dawa la Uingereza ambalo limetengeneza chanjo hiyo amesema kwamba, mafanikio hayo yanaonyesha kuwa hivi karibuni dunia kwa mara ya kwanza itaweza kupata chanjo ya ugonjwa wa Malaria. Hata hivyo sambamba na kusifu mafanikio hayo Bw. Witty amesisitiza kwamba wanasayansi wanaoshulighulia ugonjwa huo na wataalamu wa masuala ya afya ulimwenguni kote bado wanasisitiza kwamba chanjo hiyo inayojulikana kana RTS,S au Mosquirix bado sio njia ya haraka ya kutokomeza malaria. Licha ya hayo inaelezwa kuwa chanjo hiyo ya aina ya sindano haina athari sana katika kuzuia ugonjwa wa malaria ikilinganishwa na chanjo nyingine kama vile za ugonjwa wa polio na ndui. &lt;br /&gt;Gonjwa la malaria bado ni janga kubwa kwa nchi nyingi duniani hasa za Afrika zilizo chini ya Jangwa la Sahara na kila mwaka hupelekea vifo vya watu wengi kwenye nchi hizo hasa watoto wenye umri wa chini ya  miaka mitano. Chanjo sio changamoto pekee inayowakabili wataalamu wa masuala ya afya na tiba duniani katika kupambana na malaria bali tiba ya ugonjwa huo pia imekuwa ikibadilika mara kwa mara kutokana na vidudu vya ugonjwa huo kujibadili na kuzishinda nguvu dawa zinazotengeneza za kutibu ugonjwa huo. Kwa ajili hiyo madaktari na wataalamu wamekuwa wakishauri kutumiwa zaidi tiba ya dawa mseto katika kutibu malaria kuliko dawa moja pekee. Njia nyingine za kujilinda na malaria ni pamoja na kutumia chandarua, kupiga dawa za kuua mbu na kuyaweka mazingira tuishiyo katika hali ya usafi bila kuwepo vindimbwi vya maji na kuzungukwa na vichaka suala ambalo husababisha mbu wazaane. &lt;br /&gt;Ingawa habari hii ni mafanikio makubwa yanayopaswa kupigiwa makofi na wadau wote wa masuala ya afya na tiba lakini, shaka yangu mie ni kuwa, hata kama chanjo hiyo ikianza kufanya kazi kesho lakini je, watoto wote wa bara Afrika wataweza kupatiwa chanjo hiyo na kuepusha na vifo vya holela vinavyosababishwa na malaria? Au isije ikawa hadithi zile zile za chanjo ya polio na ndui ambazo zimekuwepo kwa miongo mingi lakini mpaka leo bado kuna watoto wa Kiafrika wasiopatiwa chanjo hizo kutokana na sababu mbalimbali.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-68952895805561163?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/68952895805561163/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=68952895805561163' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/68952895805561163'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/68952895805561163'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2011/10/majaribio-ya-chanjo-ya-kwanza-ya.html' title='Majaribio ya chanjo ya kwanza ya malaria  duniani yaonyesha mafanikio'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-xC72_s_1YF0/Tp7DBPFFwoI/AAAAAAAAAnw/-2y--xe5dnI/s72-c/malaria-600.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-1123218704619206194</id><published>2011-10-16T11:24:00.001+03:30</published><updated>2011-10-16T11:28:15.548+03:30</updated><title type='text'>Kila siku faida za Folic Acid zazidi kugunduliwa</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-5my1YTfCvE8/TpqOiYouiFI/AAAAAAAAAnY/H-MrfgLZ6r0/s1600/Folic.jpg"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-5my1YTfCvE8/TpqOiYouiFI/AAAAAAAAAnY/H-MrfgLZ6r0/s400/Folic.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5663996202751789138" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Katika hali ambayo muda mrefu imekuwa ikifahamika kwamba   dawa za folic acid zinazotakiwa kuliwa na mama wajawazito zina faida kemkem kwa watoto wanozaliwa, wataalamu hivi karibuni wameendelea kufahamu umuhimu wake zaidi.  Siku zote kina mama wajawazito wamekuwa wakishauriwa kula folic acid miezi mitatu kabla ya kushika mimba, na pia kwa miezi kadhaa wakati wa ujauzito. Utafiti wa hivi karibuni umeonyesha kwamba watoto ambao mama zao walikula folic acid kabla na wakati wa ujauzito kwa kiasi kikubwa huwa hawachelewi kuzungumza. Uchunguzi huo uliofanywa huko Norway kwa kuwashirikisha wanawake 40,000 umebainisha kwamba wale ambao hawakula folic acid kabla na wakati walipokuwa na mimba wana uwezekano mara dufu wa kuzaa watoto wenye matatizo ya kuchelewa kuongea kuliko waliokula. Kwa mujibu wa utafiti huo uliochapisha kwenye Jarida la Marekani la Taasisis ya Tiba (JAMA) kula folic acidi wiki 4 kabla ya ujauzito na kuendelea hadi wiki 8 baada ya kutungwa mimba husaidia kupunguza hatari ya watoto kushindwa kuongea hata wanapofikia miaka mitatu. Ingawa wataalamu wamekiri hawajui ni namna gani folic acid inazuia watoto kuchelewa kuongea lakini wanasema, kuna uwezekano dawa hizo zikawa zinataathira katika mfumo wa neva na kuzuia tatizo hilo lisitokee. &lt;br /&gt;Folic acid ni miongoni mwa tembe zinazohusiwa sana mama wajawazito kula, kwani inajulikana kuwa zinazuia watoto wachanga kuzaliwa wakiwa na ugonjwa unaoitwa 'neural tube defects' ambao ni matatizo katika sehemu ya chini ya ute wa mgongo ambapo mtoto mchanga huzaliwa huku ubongo wake ukiwa haukukua kabisa. Lakini ingawa hayo yote yanajuliakana shaka yangu ni kuwa je, mama wajawazito katika nchi zetu wanajua hilo au je, wanaelimusha juu ya umuhimu wa kula folic acid? Nadhani ni jukumu langu mie na wewe kuielimisha jamii.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-1123218704619206194?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/1123218704619206194/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=1123218704619206194' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1123218704619206194'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1123218704619206194'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2011/10/kila-siku-faida-za-folic-acid-zazidi.html' title='Kila siku faida za Folic Acid zazidi kugunduliwa'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-5my1YTfCvE8/TpqOiYouiFI/AAAAAAAAAnY/H-MrfgLZ6r0/s72-c/Folic.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-2621358074110586093</id><published>2011-01-22T12:36:00.004+03:30</published><updated>2011-01-23T11:29:19.071+03:30</updated><title type='text'>Tatizo la kukosa choo watoto wadogo au kuwa na choo kigumu na jinsi ya kulitatua</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TTvfzewPw6I/AAAAAAAAAnI/CPtDLt-J0lI/s1600/kukosa%2Bchoo%2Bwatoto.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 266px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TTvfzewPw6I/AAAAAAAAAnI/CPtDLt-J0lI/s400/kukosa%2Bchoo%2Bwatoto.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5565287840068125602" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Tatizo la kukosa choo watoto wadogo au kuwa na choo kigumu na jinsi ya kulitatua&lt;br /&gt;Watoto wadogo hasa wale ambao bado wananyonya na ndio kwanza wamenzishwa vyakula vinginevyo zaidi ya maziwa, mara nyingi hupatwa na choo kigumu au kukosa choo kabisa hali tunayoiita kimombo, constipation. Hali hiyo huanza pale mtoto anapoachishwa maziwa ya mama na kuanza kunyweshwa maziwa ya kopo au mengineyo au pia anapoanzishwa kula vyakula vingine zaidi ya maziwa. Mara nyingi watoto wanaonyonya maziwa ya mama huwa hawasumbuliwa na tatizo hilo, bali tatizo hilo huanza kujitokeza pale wanapoanza kulishwa vyakula vingine zaidi ya maziwa ya mama. Pia mama ambaye tayari mwenyewe anasumbuliwa na tatizo la kukosa choo, huenda mwanae pia akasumbuliwa na tatizo hilo. &lt;br /&gt;Mtoto mwenye tatizo la kukosa choo huwa anapata choo wa shida huku akisumbuliwa na tumbo na kupata choo kigumu. Wakati mwingine hulia wakati akipata choo huku akijiminya na kukunja uso. Muone daktari iwapo mtoto ana umri wa chini ya mwezi mmoja na hajapata choo kwa siku 4.&lt;br /&gt;Iwapo mtoto wako mchanga au mdogo ana tatizo la kukosa choo au kupata choo kigumu kwanza wasiliana na daktari au mpeleke hospitalini ili upate ushari wa daktari. Pia unashauriwa kujaribu njia zifuatazo:&lt;br /&gt;1. Jaribu kumpa mtoto wako maji safi na salama kuanzia mililita 60 hadi 120 kwa siku. Punguza au ongeza kiasi hicho kwa kuzingatia jinsi hali ya mwanao inavyokuwa. Ni bora maji ya mtoto yachemshwe na kufunikwa vyema. &lt;br /&gt;2. Iwapo maji hayasaidii, jaribu pia kumpa juisi za matunda. Mpe mtoto wako juisi ya tufaha (apple), pea au prune iliyotengenezwa kwa kutumia maji salama na safi kila siku. Anza kwa mililita 60 hadi 120 kwa siku na punguza au ongeza kiasi hicho kwa kuzingatia jinsi hali ya mwanao inavyokuwa. &lt;br /&gt;3. Jitahidi kumpa mwanao chakula chenye ufumwele au fiber. Iwapo mwanao ameanza kula vyakula vigumu, basi mpe vyakula vyenye ufumwele kuliko vyakula vyenye wanga, kama vile tumia unga wa shayiri au tunda la apple na pea lililopondwa pondwa vyema na kuwa kama uji. Epuka kumpa mtoto cereal ya mchele au uji wa mchele kama anatatizo la kukosa choo au kufunga choo. &lt;br /&gt;4. Jiepushe kumpa mtoto wako vyakula vyenye wanga na sukari na vyakula vinavyotengenezwa kwa unga uliokobolewa.&lt;br /&gt;5.  Mpake mwanao mafuta kidogo sehemu inayotoka choo kikubwa ili kurahisisha utokaji wa kinyesi. Usitumia mafuta ya madini (mineral oil) au dawa za kulainisha choo na za kuharishwa katika kutibu tatizo hilo la kukosa choo la mtoto.&lt;br /&gt;6. Kukosa choo watoto wadogo mara chache huwa kunasababishwa na magonjwa kama vile Hirschsprung ugonjwa wa kumee neva katika utumbo, au Cystic Fibrosis. Muone daktari au mpeleke mtoto wako hospitalini kama tatizo hilo la kukosa choo linaendelea hata baada ya kubadilisha aina ya chakula cha mtoto au linaambatana na dalili nyingine kama vile kutapika au mtoto kukosa utulivu na kuhangaika.&lt;br /&gt;7. Kuna baadhi ya watoto wanakosa choo au kuwa na  choo kigumu kutokana na kutumia maziwa ya ng’ombe. Iwapo umetumia dawa na umefuata maelekezo ya kuondoa ukosefu wa choo na hukufanikiwa. Katisha kumpa mtoto maziwa ya ng’ombe kwa siku mbili au tatu, baada ya siku hizo iwapo bado hajaacha choo badi endelea kumpa maziwa hayo, na pengine tatizo hilo halisababishwi na maziwa ya ng’ombe. &lt;br /&gt;8. Mwogeshe au mweke mwanao katika beseni la maji ya uvuguvugu na hakikisha maji yanafika hadi kifuani. Mkande mtoto tumbo lake wakati akiwa majini na njia hiyo husaidia kulegeza misuli ya mwili wa mtoto, na kumsaidia kupata chook wa urahisi. &lt;br /&gt; N.B Ukosefu wa choo kwa watu wazima baadhi ya wakati huandamana na magonjwa kama vile Arthritis, Appendicitis, Cataract, saratani, shinikizo la damu, Rheumatism na kadhalika lakini kwa watoto huenda tatizo hilo likawa halisababishwi na maradhi hayo.&lt;br /&gt;Utafiti unaonyesha kuwa hakuna uhusiano wowote kuhusu kukosa choo mtoto na kupewa nyongeza ya chuma au Iron Supplement. Hivyo usimkatishe kumpa mwanao chuma iwapo anakosa choo. Kwani chum ni muhimu sana katika kuzuia upungufu wa damu mwilini kwa mtoto wako mdogo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-2621358074110586093?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/2621358074110586093/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=2621358074110586093' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2621358074110586093'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2621358074110586093'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2011/01/tatizo-la-kukosa-choo-watoto-wadogo-au.html' title='Tatizo la kukosa choo watoto wadogo au kuwa na choo kigumu na jinsi ya kulitatua'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TTvfzewPw6I/AAAAAAAAAnI/CPtDLt-J0lI/s72-c/kukosa%2Bchoo%2Bwatoto.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-1317796142806320964</id><published>2011-01-19T17:34:00.003+03:30</published><updated>2011-01-19T20:23:00.802+03:30</updated><title type='text'>Jibu la swali la Mdau</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TTbx0OLJGdI/AAAAAAAAAmw/NBKFqJZTs0Y/s1600/ivf_baby.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 343px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TTbx0OLJGdI/AAAAAAAAAmw/NBKFqJZTs0Y/s400/ivf_baby.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5563900269123148242" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kuna mdau ambaye aliniuliza muda mrefu uliopita iwapo mwanamke na mwanamume ambao wana Ukimwi wanaweza kupata mtoto kwa njia ya IVF au la. Kwa kuwa ni muda mrefu sikuwepo kuandika blog hii na kujibu maswali, nimeamua kulijibu swali hili hapa ili muulizaji aone jibu lake kwa urahisi na wengine pia waweze kufaidika nalo.&lt;br /&gt;Jibu ni kuwa ni vigumu kusema kuwa njia hiyo inaweza ku-guarantee kuzaliwa mtoto asiyekuwa muathirika wa HIV, hasa kwa kuzingatia kuwa wote baba na mama ni wagonjwa. Ni kweli iwapo mmoja tu ndiye mgonjwa kunakuwa na uwezekano mkubwa wa kufanyika IVF kwa njia inayoitwa Sperm wash ambayo hufanywa kabla ya mbegu ya kiume kutumbukizwa kwenye tumbo la mama na huweza kuzaliwa mtoto asiye mgonjwa wa Ukimwi. Lakini sikukatishi tamaa mdau, iwapo huna matatizo ya uzazi, kuna uwezekano wa mwanamke na mwanamume waathirika wa Ukimwi kuzaa mtoto asiyeathirika, iwapo watakuwa wakitumia dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo kabla na wakati wa ujazito, na hasa mama kuendelea kutumia dawa hizo wakati wote wa ujauzito.Kuzaliwa watoto wasioathirika kutoka kwa wazazi waathirika wa Ukimwi, kumeshuhudiwa mara nyingi nchini Tanzania na kwingineko.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-1317796142806320964?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/1317796142806320964/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=1317796142806320964' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1317796142806320964'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1317796142806320964'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2011/01/jibu-la-swali-la-mdau.html' title='Jibu la swali la Mdau'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TTbx0OLJGdI/AAAAAAAAAmw/NBKFqJZTs0Y/s72-c/ivf_baby.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-7863011169902797535</id><published>2011-01-16T15:10:00.002+03:30</published><updated>2011-01-16T15:38:42.219+03:30</updated><title type='text'>Kuwaanzisha watoto chakula kigumu miezi 6 mapema kunawasaidia</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TTLfwyToFAI/AAAAAAAAAmo/aAyPhIoubbY/s1600/nyonya.bmp"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 320px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TTLfwyToFAI/AAAAAAAAAmo/aAyPhIoubbY/s400/nyonya.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5562754518986789890" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Maneno haya si yangu, lakini nakumbuka kwa uzoefu wangu siku zote nilikuwa nikipingana na waalimu darasani na mahospitalini kuhusu muda wa kuanzishwa chakula kigumu watoto wanaonyonya au 'weaning'!. Siku zote walimu wangu chuo kikuu walikuwa wakisema kuwa watoto wachanga wanaonyesha waanzishwe vyakula vingine wanapokuwa na miezi minne, lakini mie nikipinga na kusisitiza kwamba muda huo utumike kwa watoto wenye asili ya kizungu au weupe, lakini kwa uzoefu wangu, watoto wetu wa Kiafrika tunawaanzisha chakula kigumu wanapokuwa na miezi minne, kwani ifikapo muda huo maziwa ya mama zao huwa hayawatoshi tena! Pia hata wadau wa Kona ya Afya pale waliponiomba ushauri niliwashauri hivyo.&lt;br /&gt;Hoja yangu hiyo imethibitishwa hivi karibuni na timu moja ya Uingereza ambayo ilifanya utafiti na kuchapisha utafiti huo katika Makala ya Tiba ya Uingereza. Wanatimu hiyo wamesema, kutegemea tu maziwa ya mama pekee kwa watoto hadi miezi sita sio vizuri na hayatoshi. Wamesema maziwa ya mama yanaweza kuwa na faida iwapo watoto wataanzishwa vyakula vinginevyo mapema hasa baada ya miezi minne. Huko nyuma wataalamu walishauri kuwa mtoto apewe maziwa ya mama pekee hadi miezi sita lakini hivi sasa wamebadilisha msimamo huo na wanashauri mtoto aanze kupewa chakula kingine akiwa na miezi minne huku akiendelea kunyonyeshwa. Miaka 10 iliyopita Shirika la Afya Duniani lilitoa muongozo kwamba, watoto wachanga wanyonyeshwe maziwa ya mama pekee hadi miezi 6! &lt;br /&gt;Utafiti mwingine umeonyesha kuwa, watoto wachanga wanaocheleweshwa kuanzishwa chakula kigumu hupatwa na upungufu wa damu au anemia kuliko wale wanaoanzishwa vyakula vingine wakiwa na miezi minne hadi 6. Hata hivyo wazazi na walezi wametakiwa kuzingatia aina ya vyakula wanavyowapa watoto wao wachanga pale wanapofikia muda wa kuanza kula, kwani baadhi ya vyakula huwasababishia allergies na pia kufanya wakose choo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-7863011169902797535?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/7863011169902797535/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=7863011169902797535' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7863011169902797535'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7863011169902797535'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2011/01/kuwaanzisha-watoto-chakula-kigumu-miezi.html' title='Kuwaanzisha watoto chakula kigumu miezi 6 mapema kunawasaidia'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TTLfwyToFAI/AAAAAAAAAmo/aAyPhIoubbY/s72-c/nyonya.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-6578745866621896924</id><published>2011-01-16T15:07:00.001+03:30</published><updated>2011-01-16T15:09:47.419+03:30</updated><title type='text'>Sigara huharibu  DNA mwilini na kuongeza hatari ya kupata kensa!</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TTLY--AQYXI/AAAAAAAAAmg/sCIfKQF7Alo/s1600/stop%2Bsmoking.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TTLY--AQYXI/AAAAAAAAAmg/sCIfKQF7Alo/s400/stop%2Bsmoking.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5562747066063544690" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kemikali za sumu zilizoko katika tumbaku ya sigara huharibu DNA za mwili wa binadamu dakika chache tu baada ya mtu kuanza kuvuta sigara. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi karibuni, kemikali hizo zinazoitwa Polycylic Aromatic Hydrocarbons (PAHs) husababisha DNA ziharibike na kuongeza uwezekano wa mtu kupata kensa. Katika uchunguzi huo watalamu walichukua kemikali hizo katika miili ya wavuta sigara na kuzifanyia uchunguzi, ambapo waligundua kuwa, kemikali za PHA hubadilika haraka mwilini na kuwa sumu ambayo huharibu DNA baada ya kupita dakika 15 hadi 30 tangu kuingia tumbaku katika mwili wa binadamu. Sumu hiyo hubadilisha seli mwilini au kufanya mutation, kitendo ambacho huweza kusababisha kensa. Wataalamu hao wanasema, kitendo hicho hufanyika kwa haraka sana kama vile inavyoingizwa mada ya sumu kwenye damu kwa sindano. Habari hii ni tahadhari kwa watu wanaotaka kuanza kuvuta sigara, kwani takwimu zinatuonyesha kwamba, watu 3,000 hufariki dunia kila siku umwenguni kutokana na kensa ya mapafu, maradhi ambayo husababishwa kwa asilimia 90 na uvutaji sigara. Madhara ya kuvuta sigara kwa muda mrefu yanajulikana na wengi, ambayo ni pamoja na magonjwa ya moyo na kensa mbalimbali, lakini wataalamu wanatuasa ya kuwa, madhara ya sigara huanza pale tu mtu anapoanza kupiga pafu ya kwanza na kuingiza moshi wa sigara mwilini. Hivyo bado hujachelewa na unaweza kuacha sigara hii leo!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-6578745866621896924?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/6578745866621896924/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=6578745866621896924' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6578745866621896924'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6578745866621896924'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2011/01/sigara-huharibu-dna-mwilini-na-kuongeza.html' title='Sigara huharibu  DNA mwilini na kuongeza hatari ya kupata kensa!'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TTLY--AQYXI/AAAAAAAAAmg/sCIfKQF7Alo/s72-c/stop%2Bsmoking.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-6576029127001944447</id><published>2010-10-02T07:13:00.002+03:30</published><updated>2010-10-02T07:14:12.117+03:30</updated><title type='text'>Marekani yaomba msamaha kwa kuwafanyia majaribio ya Kaswende wananchi wa Guatemala</title><content type='html'>Marekani imeomba msamaha kuhusiana na kuwaambukiza kwa makusudi ugonjwa mbaya wa kaswende, wafungwa, wanawake na wagonjwa wa akili wa Guatemala katika majaribio yaliyofanywa na watafiti wa serikali ya Marekani katika miaka ya 1940.  Katika jinai hiyo ililofanywa kwa lengo la kujaribu dawa mpya ya penisilini, wafungwa waliambukizwa kaswende kwa makusudi na baadaye kutibiwa kwa dawa hiyo. Hillarry Clinton Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa jaribio hilo lililosababisha maambukizo ya ugonjwa huo wa zinaa kati ya mwaka 1946 hadi 1948 nchini Guatemala ni kinyume cha maadili hata kama tukio hilo lilitokea miaka 64 iliyopita.&lt;br /&gt;Rais Alvaro Colom wa Guatemala amelalamikia vikali jinai hiyo ya Wamarekani akisema ilisababisha maambukizo ya kaswende kwa mamia ya wananchi wa nchi hiyo na kwamba ni jinai dhidi ya binadamu. Kaswende ni ugonjwa wa zinaa unaoweza kusababisha matatizo ya moyo, upofu, matatizo ya akili na hata kifo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-6576029127001944447?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/6576029127001944447/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=6576029127001944447' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6576029127001944447'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6576029127001944447'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/10/marekani-yaomba-msamaha-kwa-kuwafanyia.html' title='Marekani yaomba msamaha kwa kuwafanyia majaribio ya Kaswende wananchi wa Guatemala'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-6777352699683506293</id><published>2010-09-29T11:30:00.001+03:30</published><updated>2010-09-29T11:30:57.829+03:30</updated><title type='text'>Samahanini Wadau</title><content type='html'>Tafadhalini sana wadau naomba kama mtu ana swali la haraka  anitumie kupitia email yangu ambayo ni sthugs4j@yahoo.com . Hii ni kutokana na baadhi ya wadau kuuliza maswali yao yanayohitaji ufafanuzi wa haraka katika comments za makala zilizopita, sasa kuna baadhi ya wakati hata sipati muda wa kucheck comments za makala zilizopita, na hivyo kushidwa kujibu katika wakati unaotakiwa. &lt;br /&gt;Samahani sana....Shally.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-6777352699683506293?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/6777352699683506293/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=6777352699683506293' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6777352699683506293'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6777352699683506293'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/09/samahanini-wadau.html' title='Samahanini Wadau'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-4205197512574584922</id><published>2010-09-18T11:36:00.003+04:30</published><updated>2010-09-18T11:38:25.976+04:30</updated><title type='text'>Huraa! Maambukizo mapya ya Ukimwi yapungua Afrika!</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TJRlBlHcCmI/AAAAAAAAAmQ/hGdqeNr-u90/s1600/uki.bmp"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 226px; height: 282px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TJRlBlHcCmI/AAAAAAAAAmQ/hGdqeNr-u90/s400/uki.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5518146521253284450" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba nchi zilizoko chini ya Jangwa la Sahara barani Afrika zinaongoza kwa kupungua maambukizo mapya ya virusi vya Ukimwi. Kitengo cha Umoja wa Mataifa kinachoshughulia masuala ya Ukimwi (UNAids) kimesema kuwa nchi 22 ambazo ziko katika eneo hilo la chini ya Jangwa la Sahara lenye maambukizo makubwa zaidi ya Ukimwi duniani zimeshuhudia  kupungua maambukizo ya ugonjwa huo kwa asilimia 25!.  Kupungua maambukizo hayo kumetokana na watu kuelewe vizuri na kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa huo pamoja na kutumiwa  vyema njia za kujikinga. Hata hivyo Umoja wa Mataifa umesema kwamba maambukizo mapya ya Ukimwi yameongezeka huko mashariki mwa Ulaya, katikati mwa bara Asia, na miongoni mwa wanaume mashoga katika nchi zilizoendelea. Mkurugenzi  Mtendaji wa UNAids Michel Sibide amesema kwamba, dunia inapiga hatua kubwa katika kufikia utekelezwaji wa Malengo ya Sita ya Maendeleo ya Milenia (MDG6) ya kupambana na kupunguza maambukizo ya HIV/Aids hadi kufikia mwaka 2015. Shirika hilo aidha limesema kuwa, kuwa watu milioni 5.2 wanapatiwa matibabu ya Ukimwi duniani kote, suala ambalo limesaidia kuhakikisha kwamba  watu wachache zaidi wanakufa kutokana na virusi vya ugonjwa huo hatari ikilinganishwa na huko nyuma. &lt;br /&gt; Haya shime jamani tuendeleze kwa nguvu zote mapambano dhidi ya Ukimwi!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-4205197512574584922?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/4205197512574584922/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=4205197512574584922' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/4205197512574584922'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/4205197512574584922'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/09/huraa-maambukizo-mapya-ya-ukimwi.html' title='Huraa! Maambukizo mapya ya Ukimwi yapungua Afrika!'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TJRlBlHcCmI/AAAAAAAAAmQ/hGdqeNr-u90/s72-c/uki.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-1245214512564663740</id><published>2010-09-13T19:58:00.003+04:30</published><updated>2010-09-13T20:02:48.176+04:30</updated><title type='text'>Sababu ya kukoroma na jinsi ya kuzuia hali hiyo</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TI5D2C1DT8I/AAAAAAAAAmI/JjKKtwa1BQI/s1600/kuko.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 276px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TI5D2C1DT8I/AAAAAAAAAmI/JjKKtwa1BQI/s400/kuko.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5516421189326819266" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kukoroma ni tatizo linalowapata watu wengi wakati wanapolala ambalo linaweza kuwatokea watu wa kila umri ingawa hutokea mara nyingi kwa wanaume au watu wanene. Kukoroma huzidi kwa kadri umri unavyoongezeka na asilimia 54 ya watu wazima hukoroma baadhi ya wakati huku asilimia 25 ya wengine wakiwa na tabia ya kukoroma kila wakati. Kukoroma baadhi ya wakati kwa kawaida sio tatizo kubwa na mara nyingi huleta tu karaha kwa mtu anayelala karibu na mkoromaji. Hata hivyo kukoroma huko sio tu kwamba huharibu usingizi wa anayekoroma bali pia huwasumbua na kuwakeresha wanaolala  karibu na mkoromaji.  Wale wenye tabia ya kukoroma, hukoroma kila wanapolala na mara nyingi huchoka wanapoamka, na watu wa aina hii hushauriwa kumuona daktari na kushauriwa kuhusiana na tatizo hilo. Lakini kabla hatujaendela mbele ni bora tujue kukoroma hasa ni nini au hutokea vipi?&lt;br /&gt;    Mtu huwa anakoroma pale kunapokuwa na kitu au sababu yoyote itakayoziba kuingia au kutoka kwa hewa mdomoni na katika pua.  Kuta za koo hutikisika wakati wa kupumua na matokeo yake ni sauti inayosikika ya kukoroma. Kuingia au kutoka kwa hewa huweza kuzuiwa na sababu mbalimbali kama vile:&lt;br /&gt;• Kuziba tundu za pua kusiko kamili ambako husababisha nguvu zaidi zitumike katika kupitisha hewa kwenye pua wakati mtu akiwa amelala. Kitendo hicho hupelekea nyama laini za pua na koo zijikusanye na kusababisha mkoromo. Kuna baadhi ya watu wanakoroma tu kipindi cha allergy (allergy season) au wanapatwa na matatizo ya sinus. Baadhi ya matatizo kama vile kupinda pua (deviated septum) au ukuta unaotenganisha tundu za pua na polyps za pua pia huweza kufanya pua zizibe na kusababisha kukoroma. Watu wengi wanaofanya operesheni za pua pia hupatwa na tatizo la kukoroma. &lt;br /&gt;• Kuwa na misuli dhaifu katika koo na ulimi. Misuli au nyama za koo na ulimi zinapokuwa dhaifu sana hulegea na kuanguka upande wa nyuma wa sehemu inayopita hewa. Suala hilo hutokea pale mtu anapolala fofofo au kuwa na usingizi mzito na kusababisha kukoroma. &lt;br /&gt;• Kuwa na misuli minene ya koo. Hii ni kwa wale watu wanene ambao hata nyama zao za koo pia hunenepa na kupanuka na suala hilo husababisha kukoroma, Pia watoto wenye tonsesi kubwa na adenoids baadhi ya wakati hukoroma.&lt;br /&gt;• Kuwa na kilimi kikubwa ni mojawapo ya sababu zinazosababisha kukoroma. Kilimi kirefu kinaweza kuzuia koo na pale kinapotikisika wakati hewa inapita kwa msukumo husababisha kukoroma.&lt;br /&gt;• Sababu nyinginezo zinazoweza kumsababishia mtu akorome anapolala ni kuwa na umri mkubwa au uzee, imeshuhudiwa kuwa watu wa makamo na wazee hukoroma, kwani misuli na nyama za koo huanza kuzeeka na kulegea kadri umri unayoongezeka. Vilevile wanaume wanakoroma zaidi kuliko wanawake hii ni kutokana na wanaume kuwa na njia nyembamba zaidi ya hewa kuliko wanawake. Kukoroma pia kunaweza kuwa ni tatizo la kurithi. Pombe, kuvuta sigara na matumizi ya baadhi ya dawa pia husababisha misuli ya koo ilegee na hivyo hupelekea mtu akorome. Kulala vibaya pia husababisha kukoroka kama vile kulala kichalichali, kwani  hufanya nyama za koo zilegee na kuziba hewa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TI5DqeHBDpI/AAAAAAAAAmA/EVhtxVgiMlM/s1600/kuroma2.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 299px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TI5DqeHBDpI/AAAAAAAAAmA/EVhtxVgiMlM/s400/kuroma2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5516420990491496082" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;                                 &lt;br /&gt;Je, Dawa ya kukoroma ni nini?&lt;br /&gt;Swali hilo limeuliwa sana na mimi katika kulijibu ningependa kusema kuwa, kujua sababu inayosababisha mtu akorome na kuitatua au kuiondoa sababu hiyo ndiko kunakotibu kukoroma. Sote tunajua adha inayotokana na kukoroma, na sauti hiyo inavyosumbua hasa iwapo anayekoroma ni mtu wako wa karibu kama vile mumeo, mwenzi wako au yoyote yule inayekubidi ulale naye karibu au katika kitanda kimojana hata chumba kimoja. Kukoroma pia huathiri usingizi wa mkoromaji kwani anayekoroka humbidi aamke mara kadhaa usingizini akijua au bila kujua kutokana  njia zake za hewa kufunga kwa sekunde kadhaa ambapo usingizi pia hukatika. Wanaokoroma pia hushindwa kulala vizuri suala linalopelekea asubuhi wawe wamechoka na kutofanya majukumu yao vyema, na pia wale wanaolala nao karibu hupatwa na matatizo kama hayo. Vilevile tunapaswa kujua kuwa kukoroma kuna athari za kiafya za muda mrefu kwa mtu anayekoroma hivyo si jambo la kufanyia mzaha na ni tatizo ambalo linapaswa kushughulikiwa na kutatuliwa. &lt;br /&gt;Wataalamu wanatuambia kuwa ili kujua kukoroma kwako kunasababishwa na nini ni bora ushirikiane na mwenzi wako au yoyote unayelala naye ili akuchunguze pale unapolala na kujua jinsi mwili wako unavyokuwa pale unapokoroma. Ni bora aandae orodha na kuchunguza yafuatayo:&lt;br /&gt;1. Kufunga mdomo na kukoroma kunaonyesha kuwa kuna matatizo ya ulimi.&lt;br /&gt;2. Kufungua mdomo na kukoroma kunaonyesha unaweza kuwa na tatizo katika misuli au nyama za koo.&lt;br /&gt;3. Kukoroma unapolala kichalichali kunaonyesha kuwa pengine kwa kubadilisha namna unavyolala kukoroma nako kunaweza kwisha.&lt;br /&gt;4. Kukoroma wakati unapolala kwa kila mlalo kunaonyesha kwamba tatizo lako ni kubwa na pengine kunahitajia tiba kubwa zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TI5DcHS2LtI/AAAAAAAAAl4/csH4CdxkxVY/s1600/kukoroma.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 400px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TI5DcHS2LtI/AAAAAAAAAl4/csH4CdxkxVY/s400/kukoroma.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5516420743848931026" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Iwapo umebadilisha namna unavyolala na haikusaidia, unashauriwa ujaribu yafuatayo:&lt;br /&gt; Punguza uzito&lt;br /&gt; Safisha njia yako ya hewa. Kuwa na pua iliyoziba hufanya kupumua kuwe kugumu na kusababisha kukoroma. Unaweza kufanya hivyo kwa kutumia dawa za kusaidia kupumua kwa urahisi (nasal decongestants) zinazopatikana kwa urahisi katika maduka ya dawa. &lt;br /&gt; Wacha kuvuta sigara.&lt;br /&gt; Lala mapema na pata usingizi wa kutosha kila mara huku ukijiepusha na kuchoka sana. Kunyanyua kichwa kwa nchi 4 huweza kupunguza kasi ya kupumua na kusaidia ulimi na taya kwenda mbele hali ambayo hupunguza kukoroma. Fanya hilo kwa tumia mito maalum ya kupunguza kukoroma au lala bila mto.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wataalamu pia wanasema kwamba unaweza kupunguza kukoroma kwa kutokula baadhi ya vyakula au dawa kabla ya kulala ambavyo huongeza kukoroma. Vitu hivyo ni kama vile &lt;br /&gt;o Kutokula mlo mkubwa kabla ya kulala.&lt;br /&gt;o Kutokula vyakula vinavyotokana na maziwa au maziwa ya soya.&lt;br /&gt;o Kutokunywa pombe kabla ya kulala.&lt;br /&gt;o Kutotumia dawa aina ya antihistamines.&lt;br /&gt;o Kutotumia vyakula au vinjwaji venye kafeini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vilevile wanaokoroma wanashauriwa kufanya mazoezi ya koo ambayo ni pamoja na kuimba, kusoma kwa kurudia rudia voweli (a,e,i,o,u)  kwa nguvu kwa dakika tatu mara kadhaa kwa siku, kuweka ncha ya ulimi chini ya meno ya mbele na kurudisha ulimi nyuma kwa dakika 3 kila siku au huku mdomo ukiwa wazi pelekea taya yako upande wa kulia na wacha ibakie katika hali hiyo kwa sekunde 30. Huku mdomo ukiwa wazi, kaza misuli ya nyuma ya koo na rudia kitendo hicho kwa sekunde thelathini. Unaweza kutizama kwenye kioo na kuona jinsi kilimi kinavyokwenda juu na chini. &lt;br /&gt;Iwapo kukoroma hakutoisha kwa kutumia njia hizo tofauti zilizoelezwa, usife moyo jaribu kumuona daktari na akupe ushauri wa kitiba kuhusiana na tatizo hilo. Madakatari wataalamu wa magonjwa ya pua, masikio na koo au ENT wanaweza kukusaidia zaidi kutatua tatizo hilo. Siku hizi kuna vifaa mbalimbali vinavyotumiwa mahospitalini ili kuondoa kukoroma kama vile kifaa kinachowekwa kwenye meno, CPAP, kidude kinachowekwa mdomoni au hata kufanyiwa operesheni ili kuondoa tatizo hilo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-1245214512564663740?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/1245214512564663740/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=1245214512564663740' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1245214512564663740'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1245214512564663740'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/09/sababu-ya-kukoroma-na-jinsi-ya-kuzuia.html' title='Sababu ya kukoroma na jinsi ya kuzuia hali hiyo'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TI5D2C1DT8I/AAAAAAAAAmI/JjKKtwa1BQI/s72-c/kuko.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3322986923057703915</id><published>2010-09-08T17:30:00.001+04:30</published><updated>2010-09-08T17:31:57.901+04:30</updated><title type='text'>Mambo ya kuzingatia iwapo unataka kushika mimba</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TIeJPGdR8nI/AAAAAAAAAlw/J8cT6kJhXWU/s1600/infertility.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 265px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TIeJPGdR8nI/AAAAAAAAAlw/J8cT6kJhXWU/s400/infertility.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5514527161262928498" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kuna sababu mbalimbali zinazoweza kumfanya mtu asishike mimba. Sababu hizo zinaweza zikawa zinamhusu mwanamke, mwanamume au wakati mwingine kutojulikana kabisa hali hiyo imesababishwa na nini. Wataalamu wanasema kwamba kwa miaka 20 iliyopita matatizo yanayohusu kushindwa kuzaa yameongezeka  kwa kiwango kikubwa na asilimia 25 ya watu wanaotaka kubeba mimba na kuzaa mtoto wanakabiliwa na tatizo hilo. Ni kweli kuwa kwa kawaida watu wengi hubeba mimba na kujaaliwa mtoto pale tu wanapofanya tendo la ndoa. Lakini jambo hilo halitokeo kwa watu wote na ingawa kwa baadhi ya watu kila kitu huonekana kwenda sawa lakini pia hushindindwa kubeba mimba. Utafiti unaonyesha kwamba katika kila familia au 'couples' 5 zinazojamiiana katika wakati muafaka wa ovulation ni moja tu ndio hufanikiwa kupata mtoto, huku karibu wanawake 9 kati ya 10 wakifanikiwa kushika mimba baada ya kujaribu kutafuta mtoto kwa mwaka mmoja mzima bila kuzuia mimba. Hivyo basi nawaomba wale ambao wamekuwa wakifanya jitihada za kufuata maelekezo ili waweze kushika mimba lakini hawakufanikiwa, wasife moyo kwani ipo siku jitihada zao hizo zitazaa matunda.   &lt;br /&gt;Mambo ya kuzingatia iwapo unataka kushika mimba…&lt;br /&gt;• Kwanza kabisa ni kuhakikisha kuwa kabla ya yote unamona dokta wako au unakwenda hospitalini na kufanyiwa vipimo ili kujua kama afya yako iko salama au la kwa ajili ya kushika mimba. Baadhi ya vipimo vinavyoshauriwa kufanywa ni pamoja na&lt;br /&gt;1. General examination au uchunguzi wa jumla.&lt;br /&gt;2. Kipimo cha kensa au Pap smear.&lt;br /&gt;3. Kipimo cha magonjwa ya zinaa (STD) kama vile Chlamydia ambao wanaweza kuathiri uwezo wako wa kushika mimba.&lt;br /&gt;4. Kipimo cha damu cha kuangalia kama una upungufu wa damu, Rh na kinga yako ya mwili dhidi ya ugonjwa wa Rubella.&lt;br /&gt;5. Kipimo cha mkojo cha kuchunguza iwapo una ugonjwa wa kisukari. Ugonjwa wa kisukari huweza kumzuia mtu asishike mimba hata iwapo mzunguko wake wa mwezi uko sawa, anapata Ovulation na kidhahiri anaonekana hana tatizo lolote.&lt;br /&gt;6. Kama una paka nyumbani au unakula sana nyuma (red meat) pengine si vibaya pia kupima kipimo cha Toxopmasmosis infection.&lt;br /&gt;7. Kuyajua na kuzingatia baadhi ya mambo yanayoathiri kushika mimba ambayo ni pamoja na:-&lt;br /&gt;• Ingawa unene unaweza kumzuia mtu asishike mimba lakini kufanya mazoezi sana na kuwa na uzito mdogo sana wa zaidi ya kilo 50 huweza pia kumsababisha mtu asishike mimba. Mazoezi ya kupindukia pia huathiri homoni mwiilini.&lt;br /&gt;• Kuwa na fikra nyingi na msongo wa mawazo 'stress' huweza pia kauthairi uwezo wa mtu wa kushika mimba.&lt;br /&gt;• Kutokula vizuri na kutopenda kula kwani humkosesha mwanamke au hata mwanamme baadhi ya virutubisho muhimu vinavyotakiwa kwa ajili ya kufanikisha suala la kushika mimba (nitazungumzia vyakula vinavyosaidia kushika mimba baadaye)&lt;br /&gt;• Sigara, marijuana na pombe ni miongoni mwa vitu ambavyo vinaweza kuathiri uwezo wa kubeba mimba. Mwanamke anayetaka kubeba mimba anashauriwa aache kunywa pombe na kuvuta sigara. Mwanamume pia anashauriwa kuacha kuvuta sigara kwani sigara huathiri kiwango cha mbegu za kiume za mwanamme.&lt;br /&gt;Yafuatayo ni baadhi ya mambo yanayomsaidia mwanamke kushika mimba:&lt;br /&gt;• Anza kutumia vidonge vya Folic Acid, vidonge hivyo mbali ya faida nyinginezo humkinga mtoto atakayezaliwa na magonjwa ya ubongo. (Neural Tube Defect) kama vile Spinal Bifida na mengineyo. Dozi ni kwa uchache miligramu 0.4 za Folic acid kwa siku, miezi mitatu kabla ya kuanza hata kutafuta mtoto.  &lt;br /&gt;• Endelea tu na tendo la ndoa bila kuchoka au kukata tamaa, lakini ni bora nguvu zihifadhiwe kwa siku chache kabla ya Ovulation na siku kadhaa baada ya hapo ili mwanamume aweze kuboreshe na kuhifadhi mbegu zake kwa ajili ya siku hizo, Usikimbie chooni au bafuni baada tu ya kukutana kimwili na mwenzio. Kulala kwa dakika kadhaa baada ya tendo la ndoa huongeza uwezo wa mbegu ya kiume kuweza kuendelea kukutana na yai la kike na hivyo kuongeza uwezekano wa kubeba mimba.&lt;br /&gt;• Jiepushe kunywa kahawa na binywaji vinginevyo venye caffeine. Waataalamu wanasema caffeine huweza kukuongezea matatizo ya kushindwa kushika mimba. &lt;br /&gt;• Jiepushe na kutumia dawa za aina yoyote bila ushauri wa daktari. Dawa zinazonunulika maduka ya dawa bila ulazima wa cheti cha daktari au Over-the-counter drugs inabidi zitumiwe baada ya kushauriana na daktari. &lt;br /&gt;• Usitumie baadhi ya vitu vinavyoufanya uke uwe na hali itakayoua mbegu za kiume au kupunguza majimaji yake. Vitu hivi ni kama spray mbalimbali na tampons zinazotumiwa na wanawake ili kuufanya uke uwe na harufu nzuri.  Mafuta ya aina mbalimbali na jeli kwa ajili ya kulainisha sehemu za siri, mafuta ya kula (vegetable oils) glycerin na mate. Vitu kama hivi kufanya Ph ya uke isiwe ya kawaida na huweza kuua mbegu ya kiume, kusababisha baadhi ya magonjwa ya wanawake au kupunguza majimaji ya ukeni ambayo yanatakiwa ili kusafirisha mbegu za kiume.&lt;br /&gt;• Hakisha mwenzi wako hafanyi kazi au hawi katika mazingira yenye mada hatari ambazo hupunguza uwezo wa mbegu za kiume au kutungwa mimba. Kufanya kazi kwenye mazingira ya joto kali sana kama vile mwanaume wanaofanya kazi kwenye matanuri ya kupika mikate, viwanda vya mafuta na miale hatari baadhi ya wakati huwa na matatizo ya kutozaa. Hivyo kabla mwanamke hajaanza kujilaumu kwa nini hashiki mimba, mwanamme wake pia anapaswa kufanyiwa uchunguzi kamili kuhusiana na suala hilo. Pengine ni suala ambalo wengi hatulijui kwamba katika tiba iwapo mke na mume au mtu na mwenzi wake wana tatizo la kutopata mtoto, wawili hao kwa pamoja hupaswa hufanyiwa vipimo na wala sio mwanamke mwenyewe. Hivyo iwapo unashindwa kushika mimba, hakikisha pia mwenzi wako hana tatizo pia. Wanaume pia kama walivyo wanawake hukabiliwa na matatizo mengi tu yanayosababisha familia kukosa watoto. Matatizo kama vile upungufu wa mbegu za kiume, uchache wa mbegu, kutokuwa na kasi mbegu na mengineyo ni miongoni mwa matatizo kibao ambayo mwanamume anaweza kuwa nayo na kukosa mtoto. Hivyo tabia ya kuwatizama wanawake kwa jicho la lawama katika jamii na kuwanyooshe kidole pale mimba inaposhindikana kushika ni kinyume cha ukweli wa kitiba na uhalisia. &lt;br /&gt;• Usichoke kufuata mzunguko wako wa Ovulation na kufanya tendo la ndoa katika wakati ambao mwili wako (ewe mwamamke) uko katika siku za kuweza kushika mimba.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3322986923057703915?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3322986923057703915/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3322986923057703915' title='15 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3322986923057703915'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3322986923057703915'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/09/mambo-ya-kuzingatia-iwapo-unataka.html' title='Mambo ya kuzingatia iwapo unataka kushika mimba'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TIeJPGdR8nI/AAAAAAAAAlw/J8cT6kJhXWU/s72-c/infertility.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>15</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3969252726361661520</id><published>2010-09-06T18:18:00.002+04:30</published><updated>2010-09-06T18:25:51.550+04:30</updated><title type='text'>Wataalamu  karibu watakugundua dawa nyingine ya kutibu Malaria</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TITyzNkNNbI/AAAAAAAAAlo/xGlQi05lSp8/s1600/malaria.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 265px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TITyzNkNNbI/AAAAAAAAAlo/xGlQi05lSp8/s400/malaria.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5513798805437101490" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Matokeo ya utafiti wa kimataifa yanaonyesha kwamba wanasayansi karibu watafanikiwa kutengenza dawa yenye athari zaidi ya kutibu ugonjwa wenye kuleta maafa mengi wa Malaria. Dawa hiyo inayoitwa "NITD609" ambavyo inatokana na mada ya 'spinoindolones' imeanza kutengenezwa kwa jitihada mbalimbali za wanasayansi wa Marekani, Singapore, Switzerland, Thailand na Uingereza. Wanasayansi hao wanasema kwamba, dawa hiyo ambayo ni ya kumeza inatofautiana na dawa nyinginezo za Malaria zilizopo madukani kwa kuponya ugonjwa huo haraka, kutokuwa na madhara  kwa mtumiaji na kuweza kutibu Malaria kwa  kutumiwa dozi moja tu.  &lt;br /&gt;Utafiti bado unaendelea kuhusiana na majaribio ya dawa hiyo na kwamba dawa hiyo imeonyesha mafanikio mazuri katika kutibu Malaria baada ya kujaribiwa kwa panya watano waliokuwa wagonjwa bila kuwa na madhara yoyote.&lt;br /&gt;Wataalamu wanasema pia kwamba dawa hiyo ya NITD609 inatofautiana sana na dawa ziliopo za Malaria kwa umbo na kwa kikemia na kwamba ingawa dawa zilizopo zinaweza kutibu ugonjwa huo lakini zimeshindwa kufikia matarajio yanayotakiwa. Wataalamu sasa wanasubiri kuijaribu dawa hiyo kwa binadamu, suala ambalo litaanza baadaye mwakani. &lt;br /&gt;Ingawa sote tunajua lakini si vibaya kukumbusha hapa kuwa watu karibu milioni 500 huugua ugonjwa wa Malaria kila mwaka duniani, ambapo vifo vinavyosababishwa na ugonjwa huo ni karibu milioni moja huku watoto walio na umri wa chini ya miaka mitano ndio wanaoshambuliwa zaidi na Malaria. Ugonjwa huo umekuwa ukisababisha vifo na matatizo mengi katika nchi zilizo chini ya Jangwa la Sahara barani Afrika kuliko maeneo mengineyo duniani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3969252726361661520?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3969252726361661520/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3969252726361661520' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3969252726361661520'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3969252726361661520'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/09/wataalamu-karibu-watakugundua-dawa.html' title='Wataalamu  karibu watakugundua dawa nyingine ya kutibu Malaria'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TITyzNkNNbI/AAAAAAAAAlo/xGlQi05lSp8/s72-c/malaria.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-2460960894854049341</id><published>2010-08-15T15:44:00.002+04:30</published><updated>2010-08-15T15:54:27.325+04:30</updated><title type='text'>Swaumu na Siha</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGfOYNbn9LI/AAAAAAAAAlQ/pLsNIQl9hn4/s1600/swala.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 264px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGfOYNbn9LI/AAAAAAAAAlQ/pLsNIQl9hn4/s400/swala.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5505595984801428658" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kwanza nawatakiwa wadau Waislamu wa Kona ya Afya swaumu njema na kw amanasaba wa mwezi mtukufu wa Ramadhani nimeandika makala hii kuhusiana na umuhimu wa kufunga. natumaini mtafaidika nayo.&lt;br /&gt;Kufunga kumeamriswa katika dini mbalimbali ikiwepo dini tukufu ya Uislamu, Uyahudi na Ukiristo. Mbali na dini mbalimbali kuamuru wafuasi wao wafunge kama moja ya ibada muhimu,  wataalamu wengi wa masuala ya tiba wamekuwa wakiamini kuwa kufunga ni miongoni mwa tiba asilia na inaleta faida kubwa kiafya. Kufunga kuna faida tele kwa afya na kwa siha ya mwili. Uislamu unawataka wafuasi wake wawe wenye afya njema, wasafi, walio imara kiimani na kimwili na mwenye nguvu. Bwana Mtume Mtukufu Muhammad (S.A.W) ametilia nguvu hoja hiyo pale aliposema kwamba: "Fungeni mpate siha". &lt;br /&gt;                            Hii leo pia wataalamu wa masuala ya afya wamethibitisha faida kemkem mtu anazoweza kuzipata mtu kwa kufunga, zinazouinufaisha mwili na akili. Kuna baadhi ya madaktari wanasema kuwa kufunga kunamfaidisha mtu kisaikolojia na kimwili. Mbali na swaumu kumfanya anayefunga awe na stamina ya njaa na aweze kuvumulia matatizo na awe na subra, pia husaidia kupunguza mafuta ya zaida mwilini. Faida za kufunga haziishiii hapo bali pia swaumu ni njia ya kuponya magonjwa mbalimbali  yakiwemo yale yanayohusiana na mfumo wa chakula kama vile maumivu ya tumbo sugu, kuvimba utumbo mkubwa, ugonjwa wa ini, kukosa choo na matatizo mengineyo kama vile unene wa kupindulia, kuziba mishipa ya moyo (arteriosclerosis), shinikizo la damu, asthma, diphtheria na kadhalika.&lt;br /&gt; Lakini kabla hajujaendelea na mada yetu hii hebu sasa tueelezee kwa undani kitaalamu jinsi kitendo cha kufunga kinavyoufaidisha mwili. &lt;br /&gt;       Kufunga kitaalamu huanza pale mwili unapokosa chakula kwa masaa 12 hadi 24. Kikemia kufunga hakuanzi hadi pale sukari aina ya carbohydrate iliyohifadhiwa mwilini inapoanza kutumiwa kama chanzo cha kuzalisha nguvu.  Kufunga huko huendelea madam tu mafuta na carbohydrate iliyohifadhiwa iendelee kunyofolewa na badilishwa kuwa nguvu, bila kutumiwa protini iliyohifadhiwa. Pale protini inapoanza kutumiwa na kubadilishwa kuwa nguvu (suala ambalo hupelekea misuli kupungua) kitaalamu tunasema kuwa mtu ameanza kukabiliwa na ukosefu mkubwa wa chakula mwilini au kwa kimbombo starving. &lt;br /&gt;Faida za kufunga zinaweza kufahamika kwa kujua jinsi mwili unavyofanya kazi wakati chakula kinapokosekana. &lt;br /&gt; Wakati mwili unapoishiwa na nguvu inayotokana na chakula, huanza kutegemea hazina yake ya chakula kilichohifadhi na kitendo hicho huitwa Autolysis. Autolysis ni kuvunja vunja mafuta yaliyohifadhiwa mwilini ili kutengeneza nguvu, kitendo ambacho hufanywa na ini. Hali hiyo hupunguza mafuta ya ziada mwilini ambayo ndio sababu kuu ya magonjwa mengi kama vile shinikizo la damu, mshituko wa moyo na kadhalika.&lt;br /&gt; Kufunga pia husaidi kuondoa sumu mwilini. Suala hilo hurahisishwa na kufunga kwani chakula kisipoingia mwilini, mwili hubadilisha mafuta yaliyohifadhiwa kuwa nishati na kupitia kitendo hicho kemikali nyinginezo na sumu zenye madhara kwa mwili pia hutoka katika utumbo, ini, figo, mapafu na ngozi. Hizi ni sumu ambazo hutokana na vyakula tunavyokula na mazingira yetu, na huingia mwilini na kuhifadhiwa pamoja na mafuta. &lt;br /&gt;  Faida nyingine ya swaumu kitiba ni kuupumzisha mfumo wa chakula. Wakati mtu anapokuwa hali, nguvu inayotumiwa na mfumo wa chakula ambao huwa umepumzika huelekezwa kwenye metabolism na mfumo wa kulinda mwili. Kitendo hicho husaidia mfumo wa kulinda mwili uweze kufanya kazi zake vyema zaidi na kupambana na mgonjwa au vile visivyotakiwa mwilini. Pengine hii ndio babu wanyama wanapopata jeraha huacha kula, na wanadamu hupoteza hamu ya kula wanapopatwa na magonjwa kama vile mafua. Kwa sababu mwili huielekeza nguvu yake yote kwenye mfumo wa ulinzi wa mwili ili kupambana na vijidudu. Faida hiyo mtu huipata pia anapofunga.&lt;br /&gt; Wakati wa kufunga vilevile joto la mwili hupungua kwa kiasi kikubwa. Hii hutokana na kupungua kasi ya metabolism na kusimama kazi nyingi zinazofanywa na mwili. Kwa kupungua kiwango cha sukari au glukosi katika damu, mwili hutumia glukosi inayohifadhiwa kwenye ini. BMR (basal metabolis rate) hupungua ili kuhifadhi nishati mwilini.  Pia homoni mbalimbali huzalishwa wakati mtu anapokuwa amefunga zikiwemo homoni za kukua na za kuzuia seli zisizeeke. Hivyo njia mojawapo ya kuzuia uzee na kuwa na maisha marefu ni kufunga.&lt;br /&gt;Kwa kuzingatia maelezo hayo yote tunaweza kusema kuwa, swaumu ina faida kubwa kiafya kwa mwanadamu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-2460960894854049341?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/2460960894854049341/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=2460960894854049341' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2460960894854049341'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2460960894854049341'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/08/swaumu-na-siha.html' title='Swaumu na Siha'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGfOYNbn9LI/AAAAAAAAAlQ/pLsNIQl9hn4/s72-c/swala.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-2945606044334981790</id><published>2010-08-12T16:02:00.003+04:30</published><updated>2010-08-12T16:07:18.760+04:30</updated><title type='text'>Ni vipi ubebe mimba ya mtoto wa kike?</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGPczykL2vI/AAAAAAAAAlI/61O-E_h73XU/s1600/baby1.jpg"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 374px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGPczykL2vI/AAAAAAAAAlI/61O-E_h73XU/s400/baby1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5504485951881861874" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Napenda kuchukua nafasi hii kujibu swali la pili la mdau mmojawapo wa Kona ya Afya ambaye ameuliza kuwa, ni vipi anaweza kubeba mimba ya mtoto wa kike. Katika kujibu swali hilo naweza kusema kwamba, ndugu mdau ulimwengu hivi sasa umeendelea sana kiasi kwamba matatizo mengi katika jamii yanatatuliwa kwa msaada wa wataalamu mbalimbali. Mojawapo ni suala la mtu kuzaa mtoto wa kike au wa kiume. Ingawa njia hizo nitakazoziandika hapa pengine hazina uhakika mia kwa mia, lakini wapo watu wengi wamejaribu na zimewasaidia. Hivyo nina matumaini kwa kufuata maelekezo haya ukaweza kupanga na kuzaa mtoto wa kike kama unavyokusudia. Ninachotaka kusisitiza hapa ni kuwa, maendeleo ya elimu hasa katika uwanja  wa sayansi na tiba yamekuwa na taathira nyingi katika kupunguza matatizo ya familia kama vile ugumba, kuzaa mtoto wa jinsia inayotakiwa na wazazi, magonjwa ya wanawake, vifo vya wajawazito na kadhalika. Ni ukweli usiopingika kwamba ingawa watu wengi wanazingatia kuzaa mtoto aliye mzima wa mwili na afya bila kujali jinsia ya mtoto huyo, lakini uchunguzi unaonyesha kwamba kuna baadhi ya watu au wazazi wanaopenda kuwa na watoto wa jinsia fulani zaidi. Vilevile imeonekana kuwa wanawake hupendelea kuwa na watoto wa kike huku wanaume wakipenda kuwa na watoto wa kiume. Hata hivyo wazazi ambao tayari wana watoto wa jinsia  ya kike au ya kiume hupendelea kuwa na mtoto wa njinsia nyingineyo ili kuwa na watoto wa kiume na wa kike.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGPckFwl1lI/AAAAAAAAAlA/_mKZjOI328g/s1600/baby+gal.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 265px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGPckFwl1lI/AAAAAAAAAlA/_mKZjOI328g/s400/baby+gal.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5504485682156262994" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Je, ni vipi jinsia ya mtoto huainishwa?&lt;br /&gt;Kinyume na wengi wanavyofikiria kwamba mwanamke au mwili wa mwanamke ndio mwenye jukumu la kuainisha jinsia ya mtoto kwa kuwa yeye ndiye anayebeba mimba, uhakika wa mambo ni kuwa mwanamume ndie mwenye uwezo wa kuainisha jinsia. Kila yai la mwanamke lina chromozu mbili za X. Iwapo manii ya mwanamume au spemu (ambayo in chromozomu X na Y) itakuwa na X na kurutubisha yai la mwanamke lenye X tupu, basi mtoto atakayezaliwa atakuwa mwanamke. Vilevile iwapo spemu ya mwanamume itakuwa na Y na kurutubisha yai la mwanamke, basi mtoto atakayezaliwa atakuwa mwanamume.  Hivyo kwa kufahamu suala hilo, ni matumaini yetu kuwa vile visa vya kinamama kuachwa eti kwa kuwa hawakuzaa watoto wa kiume au wa kike vitapungua katika jamii zetu. Mke wako asipozaa mtoto wa jinsia uitakayo, usifikiri kuwa yeye ndio mwenye makosa.&lt;br /&gt;Wakati mwanamume anapomwaga shahawa, spemu kati ya milioni 200 hadi 400 humwagwa katika uke wa mwanamke. Baadhi ya spemu hizo huwa zina chromozomu X na baadhi zina chromozomu Y. Hata hivyo, ni spemu moja  tu ambayo hutakiwa kwa ajili ya kurutubisha yai la mwanamke na kuunda mimba. Nadharia mbalimbali zinazotolewa kwa ajili ya kusaidia kuchagua ni jinsia gani unaitaka awe nayo mwanao, zinategemea suala la kuandaa mazingira katika uke na mwili wa mwanamume na mwanamke, yatakayosaidia  spemu ya baba  yenye chromozomu inayotakiwa irutubishe  yai la mama, na hivyo kutungwa mimba ya jinsia inayotakiwa.&lt;br /&gt;Njia ya Dr. Shettles ya kuzaa mtoto wa kike&lt;br /&gt;Njia hii imekuwa ikitumiwa na watu wengi kwa miaka mingi sana na imewasaidia kuweza kuzaa mtoto wa kike. Wengi wanasema kuwa uwezekano wa kufanikiwa njia hii ni asilimia 90. Njia ya Dr. Shettles inategemea msingi kwamba, chromozomu Y (yenye kuwezesha kutungwa mimba ya mtoto wa kiume) ni ndogo na yenye kwenda kwa kasi zaidi ikilinganishwa na chromozomu X (yenye kuwezesha kutungwa mimba ya mtoto wa kike) ambayo ni kubwa na huenda polepole.  Pia kwa kutegemea kuwa  chromozomu X inaishi muda mrefu zaidi kuliko ile ya Y.  Hivyo Dr. Shettles anashauri kuwa iwapo unataka kuzaa mtoto wa kike uhakikishe kuwa:&lt;br /&gt;• Unajamiiana siku 2 au 3 kabla ya Ovulation. Kinadharia spemu za kiume zitakuwa zimeshakufa hadi kufikia siku hasa ya Ovulation na kuziacha spemu za kike zikiwa hai tayari kurutubisha yai na kuunda  mtoto wa kike.&lt;br /&gt;• Anashauri pia wanawake wajizuie kufikia kileleni (orgasm) kwani hali hiyo itaufanya uke uwe na hali ya asidi ambayo ni kwa faida ya spemu ya kike yenye chromozomu X.&lt;br /&gt;• Pia anawashauri wazazi wanapojamiina wawe katika hali ya mwanamke kulala chini na mwanamume juu au missionary position. Kwani anasema kuwa mtindo huo huziwezesha spemu  zenye chromozamu X zimwagike karibu na mlango wa uke  na kuwa na uwezekano mkubwa wa kuingia ukeni na kutungwa mimba. &lt;br /&gt;Njia ya O+12 &lt;br /&gt;Njia hii inayomaanisha Ovulation jumlisha siku 12 ilivumbuliwa na mama  mmoja wa Australia aliyekuwa akihangaika kupata mtoto wa kike baada ya kuzaa watoto 6 wa kiume. Mama huyo anawahusia wale wanaotaka kubeba mimba ya mtoto wa kike wajamiiane masaa 12 baada ya Ovulation. Mama huyo alifuata njia ya Dr. Shettles bila mafanikio katika mimba zake za nyuma. Lakini baada ya kugundua njia yake hii mwenyewe mwishowe alibeba mimba na kujifungua mtoto wa kike. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGPcS5rQXcI/AAAAAAAAAk4/0hG2kdcD6Cc/s1600/baby2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 320px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGPcS5rQXcI/AAAAAAAAAk4/0hG2kdcD6Cc/s400/baby2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5504485386854882754" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna wengine wanaamini kwamba baadhi ya lishe na vyakula vya aina mbalimbali husaidia kutunga mimba ya mtoto wa kike. Kwa mfano kuna wanaoamini kuwa kula baadhi ya vyakula huufanya uke uwe na hali ya asidi ambayo husaidia Chromozomu Y ife katika uke. Nadharia nyingineyo inayotumiwa katika kuchagua jinsia ya mtoto inasema kwamba, mwanamke anayetaka kubeba mimba ya mtoto wa kike ale vidonge vya virutubisho (supplements) vya Calcium na Magnessium mwezi mmoja kabla ya kubebea mimba. Iwapo unataka kutumia vidonge vya virutubisho ili uweze beba mimba ya mtoto wa kike, ni  bora ushauriane na daktari wako  kwanza. Hii ni kwa sababu dawa hizo huweza kuingiliana na dawa nyinginezo za magonjwa mbalimbali.&lt;br /&gt;Baadhi ya vyakula vinavyotajwa kuwa vinasaidia katika kutunga mimba ya mtoto wa kike ni.&lt;br /&gt;• Mahindi, nyama, maharagwe, samaki, tunda damu, mayai na maini. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyakula hivyo ni vya asidi hivyo huifanya PH ya mwili wako hupungua na kuwa ya acidi. Hali hiyo husaidia kuua spemu za Y na hivyo kusaidia kuzifanya spemu za X ziwe na uwezekano mkubwa wa kurutubisha yai.  Hivyo mwanamke anayependelea kubebea mimba ya mtoto wa kike anashauriwa kutokula vyakula vyenye alikali ambavyo ni kama, ndizi, chokleti, juisi ya machungwa, viazi, tikiti maji na vinginevyo. &lt;br /&gt;  Pia sio mbaya kutaja baadhi ya imani na itikadi wanazoamini baadhi ya watu kuwa zinasaidia katika kupata mtoto wa kike:&lt;br /&gt;• Fanya mapenzi wakati wa mchana.&lt;br /&gt;• Fanya mapenzi siku shufwa (even days) za mwezi.&lt;br /&gt;• Fanya mapenzi wakati mwezi umekamilika ( full moon days).&lt;br /&gt;• Kula samaki na mboga mboga kwa wingi, na baadaye kufuatiwa na kitinda mlo cha chokleti.&lt;br /&gt;• M-surprise mwenzi wako, kuna wahenga wanaamini wanawake wanaoanzisha wao kufanya mapenzi huzaa watoto wa kike!]&lt;br /&gt;Hivyo kila la kheri wadau, unaweza kuchagua moja ya njia  kati ya zilizotajwa hapo juu na kwa kufuata maelekezo ukajaaliwa kuzaa mtoto wa kike.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-2945606044334981790?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/2945606044334981790/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=2945606044334981790' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2945606044334981790'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2945606044334981790'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/08/ni-vipi-ubebe-mimba-ya-mtoto-wa-kike.html' title='Ni vipi ubebe mimba ya mtoto wa kike?'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGPczykL2vI/AAAAAAAAAlI/61O-E_h73XU/s72-c/baby1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3039880724201759360</id><published>2010-08-11T18:40:00.003+04:30</published><updated>2010-08-11T18:52:11.741+04:30</updated><title type='text'>Ni alama gani za mwili wako zitakufahamisha Ovulation imewadia?</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGKyAiPHMVI/AAAAAAAAAko/zdOAJSk1LKk/s1600/pre.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGKyAiPHMVI/AAAAAAAAAko/zdOAJSk1LKk/s400/pre.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5504157416860102994" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wadau wa Kona ya Afya, niliahidi kuendeleza mada yetu ya namna ya kuzijua siku za kushika mimba kwa kuzungumzia baadhi ya alama za mwili zinazosaidia kutambua ni wakati gani Ovulation imewadia. Alama hizo za Ovulation si ngumu kuzitambua, iwapo utafahamu unatafuta alama gani. Kuna baadhi ya alama za mwili zinazokutahadharisha kwamba Ovulation iko njiani, hivyo kuweza kukusaidia kupanga vyema muda wa kujamiiana kwa ajili ya kupata mamba. Alama nyinginezo zinakufahamisha kwamba Ovulation imewadia au imeshapita. Ingawa alama hizo ziko nyingi na nitazungumzia baadhi ya hizo, lakini usifikiri kwamba unatakiwa utumie zote, kwani kufanya hivyo kunaweza kukuchanganya.&lt;br /&gt;Iwapo hutoona alama zozote za Ovulation au iwapo siku zako za mwezi hazina mpangilio maalum, ni bora umuone daktari ambaye atakusaidia zaidi.&lt;br /&gt;Mabadiliko ya joto lako la Mwili&lt;br /&gt;Tunaweza kusema kuwa Joto lako la mwili au (Body Basal Temperature) ndio alama maarufu inayotumiwa na wanawake wengi ili kufahamisha kwamba Ovulation imewadia pale wanapotaka kubeba mimba. Hii ni kwa sababu joto lako la mwili huongezeka kwa kiasi kidogo na huendelea kuongezeka baada ya Ovulation. Ongezeko hilo la joto husababishwa na homoni ya progesterone, ambayo huongezeka sana punde baada ya Ovulation. Kwa kujipima joto lako la mwili na kuandika chati ya mabadiliko hayo unaweza kufahamu ongezeko hilo la joto lako la mwili. Unahitajia kipimamoto kwa ajili ya kufanikisha suala hilo. Zipo pimajoto maalum kwa ajili hiyo lakini unaweza kutumia pimajoto ya kawaida pia.  Hakikisha unapima joto la mwili wako asubuhi baada ya kuamka na uhakikishe huna homa, hukukosa usingizi, hukunywa pombe, si mgonjwa wala huna wasiwasi na fikra nyingi. Ni bora ufanye hivyo kwa mizunguko kadhaa ya siku zako ili uweze kuijua vyema chati ya mabadiliko ya joto la mwili kwa mujibu wa mzunguko wako wa mwezi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGKxYcpJ_6I/AAAAAAAAAkY/0pzMrbTrHig/s1600/chat.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGKxYcpJ_6I/AAAAAAAAAkY/0pzMrbTrHig/s400/chat.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5504156728163958690" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa njia hii haianishi moja kwa moja kuwa Ovulation imewadia, lakini joto la mwili huongezeka kidogo kabla yakipindi hicho na huongezeka kwa kwa degree 0.4 hadi 0.6 baada tu ya kumalizika Ovulation. Kuongezeka  joto kwa kiasi kikubwa baada ya Ovulation huendelea hadi siku utakayopata siku zako ambapo hupungua na mzunguko wako wa mwezi huanza tena. Iwapo utakuwa umepata mimba joto lako la mwili litaendelea hivyo hivyo kuwa juu. Kwa kuwa mabadiliko ya joto hutokea wakati wa Ovulation iwapo unajaribu kubeba mimba, kufuatilia mabadiliko hayo kwa muda usiopungua miezi miwili ni jambo la dharura ili uweze kujua wakati wa Ovulation ambapo una uwezekano mkubwa wa kubeba mimba. &lt;br /&gt;Mabadiliko ya majimaji ya ukeni&lt;br /&gt;Wakati Ovulation inakaribia majimaji ya ukeni hubadilika pia kwa kiasi na hali. Ikiwa hakuna Ovulation majimaji ya ukeni huwa yanayonata au kama kremu au hukosekana kabisa. Wakati Ovulation inakaribia majimaji ya ukeni huongezeka na huwa katika hali ya majimaji na wakati mwingine huwa rangi nyeupe kama ya yai bichi. Iwapo utapima kwa vidole vyako huvutika kwa inchi au zaidi kati ya vidole vyako.&lt;br /&gt;Ni bora nikumbushe hapa kwamba, kuan wakati unaweza kuwa na majimaji ya ukeni yanayofanana na ya wakati wa Ovulation hali ya kuwa huko katika Ovulation. Hali hiyo ni ya kawaida kwa watu wenye PCOS. Kutumia dawa za Clomid au Antihistamin huweza kufanya majimaji ya ukeni yakauke na hivyo kuwa vigumu kutumia njia hii ili kujua ni zipi siku zennye uwezekano mkubwa wa mimba.  Njia hii huhesabiwa kuwa yenye itibari zaidi. &lt;br /&gt;Ongezeko la Matamanio &lt;br /&gt;Inaonekana kuwa maumbile nayo hutusaidia kujua ni siku gani tunaweza kubeba mimba! Wataalamu wameonyesha (jambo ambalo pengine wengi wameshalihisi) kwamba wanawake wanapokuwa katika siku zenye uwezekano mkubwa wa kupata mimba, matamanio yao ya huongezeka. Hizo ni siku chache kabla ya kujiri Ovulation, ambapo ndio wakati unaofaa wa kujamiiana iwapo unataka kubeba mimba. &lt;br /&gt;Hata hivyo njia hii si ya kutumainiwa sana kwani baadhi ya hali kama vile msongamano wa mawazo, fikra nyingi na wasiwasi huweza kupunguzaa matamanio. Au mtu anaweza akahisi matamanio katika muda wote wa mzunguko wa mwezi. &lt;br /&gt;Mabadiliko ya Ukeni:&lt;br /&gt;Kama ambavyo majimaji ya ukeni yanavyobadilika wakati wa Ovulation, uke nao (cervix) hubadilika wakati wa kukaribia Ovulation. Wakati huo uke husogea mbele, huwa laini na hufunguka zaidi. &lt;br /&gt;Maumivu kidogo katika Matiti:&lt;br /&gt;Baadhi ya wanawake wakati wanapokaribia Ovulation au baada ya hapo matiti yao huwa na maumivu kidogo. Suala hili huhusiana na mabadiliko ya homini mwili ambazo hujitayarisha kwa ajili ya mimba. Hata hivyo njia hii sio yenye kutegemewa sana kwani maumivu ya matiti huweza kusababishwa na masuala mengine. Pia maumivu ya matiti hutokea kabla ya hedhi au baada ya kutumia baadhi ya dawa za kusaidia uzazi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGKxHgKFsbI/AAAAAAAAAkQ/UeG1tNSXHfA/s1600/ovu.jpg"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 280px; height: 280px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGKxHgKFsbI/AAAAAAAAAkQ/UeG1tNSXHfA/s400/ovu.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5504156437049618866" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alama nyinginezo&lt;br /&gt;Baadhi ya wanawake huhisi maumivu kidogo ya tumbo ambayo baadhi huyaita Middle Pain. Maumivu hayo kwa kawaida hutokea upande ule yai linapotoka yaani upande wa Ovulation. Maumivu hayo hutokana na mwendo wa yai  wakati linapopenya kwenye mirija. Maumivu hayo si ya kuendelea na wala si makubwa na huisha haraka. Hali hiyo huweza kutokea mara kadhaa katika siku za Ovulation. Kuna baadhi ya alama kama vile baadhi ya wanawake huhisi kichefuchefu, gesi, kukojoa mara kwa mara na maumivu wakati wa kujamiina, hali ambayo haitokei kwa watu wengi. Pia kuna baadhi ya vifaa vinavyopaatikana katika madula ya dawa katika baadhi ya nchi ambavyo huweza kukusaidia kujua wakati wako wa Ovuation umewajia, vifaa hivyo hujulikana kama 'Ovulation Kit"&lt;br /&gt;La muhimu  ni kufahamu kuwa wanawake hutofautiana katika kupata alama hizi, kwani kuna baadhi wanaweza wakapata baadhi ya alama hizi na wengineo wakapata nyinginezo. Kuuelewa vyema mwili wako ni jambo zuri linaloweza kukusaidia kuzijua siku zako la Ovulation na hivyo kuweza kujua siku zako za kubeba mimba.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3039880724201759360?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3039880724201759360/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3039880724201759360' title='12 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3039880724201759360'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3039880724201759360'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/08/ni-alama-gani-za-mwili-wako.html' title='Ni alama gani za mwili wako zitakufahamisha Ovulation imewadia?'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TGKyAiPHMVI/AAAAAAAAAko/zdOAJSk1LKk/s72-c/pre.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>12</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-7555336165588193386</id><published>2010-08-07T10:06:00.002+04:30</published><updated>2010-08-07T10:19:00.220+04:30</updated><title type='text'>Je, Poda zina madhara kwa watoto?</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TFzzu8ctkHI/AAAAAAAAAkI/p-q9ia5eVW4/s1600/toto.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TFzzu8ctkHI/AAAAAAAAAkI/p-q9ia5eVW4/s400/toto.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5502540832565989490" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, Kona ya Afya imeamua kuanza tena kutoa makala kwa ari mpya, ambapo kwanza tunaanzia kwa kuwajibu maswali wadau ambayo yaliulizwa huko nyuma. Hivyo napenda kuwaeleza wale waliouliza maswali yao kuwa, wasifikiri nimeyatupa kapuni bali nitayajibu moja baada ya jingine Mungu akijaalia.  &lt;br /&gt;Tukirudi katika swali la mdau aliyeuliza je Poda zina madhara kwa watoto, kwanza tujue poda ni nini?&lt;br /&gt;Poda ya watoto ni unga unga unaotumika ili kuzuia vipele vya nepi kwa watoto na wakati mwingine hutumika kwa ajili ya kuondosha harufu kama deodorant na kwa matumizi mengine ya vipodozi. Poda inaweza kuwa imechanganywa na 'talc' ambapo poda ya aina hiyo huita talcum powder, na wakati mwingine huchanganywa na unga wa wanga. Poda ya Talcum ni hatari iwapo itamezwa na mtoto kwa sababu inaweza kusababisha pneumonia au ugonjwa wa granuloma. Hakuna maelekezo ya moja kwa moja ya madaktari au taasisi zinazohusika kwa mfano WHO kuhusiana na madhara ya poda kwa watoto au kupiga marufuku matumizi ya poda kwa watoto. Lakini kuhusiana na aina ya poda za Talcum baadhi wanasema kwamba, talc ni mada inayoweza kusababisha kensa na magonjwa mbalimbalia kama vile cysts. Pia wanasema kwamba poda aina ya talc ni hatari kwa mtoto iwapo ataimeza au itamwingia mtoto mdomoni. Lakini pia wako wengine wanaosema kuwa hata poda ya wanga nayo ikitumiwa kwa ajili ya kupunguza vipele vya nepi huweza kuzidisha maambukizo ya 'yeast' au fungus. Vilevile kuna wengine wanaosema kwamba kwa kuwa mwili wa mtoto bado ni mchanga na dhaifu, kujiepusha kutumia katika ngozi ya mtoto vitu  vinginevyo kama poda au hata mafuta huweza kusababisha mtoto apate allergy hasa iwapo vifaa kama hivyo vitakuwa vimepitwa na wakati au havikuhifadhiwa katika hali nzuri. Lakini la muhimu kabisa ambalo madakatari, wauguzi na wakunga huwahusia wazazi hasa baada ya kuzaliwa mtoto ni kujihadhari iwapo wanatumia poda wahakikishe kuwa poda haingii kwenye kitovu cha mtoto kabla hakijaanguka.&lt;br /&gt;Hivyo ndugu mdau uliyeuliza swali hili, sina jibu la moja kwa moja kwamba poda ina madhara au la, ispokuwa nakuachia mwenyewe baada ya kusoma makala hii uamue utumie poda kwa ajili ya mtoto wako au usitumie. &lt;br /&gt;• Lakini iwapo utataka kutumia poda basi naweza kukushauri tu ni bora unaponunua poda basi na uangalie vyema kabla ya kununua na kuhakikisha kwamba si ya talcum. Na kama utatumia ya wanga basi iwapo mtoto atapata fungus kwa wakati huo usiendelee kutumia poda hadi atakapopona. Kwani kuendelea kutumia poda kunafanya fungus zizidi. &lt;br /&gt;• Pia hakikisga poda haiingia katika kitovu cha mtoto hasa wakati kibichi na kabla yakijaanguka.&lt;br /&gt;• Hakikisha mtoto hamezi poda au poda haimuuingia mdomoni, puani au masikioni.&lt;br /&gt;• Hakikisha unanua aina za poda zinazojulikana vyema kutoka katika mashirika yenye itibari.&lt;br /&gt;• Hakikisha hata kama unanua poda yenye jina linalojulikana lakini usinunue sehemu mbazo poda humwaga chini au huhifadhiwa katika sehemu zisizofaa ambapo huweza kusababisha hali ya awali ya poda ibadilike.&lt;br /&gt;• Zingatia muda wa kuisha matumizi ya poda unayoitumia, expire date.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-7555336165588193386?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/7555336165588193386/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=7555336165588193386' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7555336165588193386'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7555336165588193386'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/08/je-poda-zina-madhara-kwa-watoto.html' title='Je, Poda zina madhara kwa watoto?'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TFzzu8ctkHI/AAAAAAAAAkI/p-q9ia5eVW4/s72-c/toto.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-7051125443394278170</id><published>2010-08-05T15:26:00.005+04:30</published><updated>2010-08-05T15:47:59.085+04:30</updated><title type='text'>Zijue siku zako za kushika Mimba</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TFqdyJ1C3mI/AAAAAAAAAj4/ILgv4koGA2U/s1600/pre2.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 298px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TFqdyJ1C3mI/AAAAAAAAAj4/ILgv4koGA2U/s400/pre2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5501883379743907426" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimeamua kuandika makala hii ili kujibu swali la moja wa mdau wa blogi hii ambaye ameuliza kwamba, anahitaji kushika mimba na je, kwa mfano mwezi huu alianza period yake tarehe 17 Juni, ni zipi siku zake za kushika mimba? Ndugu mdau kwanza kabisa nachukua nafasi hii kukuomba samahani kwa kuchelewa kujibu swali lako. Pengine ninapoandika makala hii utakuwa tayari umeshashika mimba, basi kama ni hivyo hakuna tabu bali natumaini swali lako litakuwa limewasaidia wengine ambao pengine wana tatizo kama halo.  Pia umeualiza je, ukitaka mtoto wa kike ufanyeje? &lt;br /&gt;Nachukua nafasi hii kwanza kujibu swali lako la kwanza kabla sijaenda kwenye swali lako la pili. Kwani kuelewa vyema swali la kwanza kutasaidia kuelewa swali la pili pia. &lt;br /&gt;              Inafaa tufahamu kuwa ili kuweza kujua ni siku zipi za mwezi mwanamke anaweza kushika mimba (to conceive) inabidi tujua kwanza kipindi ambacho mwili wa mwanamke uko tayari kushika mimba au Ovulation Period. Ovulation ni wakati ambao yai lililokua hutoka katika mirija ya ovari katika kizazi cha mwanamke na katika wakati huu uwezo wako wa kushika mimba ni mkubwa. Kwa kawaida mwanadamu huwa na mayai kadhaa katika ovari zake kwa wakati maalum wa mwenzi, ambapo yai kubwa kuliko yote huondoka na kueleka katika tumbo la uzazi kupitia mirija ya ovari. Ovulation haifuati mpangilio maalum kati ya ovari katika kila mwezi na haijulikani ni ovari gani itatoa yai kila mwezi. Wakati yai linapotoka huwa na uwezo wa kurutubishwa au kukutana na mbegu ya kiume na kuanza kutengeneza mtoto kwa muda wa masaa 12 hadi 24, kabla halijapoteza uwezo wake. Iwapo yai litafanikiwa kurutubishwa na mbegu ya kiume kwa wakati maalum na kujikita katika fuko la uzazi basi matokeo yake ni mimba. Na iwapo halitorutubisha yai hilo pamoja na kuta za kizazi huharibika na kutoka nje ya mwili kama damu ya hedhi. &lt;br /&gt;Nimetangulia kueleza haya kama utangulizi kabla ya kuzieleza siku za kushika mimba kwani kuelewa suala hilo kutatusaida kujua umuhimu wa kujua idadi ya siku zetu za mzunguko wa mwezi (Menstrual  Cycle) na umuhimu wake katika kushika mimba na hata katika magonjwa ya wanawake. Ili kuelewa vyema siku hizo inatubidi tujue kitu kinachoitwa Kalenda ya Ovulation au kalenda ya kubeba mimba na pia tujua mzunguko wetu wa hedhi una siku ngapi. Mzunguko wa mwezi ni siku ya kwanza unayopata damu yako ya hedhi hadi siku kabla ya kupata tena hedhi nyingine. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TFqbWzPDf2I/AAAAAAAAAjo/S7SB7DSuNvA/s1600/kal2b.bmp"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TFqbWzPDf2I/AAAAAAAAAjo/S7SB7DSuNvA/s400/kal2b.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5501880710799261538" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wataalamu wanatuambia kuwa ili kujua mzunguko huo vyema inatubidi tuchunguze hedhi yetu kwa miezi isiyopungua 6. Lakini kama una haraka na huwezi kuchunguza kwa miezi 6 chunguza kwa miezi mitatu. Unaweza kufanya hivyo kwa kutumia kalenda ya kawaida na kwa kuziwekea mduara kwa kalamu siku zako za mwezi, yaani siku ya kwanza ya kupata damu ya hedhi hadi siku ya mwisho kabla ya hedhi inayofuata. Mzunguko wako wa mwezi ni siku ya kwanza ya hedhi hadi siku ya kabla ya kuanza hedhi nyingine. Kwa mfano iwapo nimepata siku zangu tarehe Pili Julai na nimepata tena siku zangu tarehe 29 Julai, mzunguko wangu ni wa siku 28.  Kwa kawaida mzunguko wa siku 28 ndio mzunguko wa kawaida kwa wanawake wengi. Lakini kuna baadhi ya wanawake huwa na mzunguko wa chini ya siku 28 na wengine huwa na mzunguko wa hadi siku 35. &lt;br /&gt;Ni vipi utazijua siku zako za Ovulation &lt;br /&gt;Wakati wa Ovulation katika mzunguko wa mwezi huainishwa na luteal phase, katika mzunguko wako. Unaweza kujua muda wa Ovulation katika mzunguko wako wa mwezi kwa kutoa idadi ya siku za luteal phase. Katika kuhesabu huko utapata mzunguko mfupi na mrefu.  Chukua mzunguko mfupi wa mwezi na hesabu idadi ya siku katika mzunguko huo. Toa 18 katika mzunguko huo na utapata idadi fulani. Halafu anza kuhesabu siku yako ya kwanza ya mzunguko wa hedhi katika mwezi unaofuata kwenda mbele hadi kufikia namba ulioyopata, hivyo utaweza kupata siku ambayo una uwezekano mkubwa wa kubebea mimba. &lt;br /&gt;Kwa mfano mzunguko wako mfupi ni siku 29, unatoa 18 katika 29 na unapata 11. Iwapo siku yako ya kuanza hedhi mwezi ujao ni Oktoba 3, ongeza siku 11 kuanzia siku hiyo. Hivyo siku ambayo una uwezekano mkubwa wa  kubeba mimba  itakuwa Oct. 14. &lt;br /&gt;Halafu chungua idadi ya siku za mzunguko wako mrefu wa hedhi. Toa siku 11 kutoka katika  idadi ya siku za mzunguko huo na utapata namba fulani. Halafu tena anza kuhesabu katika mzunguko wako ujao wa hedhi kwenda mbele hadi kufikia siku ambayo una uwezekano wa kupata mimba.&lt;br /&gt;Kwa mfano iwapo mzunguko wako mrefu ni siku 31, toa 11 katika mzunguko huo na utapata 20. Iwapo hedhi yako ijayo inaanza tarehe 3 Oktoba, ongeza siku 20 kuanzia siku hiyo na tarehe 23 Oktoba itakuwa siku yako ambayo una uwezekano mkubwa wa kubeba mimba. &lt;br /&gt;Kwa utaratibu huo utakuwa umepata kipindi cha kati ya Oktoba 14 hadi 23 ambacho ni siku ambazo una uwezekano mkubwa wa kubeba mimba au Ovulation window kwa kimombo. &lt;br /&gt;Ovation huweza kubadilika kidogo katika mzunguko wako wa hedhi kwa sababu Ovulation huweza kucheleweshwa na sababu mbalimbali kama vile wasiwasi au fikra nyingi, ugonjwa, lishe  au kufanya mazoezi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TFqa7ttl3lI/AAAAAAAAAjY/UEo6RuCrnIA/s1600/kal3.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 267px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TFqa7ttl3lI/AAAAAAAAAjY/UEo6RuCrnIA/s400/kal3.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5501880245460262482" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Vipi kipindi cha Ovulation kinaainisha ziku za kubeba mimba?&lt;br /&gt;Kipindi cha kubeba mimba huanza siku 4 hadi 5 kabla ya Ovulation, na humalizika masaa 24 hadi 48 baada ya hapo hii ni kwa sababu muda wa ovulation huweza kuchelewa au kuwahi kutokana na sababu mbalimbali. Pia kwa sababu mbegu ya kiume huwa na uhai kwa siku 4 hadi 5 na yai huweza kuishi kwa masaa 24 hadi 48 baada ya kuingia katika tumbo la uzazi. Hivyo kwa kujua siku hizo humsaidia mwanamke kufahamu kipindi chake cha Ovulation kimewadia na hivyo kuweza kukukutana na mumewe au mwenza wake wakati huo ili aweze kubeba mimba.  Pia kujua kipindi hiki na masuala mengineyo kama hali ya joto la mwili ilivyo wakati wa Ovulation huweza kutumika kama njia ya kuzuia mimba. Yaani kutojamiiana katika kipindi hiki huweza kumzuia mtu asipate mimba. &lt;br /&gt;Kwa kuwa kipindi cha Ovulation hakina tarehe maalum na ni siku kadhaa, katika makala ijayo nitaendelea kuzungumzia baadhi ya alama za mwili zinazosaidia kutambua ni wakati gani Ovulation imewadia. &lt;br /&gt;Daima tuzilinde afya zetu!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-7051125443394278170?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/7051125443394278170/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=7051125443394278170' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7051125443394278170'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7051125443394278170'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/08/zijue-siku-zako-za-kushika-mimba.html' title='Zijue siku zako za kushika Mimba'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TFqdyJ1C3mI/AAAAAAAAAj4/ILgv4koGA2U/s72-c/pre2.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-8846389991489759459</id><published>2010-08-02T17:56:00.002+04:30</published><updated>2010-08-02T18:06:40.815+04:30</updated><title type='text'>Nimerudi blogini Wadau na samahani sana kwa kupotea!</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TFbJu14hjXI/AAAAAAAAAjQ/BN98l12kGlw/s1600/ua.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TFbJu14hjXI/AAAAAAAAAjQ/BN98l12kGlw/s400/ua.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5500805801454964082" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wapenzi wadau wangu wa Kona ya Afya,&lt;br /&gt;Napenda kuchukua nafasi hii kuwajulisha kwamba nimerudi blogini. Pia kuwaomba samahani kwa kusokena kw amuda mrefu kutokana na majukumu, kazi na safari za hapa na pale. Nawaahidi kwamba nitajitahidi kujibu maswali yenu mliyoniuliza na kuirejesha tena blogi yetu katika hali yake ya kawaida.&lt;br /&gt;Nawatakieni Afya Njema!&lt;br /&gt;Shally!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-8846389991489759459?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/8846389991489759459/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=8846389991489759459' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8846389991489759459'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8846389991489759459'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/08/nimerudi-blogini-wadau-na-samahani-sana.html' title='Nimerudi blogini Wadau na samahani sana kwa kupotea!'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TFbJu14hjXI/AAAAAAAAAjQ/BN98l12kGlw/s72-c/ua.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-6778471864509856191</id><published>2010-06-19T10:25:00.004+04:30</published><updated>2010-06-19T10:30:22.764+04:30</updated><title type='text'>Kunywa maji kwa mpangilio husaidia  kurahisisha utendaji wa mwili</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TBxc5kDjQsI/AAAAAAAAAjI/pTAi2OjF_b8/s1600/maji1.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 268px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TBxc5kDjQsI/AAAAAAAAAjI/pTAi2OjF_b8/s400/maji1.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5484360590231290562" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kila mtu anajua umuhimu wa maji katika miili yetu. Sio kwamba tu mwili wenyewe umejengwa kwa asilimia kati ya 55 na 75 za maji (kwa kutegemea unene wa mtu ambapo watu wembemba wana kiasi kikubwa cha maji mwilini kuliko wanene) bali pia mwili unahitajia maji kwa kiasi kikubwa ili kufanya kazi zake vyema.&lt;br /&gt;Je? Unajua mapafu yako yanahitajia vikombe wiwili vya maji hadi vinne kila siku ili kufanikisha kwa ufanisi kazi yake ya kupumua? Na kiasi hicho huhitajika ziadi wakati wa baridi. &lt;br /&gt;Je, unajua wakati unapotoka jasho kikombe kimoja cha maji hupungua mwilini mwako. Na je, unatambua kwamba iwapo utaoga wakati wa mchana kwa mara karibu tatu kwa siku ni kana kwamba umekunywa vikombe 6 vya maji? &lt;br /&gt;Kunywa maji kwa kiasi cha kutosha husaidia kupunguza uwezekano wa kutokea mawe katika figo, hulainisha viungo na huzuia mafua na kusaidia kupona haraka ugonjwa huo. Vilevile kunywa maji husaidia mtu kupata choo vyema. &lt;br /&gt;Maji ni hitajio la dharura kwa afya zetu, kwani asilimia 60 ya uzito wako ni maji na kila mfumo wa mwili wako hutegemea maji ili kufanya kazi zake. Ukosefu wa maji mwilini humfanya mtu akaukiwe na maji au dehydration, hali ambayo hutokea pale mtu asipokuwa na maji ya kutosha mwilini ya kuuwezesha mwili wake kufanya kazi zake za kawaida. Hata katika upungufu mdogo wa maji mwilini, wakati ambapo  asilimia 1 hadi 2 ya uzito wa mwili inapopungua, huweza kumfanya mtu akose nguvu na ajisike amechoka. Miongoni mwa dalili za upungufu wa maji mwilini ni:&lt;br /&gt;• Kukihi kiu sana&lt;br /&gt;• Uchovu&lt;br /&gt;• Kichwa kuuma&lt;br /&gt;• Mdomo kukauka&lt;br /&gt;• Kukosa mkojo au kiasi cha mkojo kuwa kidogo.&lt;br /&gt;• Udhaifu wa misuli&lt;br /&gt;• Kuhisi kizunguzungu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TBxcjvwat9I/AAAAAAAAAi4/ATz2yYDZvu4/s1600/maji2.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 315px; height: 367px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TBxcjvwat9I/AAAAAAAAAi4/ATz2yYDZvu4/s400/maji2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5484360215415142354" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Ni muhimu kujua kwamba mwili hupoteza maji kila siku kwa kutokwa na jasho, iwe jasho hilo umelihisi au haukulihisi, kutoa pumzi nje (exhaling), kukojoa na harakati ya tumbo. (bowel movement). Ili mwili wako uweze kufanya kazi vizuri unahitajia kurudisha maji hayo mwilini kwa kunywa vinywaji mbalimbali na vyakula vyenye maji. &lt;br /&gt;Wataalamu wengi wanakubaliana kuwa mwanadamu anahitajia kunywa vikombe 8 vya maji kwa siku, ili kufidia maji yanayopotae  mwilini. Hata hivyo wengine wanashauri kwamba, wanaume wanywe vikombe 13 vya maji kwa siku na wanawake vikombe 8 vya maji, na hiyo ni kutokana na tofauti ya miili yao. Tunashauriwa kuwa badala ya kunywa maji kiholela tunywe kwa mpangilio maalum kwa siku, ili kusaidia vyema katika kazi za mwili. &lt;br /&gt; Tunashauriwa kunywa vikombe viwili vya maji asubuhi pindi tunapoamka, kwani husaidia kuamsha viungo vya ndani ya mwili.&lt;br /&gt; Tunashauri tunywe kikombe kikoja cha maji dakika 30 kabla ya mlo, kwani husaidia kupata choo vizuri.&lt;br /&gt; Tunashuariwa tunywe kikombe kimoja cha maji kabla ya kwenda kuoga, husaisia kupunguza shikizo la damu.&lt;br /&gt;  Na tunashauriwa kunywa kikombe kimoja cha maji kabla ya kulala kwani kufanya hivyo huzuia shinikizo la moyo.&lt;br /&gt;Basi kunywa maji kwa afya yako mdau!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-6778471864509856191?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/6778471864509856191/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=6778471864509856191' title='9 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6778471864509856191'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6778471864509856191'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/06/kunywa-maji-kwa-mpangilio-husaidia.html' title='Kunywa maji kwa mpangilio husaidia  kurahisisha utendaji wa mwili'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TBxc5kDjQsI/AAAAAAAAAjI/pTAi2OjF_b8/s72-c/maji1.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>9</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-8466988715557846461</id><published>2010-06-06T16:16:00.002+04:30</published><updated>2010-06-06T16:20:13.772+04:30</updated><title type='text'>Kensa kuua watu milioni 13.2 ifikapo mwaka 2030</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TAuK0yzIp_I/AAAAAAAAAiw/XVmH6WMVkL8/s1600/kensa.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 216px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TAuK0yzIp_I/AAAAAAAAAiw/XVmH6WMVkL8/s400/kensa.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5479626011220420594" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Maafisa wa Umoja wa Mataifa wametangaza kwamba, watu zaidi ya milioni 13.2 watafariki dunia ifikapo mwaka 2030 kutokana na maradhi ya kensa, idadi ambayo ni mara mbili ya ile ya mwaka 2008. Takwimu hizo za hivi karibuni zinaonyesha pia kwamba, ugonjwa wa saratani mwaka 2008 ulisababisha watu milioni 7.6 waage dunia na kwamba kesi mpya milioni 12.7 za kensa mbalimbali zimegunduliwa mwaka huu. Nchi zinazoendelea zimeripotiwa kuwa na asilimia 56 ya kensa mpya na asilimia 63 ya kensa zote zilizoripotiwa mwaka 2008. Kensa ambazo zilitokea kwa kiasi kikubwa mwaka  2008 ni kensa za mapafu, matiti na kensa ya utumbo, rectum na apendeksi au colorectal cancer. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Kimataifa cha Utafiti wa Kensa( IARC) kesi za ugonjwa wa kensa zitaongezeka mara dufu katika miongo miwili ijayo iwapo hali ya sasa itaendelea hivyo hivyo. Christopher Wild Mkurugenzi wa IARC amesema kwamba, maradhi ya kensa hakuna sehemu yoyote duniani yasipokuwepo, hata katika nchi zilizoendelea na zenye utajiri mkubwa. Amesisitiza kwamba la kusikitisha ni kuwa maradhi ya kensa ambayo mwanzoni yalishudiwa kwa wingi katika nchi zinzoendelea hivi sasa yapo pia katika nchi masikini.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-8466988715557846461?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/8466988715557846461/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=8466988715557846461' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8466988715557846461'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8466988715557846461'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/06/kensa-kuua-watu-milioni-132-ifikapo.html' title='Kensa kuua watu milioni 13.2 ifikapo mwaka 2030'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/TAuK0yzIp_I/AAAAAAAAAiw/XVmH6WMVkL8/s72-c/kensa.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-9062265216594210591</id><published>2010-05-26T16:52:00.002+04:30</published><updated>2010-05-26T16:58:52.431+04:30</updated><title type='text'>DAWA ZA KIUNGULIA ZINASABABISHA MPASUKO WA MIFUPA</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S_0T_yjzgYI/AAAAAAAAAio/t1n2J9DE3-c/s1600/DR.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 216px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S_0T_yjzgYI/AAAAAAAAAio/t1n2J9DE3-c/s400/DR.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5475554708577026434" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taarifa mpya zinasema kwamba, maafisa wa afya wametahadharisha juu ya kutumiwa kwa muda mrefu dozi kubwa ya dawa za kuondoa kiungulia, (heartburn) na kusisitiza kwamba zinasababisha mifupa kupasuka.  Dawa hizo ni zile zinazojulakana kama Proton Pumping Inhibitors (PPI) zinazozuia kiungulia na ambazo hutumiwa kudhibiti kiwango cha asidi katika tumbo na pia kutibu ugonjwa wa GERD au gastroesophageal reflux disease. Taarifa hizo zilizotolewa na Kitengo cha Kusimamia Vyakula na Dawa cha Marekani (FDA) zinasema kwamba, dawa hizo za kingulia huongeza uwezekano wa kupasuka mifupa ya nyonga (hip), mikono  na ute wa mgongo kwa watu wazima, hasa iwapo dawa hizo zitatumiwa kwa mwaka mmoja au zaidi, au kwa dozi kubwa.&lt;br /&gt;Joyce Korvick Mkurugenzi wa masuala ya usalama wa kitengo cha FDA anasema kwamba, kwa kuwa dawa hizo zinatumiwa sana na watu wengi, ni muhimu kwa watu wote kufahamu madhara yanayoweza kusababishwa na dawa hizo. Maafisa hao pia wamewataka madaktari kuwaandikia tu dawa hizo wagonjwa ambao hali zao ni mbaya mno, na kusisitiza kuwa faida ya dawa hizo pale zinapotumiwa mara chache ni zaidi ya hatari inayozisababisha.&lt;br /&gt;Huko nyuma pia wataalamu walisema kwamba, dawa hizo za kutibu kiungulia zinahusiana na ongezeko la hatari ya maambukizo ya bacteria aina ya C. difficile anayesababisha ugonjwa wa kuharisha.  &lt;br /&gt;Dawa hizo ni kama zile za Emsomeprazole, Dexlansoprazole, Lansoprazole, Emprazole/Sodium Bicarbonate, Pantoprazole, Rabeprazole na Rabeprazole.&lt;br /&gt;Ndugu mdau kama wewe ni miongoni mwa wanaotumia dawa hizo, basi jihadhari kabla ya hatari!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-9062265216594210591?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/9062265216594210591/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=9062265216594210591' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/9062265216594210591'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/9062265216594210591'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/05/dawa-za-kiungulia-zinasababisha-mpasuko.html' title='DAWA ZA KIUNGULIA ZINASABABISHA MPASUKO WA MIFUPA'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S_0T_yjzgYI/AAAAAAAAAio/t1n2J9DE3-c/s72-c/DR.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-5019100941907473518</id><published>2010-05-23T18:30:00.002+04:30</published><updated>2010-05-23T18:32:42.431+04:30</updated><title type='text'>WHO YATAHADHARISHA JUU YA UNENE WA WATOTO</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S_k1Pk4Wr0I/AAAAAAAAAiY/fLPBI3DI96A/s1600/obesity.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 216px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S_k1Pk4Wr0I/AAAAAAAAAiY/fLPBI3DI96A/s400/obesity.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5474465363759902530" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mawaziri wa Afya Duniani huku wakitahadharisha juu ya ongezeko la idadi ya watoto wenye unene wa kupindukia, wamesema kwamba watajaribu kupunguza kutumiwa vyakula holela (junk food) kwa kupiga marufuku matangazo ya vyakula hivyo. Mawaziri hao wa nchi 193 duniani ambazo ni wanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wametoa muongozi kwa ajili ya mashirika ya kuuza vyakula na vinywaji visivyokuwa na ulevi kwa ajili ya watoto. &lt;br /&gt;Viwanda vya vyakula na vinjwaji vimetakiwa kuongeza udhibiti katika aina zote za mauzo ya vyakula kwa watoto, na wauzaji vyakula wadogo wadogo pia wametakiwa kuacha kuzalisha na kuuza vyakula ambavyo si vizuri kwa afya ya watoto. WHO imesema kwamba, vyakula vyenye kiasi kikubwa cha mafuta, sukari na chumvi vinachangia katika kuleta magonjwa sugu kama vile kisukari, maradhi ya moyo na kensa za aina mbalimbali, magonjwa ambayo yanasababisha  vifo kwa asilimia 60 duniani kote.&lt;br /&gt;Timoth Armstrong Mkuu wa Kitengo cha Magonjwa Sugu na Ustawi wa Afya cha WHO amesema kwamba, unene wa kupindukia kwa watoto unaongezeka duniani. Kiwango cha ongezeko hilo katika nchi zilizoendelea ni kikubwa zaidi kwa sababu ya mabadiliko ya kasi ya lishe pamoja na  jinsi  mwili unavyoshughulishwa. &lt;br /&gt;Yafaa kujua kuwa, tangu mwaka 1980, unene wa kupindukiwa umeongezeka mara dufu kwa watu wazima na mara tatu kwa watoto. Shirika la Afya Duniani linakadiria kuwa, watoto milioni 42 wenye umri wa chini ya miaka mitano wana uzito uliozidi, huku milioni 35 kati yao ni wale wanaoishi katika nchi zilizoendelea kiuchumi.  Shirika hilo limeshauri kwamba, inabidi wazazi wapunguze kuwaachia watoto wao kuangalia televisheni,  na mashuleni na katika sehemu za michezo za watoto kusiwe na vyakula holela na vinywaji vyenye sukari nyingi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-5019100941907473518?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/5019100941907473518/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=5019100941907473518' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/5019100941907473518'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/5019100941907473518'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/05/who-yatahadharisha-juu-ya-unene-wa.html' title='WHO YATAHADHARISHA JUU YA UNENE WA WATOTO'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S_k1Pk4Wr0I/AAAAAAAAAiY/fLPBI3DI96A/s72-c/obesity.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-586668244979435842</id><published>2010-05-20T15:32:00.004+04:30</published><updated>2010-05-20T15:52:50.166+04:30</updated><title type='text'>Chanjo ya Ndui kuzaidia kupambana na virusi vya HIV</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S_UbR_0sG9I/AAAAAAAAAiQ/uUPkDG4O17g/s1600/ndui.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 230px; height: 151px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S_UbR_0sG9I/AAAAAAAAAiQ/uUPkDG4O17g/s400/ndui.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5473310918142860242" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kutotumiwa chanjo ya ndui katika baadhi ya nchi duniani kunaaminika kuwa kumesaidia katika kueneza maambukizo ya virusi vya HIV, hasa kwa kuzingatia kuwa ugonjwa huo umeongeza sasa siku hizi. Chanjo ya ndui polepole ilianza kutotolewa katika baadhi ya nchi duniani na ugonjwa wa ndui kutokomezwa katikati mwa karne ya 20. Utafiti uliochapishwa katika jarida la BMI Immunology umeonyesha kwamba, chanjo ya ndui ilikuwa ikipunguza maambukizo ya virusi vya HIV, hasa mwanzoni ugonjwa huo ulipogunduliwa duniani. Lakini kuacha kutolewa chanjo hiyo na wataalamu wa Afya, kunaweza kuwa ndio sababu iliyopelekea ongezeko la maambukizo ya ugonjwa wa Ukimwi yaongezeke. Wataalamu waliofanya utafiti huo wanasema kwamba, kuna sababu kadhaa zilinazoweza kutolewa kuhusiana na kasi ya ongezeko la Ukimwi barani Afrika, baadhi ya sababu hizo ni vita, kurudiwa kutumiwa sindano bila kuondolewa vijidudu (unstrelizized needles) pamoja na chanjo za ndui za mwanzo ambazo zilikuwa na vijidudu. Hata hivyo, wataalamu hao wamesema kuwa, sababu zote hizo zimekanushwa au hazitoshi kuelezea sababu ya ongezeko kubwa la maambukizo ya HIV duniani hasa barani Afrika. &lt;br /&gt;Chanjo ya ndui inapunguza uwezekano wa virusi vya HIV kuzaana mara kadhaa katika seli za damu. Pia chanjo hiyo huleta mabadiliko ya muda mrefu katika mfumo wa kulinda mwili, hubadilisha tafsiri ya recepta ya CCR5, ambayo iko juu ya seli za chembechembe nyeupe za damu zinazotumiwa na virusi vya ndui pamoja na HIV.  &lt;br /&gt;Wataalamu wanamini kwamba chanjo ya ndui itaweza kutumiwa katika kupambana na ugonjwa wa Ukimwi katika miaka ijayo ya hivi karibuni, lakini pia wamesisitiza kwamba uchunguzi zaidi unapaswa kufanywa ili kuhdibitisha zaidi suala hilo.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S_Ua-BIoawI/AAAAAAAAAiI/lUDUwasBB8U/s1600/chanjo.bmp"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 140px; height: 93px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S_Ua-BIoawI/AAAAAAAAAiI/lUDUwasBB8U/s400/chanjo.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5473310574897556226" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Ugonjwa wa ndui ni miongoni mwa magonjwa ambayo yaliitikisa dunia katika miaka ya huko nyuma. Lakini kugunduliwa chanjo ya ndui ambapo kwa kupatiwa chanjo ya ugonjwa huo mara moja mtu huweza kuwa na kinga dhidi ya ugonjwa huo kwa maisha yake yote, kulipunguza maambukizo ya ugonjwa huo na hatimaye ugonjwa huo ukang'olewa kabisa karibu katika nchi zote duniani. Ndugu mdau, kama huna uhakika kama umepatiwa chanjo ya ndui, basi angalia katika moja ya mabega yako na kama utakuta kovu dogo la duara, basi ujue kuwa una kinga ya ndui. Nawahusia wakina mama wanaowazaa watoto wao siku hizi wahakikishe kwamba wanapatiwa chanjo ya ndui, kwani kama inavyoelezwa mbali ya kumzuia mtoto wako asipate ugonjwa wa ndui maishani, pia hupunguza maambukizo ya ugonjwa wa Ukimwi. Haya tena wadau lakini wewe unafikiri ni sababu gani hasa inayopelekea ongozeko la maambukizo ya Ukimwi katika jamii zetu?..... tueleze maoni yako ili tusaiidiane katika kuifunza jamii na kupambana na ugonjwa hatari wa Ukimwi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-586668244979435842?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/586668244979435842/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=586668244979435842' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/586668244979435842'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/586668244979435842'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/05/chanjo-ya-ndui-kuzaidia-kupambana-na.html' title='Chanjo ya Ndui kuzaidia kupambana na virusi vya HIV'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S_UbR_0sG9I/AAAAAAAAAiQ/uUPkDG4O17g/s72-c/ndui.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-7131479918157407107</id><published>2010-05-16T17:31:00.001+04:30</published><updated>2010-05-16T17:32:50.658+04:30</updated><title type='text'>Kupewa watoto sukari kabla ya chanjo kunapunguza maumivu</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-_s8Vkn54I/AAAAAAAAAiA/vHux2W-IEKI/s1600/vaccine3a-062568E.jpg"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 266px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-_s8Vkn54I/AAAAAAAAAiA/vHux2W-IEKI/s400/vaccine3a-062568E.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5471852593605502850" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Watafiti wa Canada wamesema kuwa, kuwapa watoto sukari kabla ya kupewa chanjo kunapunguza maumivu. Watafiti wa Chuo Kikuu cha Toronto wamesema kwamba watoto wachanga wakipewa matone machache ya maji ya sukari, kabla ya chanjo hawatolia au watapunguza kulia. Hayo yamesemwa baada ya watoto 1,000 wachanga kupewa maji ya glukosi kabla ya kupigwa sindano na kupunguza kulia kwa asilimia 20. Utafiti huo umechapishwa katika jarida la Mafanikio ya Magonjwa ya watoto na umetokana na matokeo ya majaribio 14 yaliyofanywa kuhusiana na suala hilo. DaktaArme Ohlsson aliyeongoza timu ya utafiti huo amesema kwamba umefanywa kwa watoto wasiozidi mwaka mmoja. Pia watatifi hao wamesema kwamba, matone machache tu au nusu kijiko cha maji ya glukosi au sackrosi pia hupunguza muda wa mtoto kulia. Pia wamewashauri maafisa wa afya wawape  watoto sakrosi na glukosi kabla  ya kuwapatia chanjo. Wamesema  kwa kuwa vyakula vitamu vina uwezo wa kupunguza maumivu ndio sababu watoto wanapopewa glukosi  kabla ya chanzo huwa hawalii.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-7131479918157407107?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/7131479918157407107/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=7131479918157407107' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7131479918157407107'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7131479918157407107'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/05/kupewa-watoto-sukari-kabla-ya-chanjo.html' title='Kupewa watoto sukari kabla ya chanjo kunapunguza maumivu'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-_s8Vkn54I/AAAAAAAAAiA/vHux2W-IEKI/s72-c/vaccine3a-062568E.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-7230904864692815394</id><published>2010-05-12T17:22:00.003+04:30</published><updated>2010-05-12T17:46:49.418+04:30</updated><title type='text'>Kuchoka wakati wa ujauzito na namna ya kujiepusha</title><content type='html'>&lt;em&gt;Wapenzi wadau natumaini hamjambo! kumekuwa na  baadhi ya wadau wanaoniandikia na kuomba ushauri mbalimbali kutokana na matatizo waliyonayo. Nawashukuru sana kwa kuwa wanafuatilia yale yanayojiri katika blogi hii na kupata ingawa machache kuhusiana na afya zetu. Pia nawashukuru kwa kuniwezesha  nami kuzungumzia mada mbalimbali kutokana na maswali yenu munayoyauliza. Kwa wale wenye maswali na matatizo mbalimbali tafadhali sana niandikieni kwa kupitia email yangu ambayo ni sthugs4j@gmail.com. Kwani wale wanaoandika maswali yao katika sehemu ya maoni, baadhi ya wakati huwa siyaoni katika muda unaotakiwa na hivyo hunifanya nichelewe kuwajibu. Wote mnashukuriwa. Leo tutazungumzia suala la kujihisi uchovu wakati wa ujauzito ambalo limeulizwa na mmoja wa wadau wanaofuatilia kwa karibu kona ya afya nami nalijibu swali lake kama ifuatavyo&lt;/em&gt;. &lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-qqGV3dAJI/AAAAAAAAAh4/1IPEUrPTCdM/s1600/kuchoka.jpg"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 296px; height: 400px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-qqGV3dAJI/AAAAAAAAAh4/1IPEUrPTCdM/s400/kuchoka.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5470371723320557714" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanawake wengi kwa kawaida huwa wanahisi uchovu wakati wa ujauzito. Uchovu, kulegea mwili na kuishiwa na nguvu ni jambo la kawaida katika kipindi hicho. Hii ni kwa sababu mwili katika kipindi hiki unatumia nguvu za kiada ili kuunda kiumbe kipya. Pia wakati huu mwili hutengeneza damu kwa wingi zaidi ili kufikisha chembechembe za chakula kwa mtoto, suala ambalo huufanya mwili ufanye kazi ya ziada na hata viungo vingine muhimu kama vile moyo na vinginevyo.  Uzito wa mtoto nao unaoongezeka katika mwili wa mama mjamzito siku baada ya siku, ni sababu nyingine inayomfanya mama mjamzito ajihisi kuchoka.  Kuchoka au kiushiwa na nguvu ni tatizo la kawaida hasa katika miezi mitatu ya mwanzo ya mimba. Katika miezi hiyo ya mwanzo ya mimba tatizo hilo husababishwa na mabadiliko ya homoni za mimba mwilini hasa progestrogen na wakati mwingine hali hiyo huongezwa na kichefuchefu na kutapika. Hali hiyo ya mchoko inatarajiwa kuisha inapoingia miezi mitatu ya pili ya mimba. Lakini pia kuna wengine ambao hali hiyo ya kuchoka huendelea nayo hadi wakati wa kujifungua. Kushindwa kulala vizuri kutokana na kwenda mara kwa mara msalani, au kukosa uzingizi kutokana na ongezeko la ukubwa wa tumbo mwishoni mwa ujauzito, ni miongoni mwa masuala ambayo humfanya mama mjazito ajisikie mchovu na akose nguvu siku nzima.&lt;br /&gt;Vilevile mabadiliko ya kifizikia na kisaikolojia ya wakati wa ujauzito humfanya mama mjamzito awe na morali ya chini na kuhisi  uchovu wa kimwili na hata kiakili. Sababu nyinginezo zinaweza kutokana na kazi mbalimbali anazofanya mama huyo au pia ukosefu wa lishe inayofaa na ya kutosha kwa ajili ya mwili wake, ambao unahitajia nguvu ya ziada hasa kwa ajili ya uumbaji wa ukamilifu wa mtoto aliye tumboni. &lt;br /&gt;La muhimu analoshauriwa mama mjamzito ni kutoogopa na kutotishwa na hali hiyo, kwani inatokana na baadhi ya mabadiliko yanayotokea katika mwili wake. La muhimu ni mama mjamzito kufuata ushauri unaotakiwa ili kukabilina na hali hiyo. &lt;br /&gt;Zifuatazo ni njia za kukabiliana na uchovu wakati wa ujauzito.&lt;br /&gt;• Kwanza kabisa mama mjamzito anatakiwa ale vyema. Mama mjamzito anatakiwa ale chakula bora na kamili,  chenye kalori 300 au 500 za ziada ikilinganishwa na mtu asiye mjamzito kwa siku. Lakini awe mwangalifu na ni bora akigawe chakula chake katika sehemu ndogo ndogo 5 au 6 (suala hili tumelizunguzia kwa undani katika makala iliyopita ya kiungulia wakati wa ujauzito, tafadhali pitia makala hizo). Anaweza akawa akibeba matunda na mboga mboga kama asusa (snacks) kwa ajili ya kula kila anapohisi njaa popote pale awapo. Lakini ni bora ajiepushe na vyakula vyenye sukari nyingi na caffeine, kwani vyakula hivyo huyeyuka haraka mwilini na kumfanya ahisi njaa mapema.&lt;br /&gt;• Mama mjamzito ahakikishe kuwa hana upungufu wa damu. Na kama anao basi atumie dawa za kuongeza damu zinazotolewa na madaktari, au ale vyakula vinavyoongeza damu. Hii ni kwa sababu ukosefu wa madini ya chuma mwilini unaosababisha ukosefu wa damu, ni miongoni mwa sababu zinazomfanya mama mjamzito ahisi kuchoka. Mtu mwenye ukosefu wa damu (Anemia) huhisi kubanwa na pumzi, ongezeko la mapigo ya moyo, udhaifu, kupauka na kizunguzungu. Onana na daktari iwapo una dalili kama hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-qpwQX2DKI/AAAAAAAAAhw/X4x4LaipyXQ/s1600/preeating.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 275px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-qpwQX2DKI/AAAAAAAAAhw/X4x4LaipyXQ/s400/preeating.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5470371343888682146" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;• Mama wajawazito wanashauri kujipumzisha nyakati za mchana. Ni bora mama mjamzito apumzike kwa kadri anavyoweza wakati wa mchana, baada ya chakula cha mchana au hata kabla ya nyakati za magharibi. Ikiwa unafanya kazi, basi pumzika mara kwa mara japo kwa muda mfupi ili kufanya mwili upate nguvu.&lt;br /&gt;• Mama wajawazito wanashauriwa kujitahidi kulala mapema, hasa kama ikiwa inakubidi uamke mara kadhaa usiku kutokana na sababu mbalimbali, kama vile kwenda msalani, kula au kutokana na maumivu.&lt;br /&gt;• Kufanya mzoeni husaidia kupunguza uchovu na kuna faida kemkem wakati wa ujauzito. Kahusiana na suala hilo soma makala zilizotangulia.&lt;br /&gt;• Mama mjamzito anatakiwa anywe maji ya kutosha. Ukosefu wa maji mwilini huchangia kumfanya mama mjamzito ahisi uchovu.&lt;br /&gt;• Usifanye kazi nyingi kutwa nzima, na kama inawezekana ni bora usaidiwe kazi hizo hasa za nyumbani na watu wengine katika familia kama vile watoto, mume ndugu, jamaa na marafiki.&lt;br /&gt;• Usikilize mwili wako. Pale unaposikia njaa basi kula na pale unapojisikia uchovu jitahidi upumzike.&lt;br /&gt;• Pata ushauri wa daktari iwapo unahisi uchovu wa kupindukia au unachoka kila mara, ili uwe na uhakika kuwa hakuna tatizo au hatari inayoweza kuhatarisha maisha yako na ya mtoto.&lt;br /&gt; &lt;em&gt;&lt;/em&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-7230904864692815394?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/7230904864692815394/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=7230904864692815394' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7230904864692815394'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7230904864692815394'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/05/kuchoka-wakati-wa-ujauzito-na-namna-ya.html' title='Kuchoka wakati wa ujauzito na namna ya kujiepusha'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-qqGV3dAJI/AAAAAAAAAh4/1IPEUrPTCdM/s72-c/kuchoka.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-2946724909917603866</id><published>2010-05-08T10:14:00.004+04:30</published><updated>2010-05-08T10:18:46.960+04:30</updated><title type='text'>Kula zabibu usipatwe na ugonjwa wa moyo</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-T7MvAeDfI/AAAAAAAAAho/bhO0qS_j16k/s1600/grapes.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 266px; height: 400px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-T7MvAeDfI/AAAAAAAAAho/bhO0qS_j16k/s400/grapes.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5468772043730062834" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wadau msichoke na mimi kuzungumzia ugonjwa wa moyo, au nisiseme mimi, bali niseme wataalamu ambao kila siku wamekuwa wakifanya majaribio na kutuelewesha vyakula au njia zinazotuepusha na ugonjwa huu. Hii ni kwa sababu ugonjwa wa moyo kweli ni tishio duniani kote. Ni wiki iliyopita tu mfanyakazi mwenzangu ambaye nilikuwa naye kazini hadi nyakati za mwisho za kazi, siku ya pili nakuja kazini naambiwa kafariki dunia kwa mshituko wa moyo. Masikini baba wa watu!!, huku akiwa anayetegemewa na familia, akiacha mke na mtoto ameondoka kama utani tena kwa kufumba na kufumbua. Baada ya kutoka kazini alikaa juu ya kochi na kujiegemeza akisubiri atengewe msosi, lakini hapo hapo aliaga dunia. Msosi ulipotengwa na mkewe kumuamsha ale akidhani labda amepitiwa na usingizi, aliona haamki tena, na ndipo walipomkimbiza hospitalini. Huko waliambiwa ameshakufa zamaaani kutokana na mshituko wa moyo!.&lt;br /&gt;Sasa hali ni hii, na hivi karibuni uchunguzi mpya umeonyesha kwamba kula zabibu au vyakula vyenye zabibu ndani yake kunapunguza shinikizo la damu, husaidia moyo kufanya kazi zake vyema na kupunguza hatari ya kupatwa na ugonjwa wa moyo.&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa uchunguzi huo uliotolewa kenye mkutano wa Majaribio ya Bayolojia huko California, zabibi zina uwezo wa kupunguza shinikio la damu, husaidia mwili uweze kuvumilia sukari (glucose tolorance) na kupunguza kiwango cha mafuta aina ya triglycerides mwilini ambayo ni chanzo cha matatizo ya moyo.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-T6zZMsXiI/AAAAAAAAAhY/2NhaavhZtvo/s1600/zabibu.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-T6zZMsXiI/AAAAAAAAAhY/2NhaavhZtvo/s400/zabibu.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5468771608379022882" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wataalamu wanasema zabibu pia zinaweza kupunguza uvimbe, uharibivu unaotokana na free radicals zinazozalishwa mwilini na shinikizo la moyo. &lt;br /&gt;Kwa ujumla zabibi zinazuia hali inayoitwa Metabolic Syndrome suala ambalo linatokana na mada za phytochemicals zilizoko kwenye matunda hayo. &lt;br /&gt;Metabolic Syndrome ni mchanganyiko wa matatizo ya kitiba ambayo yanaongeza uwezekano wa kupatwa na maradhi ya mishipa ya damu pamoja na kisukari.&lt;br /&gt;Hivyo wataalamu wanatushauri tule zabibi au kuongeza zabibu katika vyakula wanavyokula kila siku, ili tujikinge na ugonjwa wa Metabolic Syndrome, ugonjwa wa moyo na kisukari aina ya pili. &lt;br /&gt;Haya shime tule zabibu kwa ajili ya afya zetu!.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-2946724909917603866?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/2946724909917603866/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=2946724909917603866' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2946724909917603866'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2946724909917603866'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/05/kula-zabibu-usipatwe-na-ugonjwa-wa-moyo.html' title='Kula zabibu usipatwe na ugonjwa wa moyo'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-T7MvAeDfI/AAAAAAAAAho/bhO0qS_j16k/s72-c/grapes.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-8376000184903301071</id><published>2010-05-07T12:31:00.002+04:30</published><updated>2010-05-07T12:36:42.827+04:30</updated><title type='text'>Kweli lishe bora inaongeza umri…. Afa akiwa na miaka 114!</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-PJrLuoRuI/AAAAAAAAAhI/fHv5WLv-gwA/s1600/tarapour20100504220025247.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 216px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-PJrLuoRuI/AAAAAAAAAhI/fHv5WLv-gwA/s400/tarapour20100504220025247.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5468436116277839586" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mwanamke wa Kijapan aliyevunja rikodi ya Dunia ya Guinness kwa kuwa mtu mzee zaidi duniani amefariki dunia siku kadhaa zilizopita, akiwa na umri wa miaka 114 na siku 357.  Mwanamke huyo aitwaye Kama Chinen alikuwa akiishi katika kisiwa cha Okinawa na alifariki dunia Mei 2, ambapo  aliishi na kushuhudia karne tatu!. Inasemekana kuwa bibi huyo aliishi muda mrefu kwa kuwa lishe yake ilikuwa chai ya kijani, supu ya miso, mboga mboga, wali na samaki freshi. Bi. Chinen sio makazi  pekee wa eneo hilo la Japan aliyeishi muda mrefu, kwani ripoti zinasema kuwa watu wengi wanaoishi eneo hilo huishi maisha marefu na ni kutokana na lishe yao. Japan ndio nchi inayoongoza kwa kuwa na kiwango kirefu zaidi  cha maisha ya watu (Highest Life Expactancy) huku Okinawa ukiwa mji ulio na watu wengi wenye umri mrefu, suala ambalo linatokana na lishe bora na hali ya hewa ya kisiwa hicho.&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa utafiti, mji wa Okinawa una kiasi kidogo sana cha watu wenye magonjwa ya kensa, na hiyo inatokana na watu kula vyakula vyenye mafuta kidogo, kalori chache, ufumwele kwa wingi na mboga mboga na matunda kwa kiasi kikubwa. Pia suala lingine ni kujishughulisha kwao na wala sio kukaa tu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-8376000184903301071?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/8376000184903301071/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=8376000184903301071' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8376000184903301071'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8376000184903301071'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/05/kweli-liche-bora-inaongeza-umri-afa.html' title='Kweli lishe bora inaongeza umri…. Afa akiwa na miaka 114!'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-PJrLuoRuI/AAAAAAAAAhI/fHv5WLv-gwA/s72-c/tarapour20100504220025247.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-2078989063743257946</id><published>2010-05-05T12:42:00.001+04:30</published><updated>2010-05-05T12:45:02.769+04:30</updated><title type='text'>Kukosa usingizi kunasababisha vifo vya mapema</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-Eo75E4z8I/AAAAAAAAAhA/qhKV1oL9g9Q/s1600/man_sleeping_002.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 350px; height: 352px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-Eo75E4z8I/AAAAAAAAAhA/qhKV1oL9g9Q/s400/man_sleeping_002.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5467696432003207106" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Imetahadharishwa kwamba kulala usingizi wa chini ya masaa 6 kila usiku kunaweza kusababisha mtu apatwe na kifo cha mapema. Watafiti wamesema kuwa watu ambao kwa kawaida huwa wanalala masaa hayo machache wengi wao hupatwa na vifo vya mapema kwa asilimia 12 zaidi ya wale wanaolala kawaida kwa masaa 8. Vifo  ambavyo hutokea katika umri wa baada ya miaka 25.  Pia imeonyeshwa kwamba kulala zaidi ya masaa 9  pia kunapelekea vifo vya mapema ingawa kulala huko kunaweza kukawa na uhusiano na matatizo ya kiafya. Utafiti huo umetolewa kwa kuchunguzwa uhusiano uliopo kati ya kifo na usingizi  kwa kutegemea  chunguzi 16 zilizofanywa kwa kuwahusisha watu milioni 1 na nusu katika nchi za Uingereza, Marekani , Ulaya na Mashariki mwa Asia. &lt;br /&gt;Profesa Francesco Cappiccio aliyeongeza utafiti huo wa chuo kikuu cha Warwick cha Uingereza anasema jamii za hivi sasa zilizoendelea zimekuwa taratibu zikipunguza muda wa kulala,  na tatizo hili linawapata sana watu wanaofanya kazi masaa mengi. Amesema suala hili linaonyesha kwamba hayo yote yanatokana na mashinikizo ya kimaisha yanayowapelekea watu wafanye kazi masaa mengi na kuchukua shift nyingi za kazi. Amesema kwamba, kuporomoka kwa afya kunaambatana na kulala masaa mengi zaidi. Wataalamu wanasema kuwa, watu wanapaswa kufahamu kwa nini hasa usingizi ni suala muhimu sana kwa afya nzuri. Usingizi ni kama karatasi ya litmus inayoonyesha afya na hali ya mwili na akili ya mtu kwani usingizi unaathiriwa na magonjwa na hali mbalimbali ikiwemo msongamano wa mawazo au depression, anasema mtaalamu huyo. Inashauriwa kuwa tusilale masaa machache wala mengi bali tulala kwa masaa ya wastani ambayo ni masaa 8.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-2078989063743257946?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/2078989063743257946/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=2078989063743257946' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2078989063743257946'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2078989063743257946'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/05/kukosa-usingizi-kunasababisha-vifo-vya.html' title='Kukosa usingizi kunasababisha vifo vya mapema'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S-Eo75E4z8I/AAAAAAAAAhA/qhKV1oL9g9Q/s72-c/man_sleeping_002.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-6518191535933365835</id><published>2010-05-03T15:59:00.003+04:30</published><updated>2010-05-03T16:01:31.974+04:30</updated><title type='text'>Madaktari waboronga katika upasuaji Afrika Kusini  na kuhatarisha maisha</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S960Ch5mjpI/AAAAAAAAAg4/NkqKSFjMwE0/s1600/erro.png"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 240px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S960Ch5mjpI/AAAAAAAAAg4/NkqKSFjMwE0/s400/erro.png" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5467004953227071122" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Gazeti moja nchini Afrika Kusini limefanya uchunguzi na kuripoti kuwa, madakitari wa upasuaji nchini humo wanafanya kazi isiyo ya kuridhisha na yenye kuhatarisha maisha ya wagonjwa wanaokwenda kupasuliwa. Gazeti la Sunday Independent limesema kuwa, uchunguzi wao umedhihirisha kuweko malalamiko ya waliopasuliwa, wengine wakilazimika kurudi kufanyiwa upasuaji mwingine, wanapogundua vifaa fulani vimeachwa mwilini mwao. Gazeti hilo limemnukuu msemaji wa Waziri wa Afya wa Afrika Kusini Fidel Hadebe akisema, amepokea ripoti kwa mhasiriwa mmoja aliyedai kuwa, mikasi ilibakia tumboni mwake alipofanyiwa upasuaji. Aidha uchunguzi wa gazeti hilo umeonyesha kuwa, sababu ya kushuhudiwa hali kama hizo uhaba wa matabibu nchini humo, jambo linalopelekea madaktari wachache walioko, kuboronga katika kazi zao katika juhudi zao za kuhakikishwa wanawafanyia upasuaji wagonjwa wengi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-6518191535933365835?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/6518191535933365835/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=6518191535933365835' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6518191535933365835'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6518191535933365835'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/05/madaktari-waboronga-katika-upasuaji.html' title='Madaktari waboronga katika upasuaji Afrika Kusini  na kuhatarisha maisha'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S960Ch5mjpI/AAAAAAAAAg4/NkqKSFjMwE0/s72-c/erro.png' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-1262690012051764494</id><published>2010-05-02T17:12:00.001+04:30</published><updated>2010-05-02T17:13:53.659+04:30</updated><title type='text'>Kula aina mbalimbali za matunda kuna faida zaidi kiafya</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S91zeOnA6mI/AAAAAAAAAgo/qgA4V1A3HCU/s1600/fruits-and-vegetables.jpg"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S91zeOnA6mI/AAAAAAAAAgo/qgA4V1A3HCU/s400/fruits-and-vegetables.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5466652485852654178" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uchunguzi mpya umeonyesha kwamba watu wanaweza kukabiliana kirahisi na magonjwa mbalimbali kwa kula matunda ya aina mbalimbali na mboga mboga badala ya kuongeza idadi ya matunda na mboga mboga hizo.  Kwa mujibu wa uchunguzi huo uliotolewa katika Kongamano la Majaribio ya Kibiolojia huko Anahein California, baadhi ya matunda na mboga mboga yana faida kubwa ya lishe kuliko mengineyo. Uchunguzi huo umeeleza kwamba,ingawa karoti inaaminiwa kuwa ni chanzo kikubwa cha beta-carotene lakini kula viazi vitamu badala ya karoti kunaweza kuupatia mwili beta-carotene mara dufu kuliko karoti. Papai nalo lina beta-cryptoxanthin mara 15 zaidi ya machungwa. Halikadhalika mboga aina ya Kale huupatia  mwili mada ya lutein/zeaxanthin mara tatu zaidi ya spinachi. Pia imeelezwa kuwa stroberi na rasberi zina ellagic asid mara tatu zaidi huku kikombe kimoja cha maji yanayotokana na mmea uotao majini wa watercress ikiwa na mada ya isothiocyanate sawa na inayopatikana katika vijiko vine vya chai vya haradali au mustard. Bi. Keith Rabdolph aliyeongeza uchunguzi huo anashauri kwamba, watu wajitahidi kujua umuhimu wa vyakula wanavyokula na kujua pia ubora na faida  za matunda na mboga mboga wanazokula kwa afya ya miili yao.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-1262690012051764494?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/1262690012051764494/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=1262690012051764494' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1262690012051764494'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1262690012051764494'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/05/kula-aina-mbalimbali-za-matunda-kuna.html' title='Kula aina mbalimbali za matunda kuna faida zaidi kiafya'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S91zeOnA6mI/AAAAAAAAAgo/qgA4V1A3HCU/s72-c/fruits-and-vegetables.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-569889157692027885</id><published>2010-04-21T12:47:00.001+04:30</published><updated>2010-04-21T12:48:34.175+04:30</updated><title type='text'>Wanamichezo hawapati ugonjwa wa moyo</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S860zpMp-4I/AAAAAAAAAgg/OEteYey5WTc/s1600/women-athletes.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 313px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S860zpMp-4I/AAAAAAAAAgg/OEteYey5WTc/s400/women-athletes.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5462502197372255106" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Utafiti mpya umeonyosha kuwa, kufanya mazoezi kwa muda mrefu hakuhusiana na kuongeza hatari ya kupata ugonjwa wa moyo. Huko nyuma kulikuwa na tafiti zilizoonyesha wasiwasi wa afya ya mishipa ya moyo kwa baadhi ya wanamichezo wa Olimpiki. Tafiti hizo zilisema kwamba, kupanuka kwa mioyo ya wanamichezo kunakoitwa kitaalamu “athlete’s heart” huufanya moyo kuwa dhaifu sana na kushindwa kuvumilia mazoezi mazito.&lt;br /&gt;Lakini kwa mujibu wa uchunguzi uliochapishwa kwenye Jarida la Marekani la Kitengo cha Magonjwa ya Moyo, mazoezi mazito hayana hatari kwa afya ya moyo. &lt;br /&gt;Kiwango cha damu inayosukumwa katika miili ya wanamichezo hakibadiliki wakati wa mazoezi. Mbali na kupanuka kidogo baadhi ya sehemu za moyo, misuli ya moyo hubakia sawa wakati wa mazoezi. Wanasayansi wamehitimisha kwamba, mioyo ya wanamichezo ina afya nzuri na inaweza kuvumilia kirahisi mazoezi ya kiwango cha juu. Pia wamesema kwamba, baadhi ya dawa kama vile erythropoietin (EPO) zinazotumiwa na wanamichezo hao ili kuzipa nguvu chembe chembe nyekundu za damu, kunaufanya utendaji kazi wa moyo udhoofu, suala ambalo limekuwa likiwatokea wanamichezo hao na wala sio mazoezi mazito ya mwili wanayoyafanywa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-569889157692027885?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/569889157692027885/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=569889157692027885' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/569889157692027885'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/569889157692027885'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/04/wanamichezo-hawapati-ugonjwa-wa-moyo.html' title='Wanamichezo hawapati ugonjwa wa moyo'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S860zpMp-4I/AAAAAAAAAgg/OEteYey5WTc/s72-c/women-athletes.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-6087552259749942931</id><published>2010-04-18T18:16:00.008+04:30</published><updated>2010-04-18T18:43:02.251+04:30</updated><title type='text'>Unataka kuacha sigara ?..... fuata njia zifuatazo!</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8sPdV07kgI/AAAAAAAAAgY/Va9Emt7bkFs/s1600/smok2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 272px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8sPdV07kgI/AAAAAAAAAgY/Va9Emt7bkFs/s400/smok2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5461475969866633730" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt; Je, unataka kuacha kuvuta sigara? Sawa, nakubaliana na wewe lakini unajua kwa nini unataka kuacha tabia hiyo ambayo umeizoea kwa muda mrefu?. Kwa sababu haitoshi tu utake kuacha kuvuta sigara bila kuwa na sababu muhimu inayokusukuma uache suala hilo. Kwa hivyo kwanza anza kujiuliza kwa nini unataka kuacha sigara. Kujua sababu kutakusaidia katika kutekeleza lengo lako vyema. Je, unaacha sigara kwa kuwa unataka kuilinda familia yako isipate madhara ya sigara unazovuta? Je, unataka kuacha sigara kwa kuwa umeogopa kupata kensa ya kifua? Au je, ungependa kuonekana kijana zaidi? Tafuta sababu muhimu  ambayo itaizidi hamu yako ya kuvuta sigara.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8sO7TtnswI/AAAAAAAAAgI/RKZ9T56XoJE/s1600/smoke22.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 272px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8sO7TtnswI/AAAAAAAAAgI/RKZ9T56XoJE/s400/smoke22.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5461475385183548162" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Jua kuwa ni jambo gumu kuacha tabia uliyoizoea  kwa muda mrefu mara moja. Haitowezekana utupe kipande chako cha sigara yako mara moja na kutangaza kuwa umeacha kuvuta. Suala hilo ni gumu kwani asilimia 95 ya watu wanaojaribu kuacha sigara kwa mtindo huo hushindwa, inabidi upate ushauri na tiba mbadala ili kukusaidia kuacha kuvuta sigara, hii  ni kwa sababu sigara inaleta uraibu wa nicotine, na ubongo unaizoea mada hiyo hivyo kuacha kuvuta husababisha uhisi dalili za  kukosekana nicotine katika ubongo. &lt;br /&gt; Jaribu kutumia vitu vingine badala ya nicotine. Hii ni kwa sababu unapoacha sigara  na kukatisha nicotine mwilini hukufanya usijisikie kama umechanganyikiwa, uhisi msongamano wa mawazo na kutotulia. Suala hilo linaweza kusaidiwa kwa kupata tiba mbadala ya kusaidi kuondo hisia hizo. Wataalamu wanashauri kutumia ubani wa nicotine (nicotine gum), pipi za nicotine na baadhi ya plasta za kubandika mwilini zenye kusaidia kuacha sigara bila kuhisi madhara ya kukosa nicotine. Kutumia vitu hivyo wakati ukiwa bado unafuta sigara hakushauriwi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8sOi6Hhq1I/AAAAAAAAAgA/MwROA7t7zaA/s1600/dawa.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 272px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8sOi6Hhq1I/AAAAAAAAAgA/MwROA7t7zaA/s400/dawa.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5461474965996022610" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Ikiwa hutaki kutumia vitu vingine vyenye nicotine wakati umeacha sigara, mwombe daktari wako akuandikie vidogo ambavyo vinavyoondoa athari za mwili kuzoea nicotine wakati unapoacha sigara.&lt;br /&gt; Usijiamulie peke yako na kwa siri, bali itangazie familia yako, waambie marafiki zako na wafanyakazi wenzako kwamba umeacha sigara! Kukupa moyo kwao kutakufanya uweze kufanikisha lengo lako hilo kwa urahisi zaidi. Pengine unaweza kujiunga na vikundi vya wanaoacha kuvuta sigara au kwenda kwa mshauri ili akusaidie suala hilo.&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8sORhom-3I/AAAAAAAAAf4/x9IAWQ3JdN8/s1600/masg.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 272px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8sORhom-3I/AAAAAAAAAf4/x9IAWQ3JdN8/s400/masg.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5461474667366120306" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Jizuie usipatwe na msongamano wa fikra na mawazo mengi. Hii ni kwa sababu moja ya sababu inayowafanya watu wavute sigara ni kwa kuwa nicotine huwafanya wajihisi hisia nzuri mwilini na mwili kulegea. Utakapoacha sigara itakubidi utafute njia za kukabiliana na stress. Ni bora ukipata masaji ya mwili kila mara, usikilize mziki mwororo, huku ukijizuia na yake yatakayo kufanya  upate mawazo na msongamano wa fikra na ikiwezekana  fanya yoga na mazoezi ya kulegeza mwili.&lt;br /&gt;  Jiepushe na pombe na vitu vinginevyo vinavyoweza kukushawishi uvute sigara tena. Pombe ni miongoni mwa vishawishi vikubwa vya kukufanya uvute sigara. Hivyo kama wewe ni mnywaji ni bora inabidi uache kunywa hasa wakati huu unaotaka kuacha sigara. Kama kahawa pia inakufanya usijikie kuvuta, iacha na unywe chai badala yake. Na kama huwa unavuta baada ya mlo, basi tafuta kitu kingine cha kufanya kama vile kupiga mswaki au kutafuna ubani baada ya kula.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8sODyw25tI/AAAAAAAAAfw/FV5DNAhyU4E/s1600/nyumba.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 272px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8sODyw25tI/AAAAAAAAAfw/FV5DNAhyU4E/s400/nyumba.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5461474431445952210" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt; Baada ya kuvuta sigara yako ya mwisho, tupa vidude vyote vya kuhifadhia majivu ya sigara na viberiti. Fua nguzo zako zote zinazonuka sigara na safisha kapeti lako na nyuma yako kwa ujumla. Tumia marashi ya kuondoa harufu ili kuondoa harufu ulioizoea ya sigara nyumbani kwao. Hii ni kwa ajili ya kukusaidia usihisi harufu yoyote itakayokukumbusha kuvuta sigara. &lt;br /&gt; Jaribu tena na tena! Usitosheke kwa kuacha kuvuta mara moja na kushindwa. Wavutaji wengi huacha sigara mara kadhaa kabla ya kufanikiwa. Fikiria kila mara azma yako ya kuacha kuvuta sigara na jipe moyo na mwishowe utafanikiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8sN6QDM80I/AAAAAAAAAfo/Q_fIAgLLcRI/s1600/mazoezi.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 272px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8sN6QDM80I/AAAAAAAAAfo/Q_fIAgLLcRI/s400/mazoezi.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5461474267508831042" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;]&lt;br /&gt; Kuushughulisha mwili na mazoezi kunaweza kukusaidia kupunguza hamu ya sigara na dalili zinazofuata baada ya kuacha kuvuta. Utakaposhawishika na kutaka kunyoosha mkono wako ili uchukue sigara, vaa viatu vyako na uende ukatembee kidogo, kacheze mpira au fanya mazoezi yoyote kama vile kukimbia na mengineyo. &lt;br /&gt; Usijaribu kujinyima chakula wakati unapoacha sigara. Badala yake kula wa wingi matunda, mbogamboga na maziwa. Uchunguzi uliofanywa na Chuo Kikuu cha Duke umeonyesha kwamba, vyakula hivyo vinakufanya uhisi ladha ya sigara ni mbaya. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8sNbIec9dI/AAAAAAAAAfg/BT5Jz7haki0/s1600/pesa.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 272px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8sNbIec9dI/AAAAAAAAAfg/BT5Jz7haki0/s400/pesa.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5461473732899698130" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Jiwekee zawadi nono na jipongeze. Kuacha sigara mbali na kukufaidisha kiafya hukusaidia pia kujiwekea fedha zako ambazo ungezipoteza bure kwa kununua sigara. Jipongeze kwa kutumia sehemu ya fedha hizo kujinunulia zawadi.&lt;br /&gt;  Acha sigara kwa afya yako! Tambua kuwa kuacha sigara kutakupatia faida kemkem kiafya kama vile kupunguza shinikizo la damu, kupunguza mapigo ya moyo. Siku moja tu baada ya kuacha sigara, kiwango cha Carbon monoxide cha damu yako kitarejea katika hali ya kawaida. Baada ya miezi mitatu hadi minne, hatari ya shinikizo la moyo hupungua na mapafu yako huanza kufanya kazi kama kawaida. Miongoni mwa faida za kuacha sigara ni hupunguza hatari ya kupata magonjwa ya moyo, mshituko wa moyo, kensa ya mapafu pamoja na saratani nyinginezo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-6087552259749942931?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/6087552259749942931/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=6087552259749942931' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6087552259749942931'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6087552259749942931'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/04/unataka-kuacha-sigara-fuata-njia.html' title='Unataka kuacha sigara ?..... fuata njia zifuatazo!'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8sPdV07kgI/AAAAAAAAAgY/Va9Emt7bkFs/s72-c/smok2.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-769441083600244861</id><published>2010-04-16T10:50:00.003+04:30</published><updated>2010-04-16T10:52:34.702+04:30</updated><title type='text'>Aspirin hutibu migreni</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8gCIQlqw-I/AAAAAAAAAfY/Wa5QUHGlpWM/s1600/mig.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 324px; height: 384px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8gCIQlqw-I/AAAAAAAAAfY/Wa5QUHGlpWM/s400/mig.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5460616889101894626" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wakati mauamivu makali ya kichwa au migraie yamekuwa yakitibiwa kwa dawa kali za maumivu, uchunguzi mpya umegundua kuwa dozi moja tu ya aspirini inaweza kuwaopunguzia maumivu walio na ugonjwa huo. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Cochrane Library, kunywa dozi moja ya aspirini ya kati ya miligramu 900 hadi 1000 kunaweza kupunguza mauvimu makali ya migraine kwa masaa mawili. Hata hivyo utafiti huo umesema dawa hizo zinaweza kuwafaa baadhi ya watu na zisiwafae wengine na kwamba hiyo ni kutokana na tofauti ya genetiki.  Kunywa dozi kubwa ya asprini kumeripotiwa kuwa na athari  ya kupunguza kichefuchefu, kutapika na hata hali ya kutoweza kuvumilia mwanga na sauti (photophobia na phonophobia) hali ambazo hujitokeza kwa wale wanaopatwa na migraine. &lt;br /&gt;Lakini wataalamu wamewashauri wale wanaosumbuliwa na maumivu ya kichwa ya migraine wajiepushe kutumia vidonge  hivyo kwa muda mrefu kwani aspirini zinaweza kuleta athari mbaya kama vile matatizo ya tumbo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-769441083600244861?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/769441083600244861/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=769441083600244861' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/769441083600244861'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/769441083600244861'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/04/aspirin-hutibu-migreni.html' title='Aspirin hutibu migreni'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8gCIQlqw-I/AAAAAAAAAfY/Wa5QUHGlpWM/s72-c/mig.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-8105120497388988146</id><published>2010-04-16T08:01:00.003+04:30</published><updated>2010-04-16T08:10:43.974+04:30</updated><title type='text'>Vifo vya kinamama vimepungua duniani</title><content type='html'>Takwimu za mwisho zinaonyesha kwamba idadi ya vifo vya kimamama vimepungua  duniani kutoka nusu milioni mwaka 1980 hadi chini ya vifo 350,000 mwaka 2008. Vifo vya kinamama vinavyotokana na ujauzito au Maternal ni vifo vya kina mama vinavyotokea  wakati wa ujauzito au katika siku 42 mwishoni mwa ujauzito. Vifo hivi hutokana na sababu yoyote unayohusiana na ujauzito au masuala mengine yanayoambatana na hali hiyo.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8fbU3YbsLI/AAAAAAAAAew/aysCYn9Qs5c/s1600/maternity.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 268px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8fbU3YbsLI/AAAAAAAAAew/aysCYn9Qs5c/s400/maternity.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5460574224720310450" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Idadi hiyo ya vifo imekuwa ikitumika kutambua na kuonyesha kiwango cha  hali ya huduma za afya katika maeneo mbalimbali duniani.&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa uchunguzi ulioshapishwa na jarida la The Lacent, idadi ya kinamama wanaofariki dunia kutokana na matatizo ya ujauzito imepungua kwa zaidi ya asilimia 35, katika kipindi cha miaka 30 iliyopita. Hii ni katika hali ambayo nchi kama vile China, Misri, Ecuador na Bolivia zimefanikiwa kufikia malengo ya kimataifa ya kupunguza idadi ya wanawake wanaofariki dunia kutokana na matatizo ya ujazito, huku nchi za Marekani na Norway zikiripotiwa kushuhudia ongezeko la vifo hivyo. Wengi wanasema kwamba, sababu kuu iliyopelekea ongezeko la vifo hivyo katika nchi hizo mbili ambazo ni tajiri na zenye huduma bora ya tiba ni kuongezeka magonjwa miongoni mwa kinamama wajawazito pamoja na kinamama kubeba mimba katika umri mkubwa.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8fcF4jn16I/AAAAAAAAAfA/OQwVW9RAZSg/s1600/mate3.jpg"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8fcF4jn16I/AAAAAAAAAfA/OQwVW9RAZSg/s400/mate3.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5460575066849269666" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Vilevile imeripotiwa kwamba kwenye nchi za Mashariki na Kusini mwa Afrika katika kila wanawake watano wajawazito mmoja kati yao ana virusi vya HIV. Ugonjwa ambao umesababisha vifo vya watu  61,400 katika mwaka 2008.  Asimilia 80 ya vifo vya kina mama wajawazito hutokea katika nchi 21 duniani ambapo India, Pakistan, Nigeria, Afghanistan, Ethiopia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinachangia zaidi ya nusu ya idadi yote hiyo ya vifo vilivyoripotiwa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-8105120497388988146?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/8105120497388988146/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=8105120497388988146' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8105120497388988146'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8105120497388988146'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/04/vifo-vya-kinamama-vimepungua-duniani.html' title='Vifo vya kinamama vimepungua duniani'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S8fbU3YbsLI/AAAAAAAAAew/aysCYn9Qs5c/s72-c/maternity.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-1391375967977757778</id><published>2010-04-07T14:46:00.002+04:30</published><updated>2010-04-07T14:48:35.189+04:30</updated><title type='text'>Cheka unenepe na uishi maisha marefu</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7xbq02D8KI/AAAAAAAAAeo/976kVo3xUuE/s1600/cheka+unenepe.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 216px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7xbq02D8KI/AAAAAAAAAeo/976kVo3xUuE/s400/cheka+unenepe.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5457337639764226210" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Utafiti mpya umeonyesha kwamba, kuna uhusiano kati ya kucheka na kuishi maisha marefu.&lt;br /&gt;Utafiti huo uliochapishwa katika Jarida la Saikolojia la Sayansi umeonyesha kwamba, watu wenye tabasamu pana linalojulikana kama "Dunchenne smile, huishi maisha marefu. Ernest L. Abel aliyeongoza utafiti huo amesema kwamba, watu ambao wanaonyesha hisia zao na kuziakisi kwa tabasamu pana, kimsingi huwa ni watu wenye furaha zaidi ya wale wenye kutabasamu kidogo. Hivyo watu hao hufaidika na suala hilo na kwa kawaida huishi maisha marefu. &lt;br /&gt;Wataalamu wanasema kwamba watu wenye kutabasamu sana kwa kawaida huwa wana furaha, wana shaksia madhubuti, ndoa zao hudumu zaidi, wana ufahamu mzuri zaidi wa mambo na huashiriana vyema na watu wengine.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-1391375967977757778?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/1391375967977757778/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=1391375967977757778' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1391375967977757778'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1391375967977757778'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/04/cheka-unenepe-na-uishi-maisha-mrefu.html' title='Cheka unenepe na uishi maisha marefu'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7xbq02D8KI/AAAAAAAAAeo/976kVo3xUuE/s72-c/cheka+unenepe.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-2399782794384477064</id><published>2010-04-05T18:21:00.002+04:30</published><updated>2010-04-05T18:39:30.926+04:30</updated><title type='text'>Yawezekana kuokoa maisha ya wenye HIV kwa kutumia dawa zisizo ghali</title><content type='html'>Wachunguzi wa masuala ya tiba wamesema kwamba, bado hakuna jitihada zinazofanywa za kuokoa maisha ya maelfu ya watu wanaoishi na virusi vya HIV kwa kutumia dawa rahisi na zisizo ghali. Wamesisitiza kwamba kuwapa dawa za anti-biotics kama vile co-trimoxazole wale ambao tayari wamegunduliwa kuwa na virusi vya Ukimwi kunaweza kupunguza idadi ya vifo vya wagonjwa hao mwanzoni tu wanapopata ugonjwa huo. &lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7nu2j3kIUI/AAAAAAAAAeg/FMPj1fntSqs/s1600/uki1.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 130px; height: 106px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7nu2j3kIUI/AAAAAAAAAeg/FMPj1fntSqs/s400/uki1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5456655044644708674" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Uchunguzi huo uliochapishwa katika Jarida la Tiba la Lancet umegundua kuwa, kuwapa waathirika wa Ukimwi anti-biotics kunapunguza nusu ya vifo vya wagonjwa hao. Shirika la Afya Duniani WHO) tayari limeamuru kutolewa matibabu hayo lakini wataalamu na madakatari wanasema kuwa watu wengi bado hawapewi dawa hizo. Jitihada nyingi zimekuwa zikifanywa tu kuhakikisha kwamba wale walioathirika na Ukimwi wanapatiwa dawa za kuongeza maisha za antiretroviral ambazo zina athari kubwa katika kuwaongeza maisha. Hata hivyo, wagonjwa wengi wa Ukimwi katika wiki za mwanzo baada ya kugundulika kuwa wana ugonjwa huo, wanakabiliwa na hatari kubwa ya kushambuliwa na magonjwa mbalimbali kutokana na kudhoofu mfumo wao wa kinga wa mwili. Hivyo wataalamu wanasema kwamba, kuongezwa dawa kama vile co-trimoxazole ambazo ni anti-biotic zisizo ghali na ambazo hupatikana kwa urahisi, katika matibabu yao ya muda mrefu kunaweza kuwanusu na kifo. &lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7nuk2APxNI/AAAAAAAAAeY/W7dWuQfE5jg/s1600/uki4.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 385px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7nuk2APxNI/AAAAAAAAAeY/W7dWuQfE5jg/s400/uki4.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5456654740275315922" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Takwimu zimeonyesha kuwa, zaidi ya robo ya waathiriwa wa Ukimwi waliopewa dawa za kuongeza maisha za antiretroviral katika nchi za chini ya Jangwa la Sahara walifariki dunia katika mwaka wa kwanza wa matibabu. Lakini uchunguzi uliofanywa na Lancent umeonyesha kwamba, kati ya Waganda 3,179 wenye virusi vya Ukimwi, waliopewa dawa hizo pamoja na kuongezewa anti-biotic katika mpango wao wa matibabu, dawa hizo ziliwapunguzia vifo  kwa asilimia 59 katika wiki 12 za kwanza, na kwa asilimia 44 kati ya wiki 12 na 72 za matibabu. &lt;br /&gt;Hata hivyo imeonekana kwamba dawa hizo za anti-biotics hazipatikani katika maeneo mengi ya nchi za Uganda na Zimbabwe ambako kuna wathirika wengi wa Ukimwi. &lt;br /&gt;Pia imeonekana kuwa kutumiwa dwa hizo za nyongeza kuna faida nyingine ya ziada ambayo ni kuepusha maambukizo ya ugonjwa wa Malaria kwa asilimia 15.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-2399782794384477064?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/2399782794384477064/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=2399782794384477064' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2399782794384477064'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2399782794384477064'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/04/yawezekana-kuokoa-maisha-ya-wenye-hiv.html' title='Yawezekana kuokoa maisha ya wenye HIV kwa kutumia dawa zisizo ghali'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7nu2j3kIUI/AAAAAAAAAeg/FMPj1fntSqs/s72-c/uki1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-9202381226158881306</id><published>2010-04-04T17:12:00.004+04:30</published><updated>2010-04-04T17:19:35.769+04:30</updated><title type='text'>Dawa ya  kensa ya tezi  kibofu (prostate cancer) yaonyesha matumaini zaidi</title><content type='html'>Dawa ya kensa ambayo tayari inatumiwa na wagonjwa wenye uvimbe wa tezi za kibofu imeonekana kuwa ina uwezo wa kuzuia ugonjwa huo usiendelee zaidi. Katika uchunguzi wa kimataifa imeonekana kuwa, wanaume waliopewa dawa hiyo ijulikanayo kama Dutasteride katika jaribio la kitiba, wameripotiwa kupungukiwa na hatari ya kupata ugonjwa wa kensa ya tezi kibofu (prostate cancer) kwa asilimia 23. Wanaume wote hao walikuwa wana uwezekano wa kupatwa na ugonjwa huo maishani.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7iKIAF4L4I/AAAAAAAAAeQ/ehVat542Pkk/s1600/koro.bmp"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 216px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7iKIAF4L4I/AAAAAAAAAeQ/ehVat542Pkk/s400/koro.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5456262818627596162" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wataalamu wamepokea kwa furaha matokeo hayo lakini wamesema kwamba bado utafiti wa muda mrefu unatakiwa kufanywa kuhusiana na dawa hiyo. &lt;br /&gt;Huko nyuma pia wataalamu waligundua pia dawa nyingine kama hiyo iitwayo Finasteride inapunguza hatari ya kupatwa na ugonjwa wa kensa ya tezi kibofu lakini baadaye wakaona kuwa inaongeza uwezekano wa kutokea matezi makubwa ya kensa hiyo. Hivyo wamesisiza kwamba inahitajia muda mrefu ili kujua iwapo dawa hiyo haina madhara kabisa.&lt;br /&gt;Inafaa kujua kuwa ugonjwa wa kensa ya tezi kibofu au prostate cancer huwapata wanaume hasa wanapofikia umri wa miaka 50 na wengine katika miaka ya 70. Nchini Marekani pekee mwaka 2005 inakadiriwa kwamba watu 230,000 walipatwa na ugonjwa huo na kusababisha vifo vya watu 30,000. Wanaume wenye matatizo ya shinikizo la damu wanaelekea kupatwa zaidi na kensa ya prostati.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7iJ9Syp3-I/AAAAAAAAAeI/o4oA68nZ-iE/s1600/koro3.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 246px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7iJ9Syp3-I/AAAAAAAAAeI/o4oA68nZ-iE/s400/koro3.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5456262634668679138" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt; Dalili za ugonjwa wa kenda ya korodani ni:&lt;br /&gt;  Kushindwa kukojoa.&lt;br /&gt;  Kuona ugumu wakati wa kukojoa.&lt;br /&gt;  Kushindwa kuzuia mkojo hasa usiku.&lt;br /&gt;  Mkojo kutoka kwa shinda, kuhisi maumivu wakati wa kukojoa.&lt;br /&gt;  Kuona damu imechanganyika na mkono na kuhisi maumivu upande wa chini wa kiuno na upande wa juu wa mapaja.&lt;br /&gt;Lakini dalili zote hizo zinaweza kusababishwa na uvimbe wa tezi kibofu ambao hausababishwi na saratani.&lt;br /&gt;Wanaume walio na dalili hizo wanatajwa kumuona daktari na kupata ushauri zaidi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-9202381226158881306?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/9202381226158881306/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=9202381226158881306' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/9202381226158881306'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/9202381226158881306'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/04/dawa-ya-kensa-ya-tezi-kibofu-prostate.html' title='Dawa ya  kensa ya tezi  kibofu (prostate cancer) yaonyesha matumaini zaidi'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7iKIAF4L4I/AAAAAAAAAeQ/ehVat542Pkk/s72-c/koro.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-772578308412209370</id><published>2010-04-03T12:49:00.003+04:30</published><updated>2010-04-03T12:58:47.130+04:30</updated><title type='text'>Coca Cola  huwafanya wanaume tasa!</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7b8M-h4SYI/AAAAAAAAAd4/kg4AnYWnFdA/s1600/infe.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 292px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7b8M-h4SYI/AAAAAAAAAd4/kg4AnYWnFdA/s400/infe.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5455825298479663490" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kinywaji cha coca cola kimeendelea kuwa maarufu duniani lakini utafiti mpya umeonyesha kuwepo uhusiano wa kunywa sana kinywaji hicho na matatizo ya uzazi kwa wanaume.&lt;br /&gt;Kwa mjimu wa utafiti huo uliochapichwa kwenye Jarida la Epidemiology la Marekani, wanaume wanaokunywa zaidi ya lita moja ya coca cola kwa siku wanakabiliwa na hatari ya kuwa tasa. Wanaume waliotumia kinywaji hicho walikuwa na upungufu wa aslimia 30 ya mbegu za uzazi zilizohesabiwa, ikilinganishwa  na wale ambao hawakutumia. Wanaume hao walionekana kuwa na matatizo ya uzazi zaidi kuliko wasiokunywa coca cola.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-772578308412209370?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/772578308412209370/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=772578308412209370' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/772578308412209370'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/772578308412209370'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/04/koka-kola-huwafanya-wanaume-tasa.html' title='Coca Cola  huwafanya wanaume tasa!'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7b8M-h4SYI/AAAAAAAAAd4/kg4AnYWnFdA/s72-c/infe.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-8959372253756234962</id><published>2010-04-02T10:24:00.003+04:30</published><updated>2010-04-02T10:25:47.727+04:30</updated><title type='text'>Chokoleti nyeusi zina faida kwa moyo</title><content type='html'>Japokuwa kumekuwa na mjadala mkubwa kuhusu taarifa kuhusu faida za kiafya za chokoleti, lakini utafiti mpya umedhihirishwa kwamba kula chokoleti nyeusi kuna faida kwa moyo. Utafiti huo uliochapishwa katika jarida la Moyo la Ulaya umeonyesha kwamba, kula  kila siku gramu 7.5 za chokoleti, kiasi ambacho ni kidogo kuliko kipande mraba kidogo cha chokolati kunapunguza shinikizo la damu suala ambalo huondoa hatari ya kupatwa na mshituko wa moyo kwa asilimia 39.  Kula chokoleti kidogo huweza kumzuia mtu asipate ugonjwa wa moyo lakini iwapo tu italiwa badala ya vyakula vingine viliwavyo katikati ya mlo au asusa (snacks) vyenye kalori nyingi bila kuongeza uzito wa mwili. &lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7WGzGGnerI/AAAAAAAAAdo/h7shTKtWIO8/s1600/choco.bmp"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 381px; height: 301px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7WGzGGnerI/AAAAAAAAAdo/h7shTKtWIO8/s400/choco.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5455414735999040178" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Flavanols inayopatikana katika kakao huimarisha uwezo wa kiabiolojia wa  seli wa kutengenezwa  nitric oxide kuzunguka kuta za damu, suala ambalo  hufanya mishipa laini ya damu ipumzike na kupanuka na hivyo kusaidia sana afya ya moyo. Kwa kuwa katika chokoleti nyeusi kuna kakao nyingi, aina  hiyo ya chokolati ina taathira kubwa katika kupunguza mfumuko wa mawazo na wasiwasi pamoja (stress) na kusaidia mzunguko wa damu na kiwango cha chinikizo la  damu.  Lakini inaaminiwa kuwa chokoleti nyeupe hazina kabisa flavanol hivyo hazina faida hiyo. &lt;br /&gt;Wataalamu wamesisitiza kwamba, watu wale chokolate nyeusi kila siku lakini kwa tahadhari kubwa kwani kiasi kidogo tu cha chokolati kina kiasi kikubwa cha kalori na mafuta ambavyo ni hatari kwa afya.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-8959372253756234962?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/8959372253756234962/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=8959372253756234962' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8959372253756234962'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8959372253756234962'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/04/chokoleti-nyeusi-zina-faida-kwa-moyo.html' title='Chokoleti nyeusi zina faida kwa moyo'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7WGzGGnerI/AAAAAAAAAdo/h7shTKtWIO8/s72-c/choco.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3985589232309577814</id><published>2010-04-01T10:00:00.001+04:30</published><updated>2010-04-01T10:02:19.279+04:30</updated><title type='text'>Mammography inaweza kuokoa maisha ya wanawake wengi</title><content type='html'>Japokuwa kumekuwepo na mjadala mkubwa kuhusiana na uwezo wa kutambua ugonjwa wa kipimo kinachotumiwa kugundua kensa ya matiti, lakini utafiti mpya umethibitsiha kwamba, kipimo hicho kina faida kubwa.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7QvxpxmUQI/AAAAAAAAAdg/_2cOOGyhS28/s1600/mamo.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7QvxpxmUQI/AAAAAAAAAdg/_2cOOGyhS28/s400/mamo.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5455037578726494466" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Uchunguzi huo umeonyesha kuwa, kipimo cha mammography &lt;br /&gt;faida zake ni kubwa zaidi kuliko hasara zake, na kutumiwa kwakwe kunaokoa zaidi maisha ya wanawake yanayoweza kupotea kutokana na kensa ya matiti. Mammography ina uwezo wa kuonyesha uvimbe (tumors), japokuwa kipimo hicho kinaweza kuonyesha uvimbe ambao hauna madhara, na kuwafanya baadhi ya wanawake kupata wasiwasi na kufanyiwa operesheni bure. Uchunguzi wa huko nyuma ulishauri kuwa, umri wa kufanyiwa kipimo cha mammography ili kujua kama mtu ana saratani ya matiti au la usogezwe kutoka miaka 40 hadi 50 ili kupunguza uwezekano wa wanawake kufanyiwa kipimo hicho mara nyingi maishani, Vilevile imesisitiza kwamba, kwa kila maisha ya mwanamke mmoja yanayonusuriwa kwa kufanywa mammography, kuna wanawake wengine 6  ambao wanafanyiwa kipimo hicho bila ya kuwa na ulazima.&lt;br /&gt;Kwa hivyo wataalamu wamewashauri wanawake wasizembee na kuwahimiza wafanyiwe kipimo hicho, kwani faida yake ni kubwa zaidi kuliko hasara yake.&lt;br /&gt; Nchini Uingereza pekee, zaidi ya wanawake 45,000 hugunduliwa kuwa wana kensa ya matiti kila mwaka, na zaidi ya wanawake 12,000 hufariki dunia kutokana na ugonjwa huo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3985589232309577814?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3985589232309577814/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3985589232309577814' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3985589232309577814'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3985589232309577814'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/04/mammography-inaweza-kuokoa-maisha-ya.html' title='Mammography inaweza kuokoa maisha ya wanawake wengi'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7QvxpxmUQI/AAAAAAAAAdg/_2cOOGyhS28/s72-c/mamo.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-8655559899757889528</id><published>2010-04-01T08:03:00.001+04:30</published><updated>2010-04-01T08:04:52.462+04:30</updated><title type='text'>Saa moja ya mazoezi muhimu ili kupunguza uzito</title><content type='html'>Huku watu wakishauriwa kufanya mazoezi nusu saa kwa siku zisizopungua tano katika wiki ili kulinda afya zao, uchunguzi mpya umesema kuwa kwa wale wanaotaka kuzuia uzito usiongezeke inawabidi wafanye mazoezi  zaidi ya muda huo. Kwa mujibu wa uchunguzi huo, lisaa moja la kufanya mazoezi ya wastani linatakiwa kwa ajili ya kupunguza unene kwa wanawake. &lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7QUR1jqlqI/AAAAAAAAAdY/HGtD-Br8Mbo/s1600/health_fitness_exercise.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 265px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7QUR1jqlqI/AAAAAAAAAdY/HGtD-Br8Mbo/s400/health_fitness_exercise.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5455007345319515810" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kila ambavyo mwanamke  mwenye unene wa kawaida anavyofanya mazoezi ndivyo uzito wake utakavyopungua. Uchunguzi huo umesema kuwa kushughulisha mwili kuna umuhimu mkubwa katika kupunguza unene.&lt;br /&gt;Hata hivyo wataalamu wamesisitiza kwamba kufanya mazoezi kunapaswa kuambatana na kula chakula bora ili kujenga afya vyema. Pia watu wazima wameshauri kula matunda na mboga mboga, kupunguza kula vyakula vyenye mafuta mengi na kufanya mazoezi ili kulinda afya zao na kuweza kuisha maisha marefu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-8655559899757889528?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/8655559899757889528/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=8655559899757889528' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8655559899757889528'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8655559899757889528'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/04/saa-moja-ya-mazoezi-muhimu-ili.html' title='Saa moja ya mazoezi muhimu ili kupunguza uzito'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7QUR1jqlqI/AAAAAAAAAdY/HGtD-Br8Mbo/s72-c/health_fitness_exercise.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-6359258228119566508</id><published>2010-03-30T15:22:00.004+04:30</published><updated>2010-03-30T15:29:50.400+04:30</updated><title type='text'>Ni wakati gani mazoezi hayaruhusiwi kwenye ujauzito?</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7HY28rc7CI/AAAAAAAAAdQ/zCLH1UpmnEM/s1600/pre4.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 351px; height: 336px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7HY28rc7CI/AAAAAAAAAdQ/zCLH1UpmnEM/s400/pre4.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5454379062235294754" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa  maelekezo yaliyotolewa na Chuo Kikuu Cha Marekani cha Masuala ya Uzazi na Magonjwa ya Wanawake, mama mjamzito haruhusiwi kufanya mazoezi iwapo atakuwa na matataizo yafuatayo:&lt;br /&gt;• Ugonjwa wa moyo.&lt;br /&gt;• Ugonjwa wa mapafu.&lt;br /&gt;• Kizazi kisichojitocheleza au kitaalamu cervical insufficiency/cerclage.&lt;br /&gt;• Mimba ya mapacha, mapacha wawili, watatu na kuendelea na iwapo ana hatari ya kujifungua mapema kabla ya muda kutimia.&lt;br /&gt;• Kutokwa na damu kunakoendelea katika miezi mitatu ya pili na ya tatu ya mimba.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7HYOMOOctI/AAAAAAAAAdA/Vi4hMSG3dQE/s1600/pre2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 269px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7HYOMOOctI/AAAAAAAAAdA/Vi4hMSG3dQE/s400/pre2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5454378362033042130" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;• Mfuko wa uzazi ulioko upande wa chini wa kizazi au placenta previa. Hasa baada ya wiki 26 ya mimba.&lt;br /&gt;• Uwezekano wa kujifungua mapema kabla muda haujatimia.&lt;br /&gt;• Iwapo chupa imevunjika.&lt;br /&gt;• Kifafa cha mimba (preeclamsia) &lt;br /&gt;• Shinikizo sugu la damu.&lt;br /&gt;• Ukosefu mkubwa wa damu.&lt;br /&gt;• Kutokwa na majimaji ukeni.&lt;br /&gt;• Ongezeko la mapigo ya moyo, hata wakati wa mapumziko.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7HX-7rIppI/AAAAAAAAAc4/EfyE3oveWKU/s1600/pre3.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 285px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7HX-7rIppI/AAAAAAAAAc4/EfyE3oveWKU/s400/pre3.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5454378099892856466" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-6359258228119566508?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/6359258228119566508/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=6359258228119566508' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6359258228119566508'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6359258228119566508'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/03/ni-wakati-gani-mazoezi-wakati-wa.html' title='Ni wakati gani mazoezi hayaruhusiwi kwenye ujauzito?'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7HY28rc7CI/AAAAAAAAAdQ/zCLH1UpmnEM/s72-c/pre4.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-367537455022457916</id><published>2010-03-30T15:18:00.000+04:30</published><updated>2010-03-30T15:22:09.085+04:30</updated><title type='text'></title><content type='html'>Mama mjamzito pia anatakiwa kuzingatia dalili zifuatazo wakati anapofanya mazoezi, na anashauriwa kuacha haraka kufanya mazoezi anapohisi kuwa na dalili hizo:&lt;br /&gt;• Kutoka damu ukeni.&lt;br /&gt;• Kuhisi kizunguzungu au kuzimia, au kukosa nguvu.&lt;br /&gt;• Kukosa pumzi au pumzi kumbana.&lt;br /&gt;• Maumivu ya kichwa.&lt;br /&gt;• Maumivu ya kifua.&lt;br /&gt;• Misuli kukosa nguvu.&lt;br /&gt;• Miguu kuuma na kuvimba.&lt;br /&gt;• Maimivu ya mgongo na kiuno.&lt;br /&gt;• Kujisikia uchungu au dalili za kujifungua kabla ya muda.&lt;br /&gt;• Kupungua harakati ya mtoto ( kupungua hali ya kupiga mtoto tumboni)&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7HXpTpvIjI/AAAAAAAAAcw/D1rkqfa6qrE/s1600/pre1.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7HXpTpvIjI/AAAAAAAAAcw/D1rkqfa6qrE/s400/pre1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5454377728372318770" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-367537455022457916?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/367537455022457916/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=367537455022457916' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/367537455022457916'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/367537455022457916'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/03/mama-mjamzito-pia-anatakiwa-kuzingatia.html' title=''/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7HXpTpvIjI/AAAAAAAAAcw/D1rkqfa6qrE/s72-c/pre1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-2751866614920317400</id><published>2010-03-29T16:37:00.002+04:30</published><updated>2010-03-29T18:23:50.105+04:30</updated><title type='text'>Umuhimu wa Mazoezi wakati wa Ujauzito</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7CZIP5vOlI/AAAAAAAAAco/NWT87KaTPVc/s1600/exce.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 308px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7CZIP5vOlI/AAAAAAAAAco/NWT87KaTPVc/s400/exce.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5454027515732376146" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kufanya mazoezi wakati wa ujauzito kuna umuhimu mkubwa kwa afya ya mama mjamzito mwenyewe na mtoto wake ambaye bado hajazaliwa. Wanawake wengi wanatambua umuhimu wa kula lishe bora, kuhudhuria kliniki, kuacha kuvuta sigara na kunywa pombe wakati wakiwa na mimba. Lakini si wanawake wengi wanaoelewa umuhimu wa kutumia muda wao kufanya mazoezi wakati wa ujauzito. Mazoezi yana umuhimu mkubwa kiafya wakati wa ujauzito kama ilivyo kabla ya ujauzito. Kufanya mazoezi wakati unapobeba mimba kunaleta faida kubwa wakati wa kujifungua. Wakati wa ujauzito ni muhimu kudhibiti ongezeko la uzito wa mama. Kwa kujishughulisha mama mjamzito na kuwa na harakati humsaidia awe na afya bora na kumsaidia aweze kupitisha kipindi cha uchungu na kujifungua kwa urahisi zaidi. Zaidi ya kumsaidia mama asiongeze uzito mkubwa wakati wa mimba, kufanya mazoezi humsaidia mama pia kurejea katika uzito wake wa kawaida kwa urahisi baada ya kujifungua kwa kawaida au kwa uparesheni. Kwa ujumla mama mjamzito kama ambayo anavyoshauri kula chakula bora na kuwa na afya nzuri wakati wa ujauzito, hivyo hivyo hushauriwa pia kuzingatia suala zima la kufanya mazoezi na kuchunga mwili wake usiongeze uzito mkubwa. Pia kufanya mazoezi huufanya mwili utoe mada ya endorphins, ambayo husaidia kumfanya mama asipate matatizo ya kifikra na msongamano wa mawazo (emotional stress na depression).&lt;br /&gt;Zifuatazo ni faida anazozipata mama mjamzito iwapo atafanya mazoezi&lt;br /&gt;1. Mazoezi hupunguza maumivu ya kichwa, kukosa choo na kuvimba mwili. &lt;br /&gt;2. Mazoezi huongeza nguvu na kuupa mwili stamina.&lt;br /&gt;3. Mazoezi hukufanya ujisikie vizuri na kukufanya uwe katika hali ya furaha.&lt;br /&gt;4. Mazoezi hupunguza maumivu ya mgongo na huimarisha mifupa ya mgongo, makalio na mapaja na kuifanya iwe na uwezo wa kuvumulia vyema uzito wa mimba.&lt;br /&gt;5. Mazoezi husaidia huongeza mtiririko wa damu na hewa katika ngozi na kuifanya ngozi yako ionekane nzuri.&lt;br /&gt;6. Mazoezi hutayarisha mwili wako uwe tayari kwa ajili ya kuhisi uchungu kwa muda mfupi na kujifungua kwa urahisi. &lt;br /&gt;7. Mazoezi hufanya mwili wako urudi upesi katika muonekano wake wa kawaida baada ya kujifungua. &lt;br /&gt;8. Mazoezi humsaidia mama mjamzito apate usingizi kwa wepesi na kulala vyema. &lt;br /&gt;Hata hivyo mama majamzito anashauriwa kabla ya kuanza kufanya mazoezi apate ushauri wa daktari na kuhakikisha kuwa hana matatizo ambayo kwa kufanya mazoezi pengine yakahatarisha mimba yake. Kwa wale waliokuwa wakifanya mazoezi kabla ya kubeba mimba wanashauriwa kuendelea na mazoezi yao lakini kwa kuwa waangalifu na kwa kiwango kidogo. Lakini kwa wale ambao walikuwa hawafanyi mazoezi hawaruhusiwi kufanya aina zote za mazoezi wakati wa ujauzito. Mazoezi kama vile kuogelea (kwa wale anaojua kuogelea), kutembea na yoga ni miongoni mwa mazoezi yanayoshauriwa wakati wa ujauzito. La muhimu ni mama mjamzito kutokaa tu na kujiepusha na uvivu na pengine kwa kufanya shughuli zake tu za kawaida ambazo mama huwa anazifanya nyumbani kila siku ikawa inatosha kuwa mazoezi yake na akaongeza kwa kutembea  kidogo ( walking) kila jioni. Kutembea ni mazoezi salama na rahisi kwa kila mama mjamzito na yanayojulikana na kila mtu na kuweza kufanywa mahala popote. Ni bora kama unaweza fanya mazoezi na mwenza wako, rafiki au hata ndugu na jamaa yako ili uweze kufurahia zaidi mazoezi hayo. La muhimu ni kufuata maelekezo ya daktari kwani si kila mama mjamzito anaruhusiwa kufanya mazoezi wakati wa ujauzito kutokana na sababu tofauti.  Baadhi ya mazoezi ambayo yana madhara kwa afya ya mama mjamzito na kwa mtoto hayaruhusiwi kabisa kufanywa wakati wa ujauzito. Mazoezi hayo ni kama vile mazoezi ya aerobic, ski, kupanda mawe, kupanda farasi na mengineyo kama hayo. Iwapo unaishi katika miji iliyoendelea basi unaweza kupata kwa urahisi vituo maalum kwa ajili ya kufanyia mazoezi mama wajawazito, na katika vituo hivyo kwa kawaida wakina mama wajawazito hukusanyika na kufanya mazoezi kwa pamoja. Lakini kama uko katika miji ambayo vituo hivyo hakuna usife moyo, na jitahidi kufanya mazoezi hayo peke yako huku ukishirikiana na familia yako.&lt;br /&gt;Makala hii inaendelea...&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-2751866614920317400?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/2751866614920317400/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=2751866614920317400' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2751866614920317400'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2751866614920317400'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/03/umuhimu-wa-mazoezi-wakati-wa-ujauzito.html' title='Umuhimu wa Mazoezi wakati wa Ujauzito'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S7CZIP5vOlI/AAAAAAAAAco/NWT87KaTPVc/s72-c/exce.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-7601643265973608498</id><published>2010-03-28T13:21:00.001+04:30</published><updated>2010-03-28T13:35:54.335+04:30</updated><title type='text'>Vidonge vya uzazi havileti saratani - Mtaalam</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S68b7POnAiI/AAAAAAAAAcg/aFX5r5ZKkvI/s1600/pills2.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 250px; height: 285px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S68b7POnAiI/AAAAAAAAAcg/aFX5r5ZKkvI/s400/pills2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5453608378283000354" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;MTAALAMU wa masuala ya uzazi wa mpango, wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Calista Simbakalia, amesema vidonge vya uzazi wa mpango havileti saratani ya uzazi kama inavyodaiwa na baadhi ya watu.&lt;br /&gt;Simbakalia alitoa kauli hiyo juzi jijini Dar es Salaam alipokuwa akitoa mada katika semina ya kutambulisha uzinduzi wa mpango mkakati wa uzazi wa mpango utakaofanyika Machi 30, chini ya wizara hiyo kitengo cha Uzazi wa Mpango na Mtoto.&lt;br /&gt;Alisema si kweli kuwa vidonge vya uzazi wa mpango husababisha ugonjwa wa saratani ya uzazi bali vidonge hivyo hutumika pia kwa matibabu ya ugonjwa huo.&lt;br /&gt;“Kumekuwa na kundi kubwa la watu ambao wamekuwa wakiamini matumizi ya dawa hizo huleta saratani ya uzazi wakati ukweli ni kwamba zimekuwa zikisaidia kutibu ugonjwa huo.”&lt;br /&gt;Simbakalia alisema kuwa mwanamke asiyetumia njia za uzazi wa mpango hubeba mimba kila wakati jambo linalomfanya muda mwingi autumie katika kulea watoto badala ya kufanya shughuli za uzalishaji mali.&lt;br /&gt;Alibainisha kuwa ubebaji mimba wa mara kwa mara humfanya mwanamke kuwa tegemezi sambamba na kuifanya familia husika kutopiga hatua za maendeleo.&lt;br /&gt;“Mama atakapotumia uzazi wa mpango unamsaidia kutopata mimba ambayo hakuipanga; hivyo atatumia muda wake mwingi kufanya shughuli za kumuongezea kipato,” alisema.&lt;br /&gt;Naye mratibu wa taifa wa shughuli za uzazi wa mpango nchini, Maurice Hiza, alisema uzazi wa mpango unasaidia kupunguza vifo kwa kina mama wajawazito sambamba na kuboresha afya ya mama na mtoto wake.&lt;br /&gt;Alibainisha kuwa uzazi wa mpango pia huisaidia serikali kuboresha huduma za jamii kama elimu, miundombinu, huduma za afya ambazo zimekuwa zikilegalega kutokana na uwiano mdogo kati ya idadi ya watu na uwezo wa serikali.&lt;br /&gt;Alisema wizara kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wamepanga kuwaelimisha wanaume ambao inadaiwa ndiyo kikwazo kikubwa cha kuwakubalia wake zao au wao wenyewe kutumia njia zinazotakiwa za uzazi wa mpango.&lt;br /&gt;Aliongeza kuwa iwapo elimu ya uzazi wa mpango itayafikia makundi ya vijana wanaochipukia na wanaume wakaelewa dira ya taifa ya mpango mkakati wa kupunguza vifo vya kina mama hadi kufikia mwaka 2010 -2015 itafanikiwa kirahisi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-7601643265973608498?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/7601643265973608498/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=7601643265973608498' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7601643265973608498'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7601643265973608498'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/03/vidonge-vya-uzazi-havileti-saratani.html' title='Vidonge vya uzazi havileti saratani - Mtaalam'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S68b7POnAiI/AAAAAAAAAcg/aFX5r5ZKkvI/s72-c/pills2.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-6326609366839753583</id><published>2010-03-15T19:12:00.002+03:30</published><updated>2010-03-15T19:14:16.165+03:30</updated><title type='text'>Kensa zinazoshambulia kizazi … sehemu ya kwanza</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S55VrSQ5eeI/AAAAAAAAAcY/595PDrBJ6d4/s1600-h/cancer1.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 302px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S55VrSQ5eeI/AAAAAAAAAcY/595PDrBJ6d4/s400/cancer1.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5448886801290328546" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kuna kensa mbalimali tofauti zinazoweza kushambulia sehemu mbalimbali za kizazi na mfuko wa uzazi. Lakini kensa ambayo inajulikana sana pengine kutokana na kuwepo vipimo vya kujua kama kensa hiyo ipo au la ni kensa ya mlango wa uzazi (cervical cencer) ambayo hushambulia mdomo au shingo ya kizazi. Kensa hiyo huweza kugunduliwa mapema na kwa urahisi baada ya wanawake kufanyiwa kipimo cha kupima kensa hiyo na pale inapoonekana kuna mabadiliko yasiyo ya kawaida katika seli za kizazi ambazo mwanzoni huwa bado hasijageuka kuwa kensa kamili. Mabadiliko ya mwanzo ya seli hizo kuelekea kwenye saratani huwa ni rahisi kutubiwa, suala ambalo limepelekea idadi ya wanawake wanaosumbuliwa na ugonjwa huo ipungue katika miaka ya hivi karibuni. Kensa nyingine inayowatokea sana wanawake ni kensa ya kizazi (uterine cancer) au kensa inayoshambulia mji wa mimba. Kensa hiyo hushambulia kuta za kizazi. Kensa ya kizazi kwa hakika ni kensa inayoshambulia mwili wa kizazi ambao umejengwa kwa tishu mbalimbai kutoka katika mlango wa uzazi hadi ndani ya kizazi chenyewe. Kensa ya kizazi mara nyingi huwapata wanawake wenye umri mkubwa ambao hedhi yao imeshakatika, na mara nyingi hushauriwa waondolewa kizazi. Wataalamu wanasema kwamba, suala muhimu linaloweza kufanikisha matibabu ya kensa ya mlango wa uzazi na ya kizazi ni kugunduliwa mapema magonjwa hayo. Kensa nyingine ambayo haishuhudiwi sana ni kensa inayoshambulia kizazi iitwayo Uterine Sarcoma, ambayo hushambulia misuli ya kizazi.  Kensa hiyo hufananishwa zaidi na saratani nyinginezo zinazoshambulia misuli kuliko saratani za kizazi.&lt;br /&gt;Si vibaya kujua yafuatayo kuhusiana na ugonjwa wa kensa:&lt;br /&gt;  Kensa ya matiti ndio kensa inayotokea zaidi duniani huku kensa ya korodani ikiwa inatokea kwa chache zaidi.&lt;br /&gt;   Hii ni katika hali ambayo kensa inayoongoza kwa kusababisha vifo vingi zaidi vya wanawake ni kesna ya kensa matiti huku kensa ya mapafu ikishika namba ya kwanza kwa kupelekea wanaume kufa kwa wingi. &lt;br /&gt;  Kati ya watu watatu mmoja anatabiriwa kupata kensa nchini Uingereza kwenye miaka ijayo. &lt;br /&gt;  Kensa ya matiti inaongezeka huku kensa ya mapafu ikitarajiwa kupungua kutokana na kupungua wafutaji sigara.&lt;br /&gt;Usikose kufuatilia zaidi makala zijazo zinatakazojadili kensa mbalimbali.&lt;br /&gt;Daima na tutunze afya zetu!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-6326609366839753583?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/6326609366839753583/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=6326609366839753583' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6326609366839753583'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6326609366839753583'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/03/kensa-zinazishambulia-kizazi-sehemu-ya.html' title='Kensa zinazoshambulia kizazi … sehemu ya kwanza'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S55VrSQ5eeI/AAAAAAAAAcY/595PDrBJ6d4/s72-c/cancer1.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-503771941651135857</id><published>2010-03-13T09:59:00.002+03:30</published><updated>2010-03-13T10:06:19.336+03:30</updated><title type='text'>Kula Pistachio ujikinge na kensa!</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S5sw_jLNARI/AAAAAAAAAcQ/RZa1Ltj5mrQ/s1600-h/pis.bmp"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 216px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S5sw_jLNARI/AAAAAAAAAcQ/RZa1Ltj5mrQ/s400/pis.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5448002042566869266" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Pistachio zina uwezo wa kupambana na seli zinazosababisha kensa na zinaweza kuzuia seli zisiharibiwe na radikali huru na kusababisha saratani. Hayo yameelezwa na watafiti wa Ujerumani ambao wameshauri kwamba, kula pistachio kila siku kunaweza kupunguza hatari ya kupata kensa kwa kuongeza uzalishaji wa mada iitwayo gamma-tocopherol mwilini. &lt;br /&gt;Suala hilo limeongezewa mashiko na uchunguzi mwingine wa Marekani ambao umesema kwamba, pistachio zina kiwango kikubwa cha gamma-tocopherol mada ambayo inatokana na Vitamin E inayoulinda mwili usipate satarani.&lt;br /&gt;Pistachio ambazo zamani zilikuwa zikiliwa tu na familia tajiri hivi sasa baada ya watu kujua umuhimu wake wa kiafya zinaliwa na watu wote na wataalamu wa afya wameshauri  watu wazitumie kwa wingi hasa kama (snack) asusa au kumbwe kwa Kiswahili sanifu.&lt;br /&gt; Zaidi ya faida hiyo iliyotajwa hapo juu, nyungu hizo zenye mvuto wa kipekee na ladha tamu zina madini ya Copper, Phosporus, Pottassium, Megnesium, na vitamin B6.&lt;br /&gt;  Pistachio pia zimejaa ufumwele (fiber) na kama unatafuta snack yenye ufumwele wa kutosha uwapo kazini au safarini basi usisahau kubeba paketi ya pistachio.&lt;br /&gt; Kama hutaki kula vitu vyenye protini inayotokana na nyama, basi pistachio ndio jawabu lako kwani zitakupatia protini ya kutosha inayotokana na mimea. &lt;br /&gt; Pistachio pia zina mada ya caratenoids lutein na zeaxanthi ambazo husaidia kupunguza hatari ya kupata upofu wa uzeeni. &lt;br /&gt; Pistachio pia zina sterols inayotokana na mimea ambayo inaaminiwa kuwa hupunguza ufyonzaji wa cholestrol inayotakana na chakula. Hivi sasa sterols inayotokana na mimea huongezwa katika vyakula kutokana na faida yake hiyo.&lt;br /&gt;Ili kukuwezesha mdau kula pistachio na kufaidika na lishe hiyo, kona ya afya inashauri uzitengeneza na kuzila kwa mitindo ifuatayo:&lt;br /&gt; Weka pistachio zilizopondwa au kukatwa katwa katika mtindi au cream cheese.&lt;br /&gt; Weka pistachio katika skonsi, vileja na hata keki.&lt;br /&gt; Jitahidi mara nne kwa wiki uwe umekula njugu 30 au gramu 18 za pistachio. &lt;br /&gt; Pistachio zisizokuwa na chumvi zinaweza kuliwa pamoja na vyakula kwa wale wasiokula nyama.&lt;br /&gt;                                   " Daima Tutunze Afya Zetu"&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-503771941651135857?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/503771941651135857/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=503771941651135857' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/503771941651135857'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/503771941651135857'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/03/kula-pistachio-ujikinge-na-kensa.html' title='Kula Pistachio ujikinge na kensa!'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S5sw_jLNARI/AAAAAAAAAcQ/RZa1Ltj5mrQ/s72-c/pis.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-7203253126879274774</id><published>2010-03-13T09:25:00.002+03:30</published><updated>2010-03-13T10:08:34.840+03:30</updated><title type='text'>Mwanga wa jua unasaidia kuimarisha kinga ya mwili</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S5spEnpkzXI/AAAAAAAAAcI/8xoNcEvFokA/s1600-h/sun.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 299px; height: 394px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S5spEnpkzXI/AAAAAAAAAcI/8xoNcEvFokA/s400/sun.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5447993333574323570" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Huku kwa muda mrefu ikiwa inaaminiwa kwamba  Vitamini D inayotokana na mwanga wa jua inaimarisha mifupa, uchunguzi mpya umeonyesha kwamba mwanga wa jua pia una umuhimu mkubwa katika kuimarisha mfumo wa kinga ya mwili na uwezo wake wa kukabiliana na magonjwa.&lt;br /&gt;Uchunguzi huo umeeleza kwamba, seli zinazoshambulia maradhi za mfumo wa  kinga ya mwili ambazo  hujulikana pia kama 'T Seli" zinategemea sana Vitamin D ili kuzifanya zitekeleze kazi yake.&lt;br /&gt;Carsten Geisler aliongoza uchuguzi huo amesema kuwa, wakati T seli zinapokutana na kidudu toka nje ya mwili, hufungua antena yake inayoitwa 'D receptor' ambayo inaitumia kwa ajili ya kusaka vitamin D. Wakati kunapokuwa hakuna vitamin hiyo inayotokana na jua suala ambalo hutokea kwa watu zaidi ya nusu duniani, seli hizo hushindwa kufanya kazi na kushindwa kufahamu tishio linalosababishwa na vijidudu vinavyosababisha maradhi.&lt;br /&gt;Wataalamu wana matumaini kwamba uchunguzi huo mpya utawezesha kuandaliwa mazingira ya kuwekwa mikakati mipya kwa ajili ya kupambana na magonjwa katika siku zijazo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-7203253126879274774?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/7203253126879274774/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=7203253126879274774' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7203253126879274774'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7203253126879274774'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/03/mwanga-wa-jua-unasaidia-kuimarisha.html' title='Mwanga wa jua unasaidia kuimarisha kinga ya mwili'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S5spEnpkzXI/AAAAAAAAAcI/8xoNcEvFokA/s72-c/sun.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3358360294302235215</id><published>2010-03-10T17:43:00.002+03:30</published><updated>2010-03-10T17:46:02.280+03:30</updated><title type='text'>Ujue ugonjwa wa kichocho na namna ya kujikinga na ugonjwa huo</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S5epitLYNkI/AAAAAAAAAcA/RSbExmM_smY/s1600-h/kids.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 266px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S5epitLYNkI/AAAAAAAAAcA/RSbExmM_smY/s400/kids.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5447008688035870274" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kichocho ni ugonjwa unaosababishwa na minyoo ambayo humpata mtu anapotumia maji yaliyo na vijidudu hivyo vya maradhi khususan katika nchi za kitropiki (yaani zenye hali ya joto jingi). Bilharzia ni jina la kimelea cha ugonjwa huu. Aina za minyoo au Chistosomes inayosababisha ugonjwa wa kichocho kikuu kinachomuathiri binadamu ni hii ifuatayo: Mosi, Chistosoma mansoni ambayo imeenea katika nchi 53 na kwenye maeneo kadhaa ya Afrika, Caribbean, mashariki mwa Mediteranean na Amerika ya Kusini. Aina ya Pili, ni Chistosoma japonicum/ Chistosoma mekongi, inayoathiri utumbo. Tatu Chostosoma intercalatum- inayojulikana kama bilharizia ya mkojo. Na nne ni ile ya Chistosoma haematobium , ambayo inaziathiri nchi nyingi za Afrika .Ugonjwa wa kichocho unahesabiwa kuwa ugonjwa wa pili unaonea kwa wingi zaidi katika nchi zenye joto jingi. &lt;br /&gt;Viini vya ugonjwa wa kichocho vilivyokomaa huishi katika mishipa kwenye kibofu  cha mkojo na utumbo. Kimelea cha kike hutaga mayai mengi ambayo hutoka kwa mtu aliyeathiriwa na kwenda kwenye maji wakati wa kukojoa au haja kubwa. Mayai yanapokuta maji huanguliwa na kutoa viluwiluwi, ambao hupenya na kuingia ndani ya konokono wa majini. Aidha viluwiluwi hawa hukuwa ndani ya konokono hao, kuongezeka na hatimaye kutoka. Itafahamika kuwa viluwiluwi hawa wana uwezo wa kupenya ndani ya ngozi ya mwanadamu na wakisha penya huingia hadi katika mishipa ya ini, ambako hukua na kukomaa. Baada ya hapo huingia katika mishipa ya kibofu cha mkojo na utumbo mpana. Vimelea hivi hutaga mayai kwa wastani wa miaka 3 na nusu, ns vinaweza kuongezeka zaidi. Mayai yanayotagwa katika kuta za utumbo mpana na kibofu husababisha madhara makubwa. Iwapo ugonjwa wa kichocho hautatibiwa ipasavyo, unaweza kusababisha matatizo ya ini, utumbo mpana na ugonjwa wa figo. Aidha maambukizo yake yanaweza kuenea katika uti wa mgongo na hata wakati mwingine kuathiri ubongo. Karibu watu milioni 600 duniani wako katika hatari ya kuambukizwa ugonjwa wa kichocho. &lt;br /&gt;Hebu sasa tuangalie ugonjwa wa kichocho unasababishwa na nini?&lt;br /&gt;Masuala au matatizo yafuatayo yanapelekea watu kupatwa au kuambukizwa ugonjwa wa kichocho: &lt;br /&gt;Umaskini uliokithiri, ufahamu mdogo kuhusu ugonjwa huo, ukosefu au uchache wa suhula za afya kwa jamii, usafi duni wa mazingira tunayoishi n.k.. Ugonjwa huo pia huweza kuenezwa kutoka kwa watu wanaohama kutoka katika nchi nyingine ambazo ugonjwa huo umeenea.&lt;br /&gt;Katika siku za awali wakati vimelea vya kichocho vinapoingia katika mwili wa mwanadamu, kijipele au swimmer's itch hujitokeza. Aidha baada ya kupita mwezi mmoja au miwili, mtu aliyekwishaambukizwa huanza kujisikia hali ya kuchoka, homa, homa ya baridi, huwa na kikohozi kikavu, maumivu ya misuli, maumivu ya tumbo, kuhara, na hukojoa mkojo ulio na damu. Kipindi hiki huenda sambamba na ukuaji wa minyoo katika mwili wa mwanadamu na hujulikana kama homa ya Katayama. Kuweko damu katika mkojo ni dalili tosha ya kuonyesha kwamba mtu huyo amepatwa na kichocho cha mkojo au kitaalamu hujulikana kama urinary bilharzias. Na iwapo mgojwa hatatibiwa, anaweza kupata madhara mengine makubwa katika ini na bandama. &lt;br /&gt;Kichocho huaathiri zaidi makundi yafuatayo: &lt;br /&gt;  Watu wazima wanaojishughulisha na kilimo na wale walio katika sekta ya uvuvi. &lt;br /&gt;  Kichocho kinachoathiri kibofu cha mkono huwaathiri watoto milioni 66 katika zaidi ya nchi 54 duniani.&lt;br /&gt;  Kidha katika ameneo mengi watoto waliona umri wa kati ya miaka 10 na 14 wanaambukizwa ugonjwa wa kichocho. Kimsingi maradhi haya huathiri ukuaji wa watoto na mahudhurio yao shuleni.&lt;br /&gt;Mtu anatakiwa kumuona daktari iwapo atakuwa amesafiri katika eneo ambalo lina maambukizo ya kichocho, iwapo ngozi yake itagusana na maji yenye vimelea vya ugonjwa huo na iwapo atakojoa mkono ulio na damu. &lt;br /&gt;Ugonjwa wa kichocho unaweza kuzuiwa kwa urahisi iwapo kanuni za kiafya zitazingatiwa. Hata hivyo hadi sasa hakuna chanjo iliyopatikana ya kudhibiti ugonjwa huo. Si maji yote ni salama kwenye maeneo yaliyo na ugonjwa huu. Sehemu hatari zaidi za ugonjwa huo ni maeneo kama vile kingo za maziwa, mito na mabwawa ambapo maji yametuama na kuna uoto wa mimea. Sehemu salama ni kama vile katika fukwe za bahari na zile zenye mawimbi ambazo si rahisi kukuta konokono wa majini. Mabwawa ya kuogelea ni salama iwapo yatanyunyiziwa dawa ya klorini.&lt;br /&gt;Ili kuweza kukabiliana na kuzuia maambukizo ya ugonjwa wa kichocho, masuala yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa: &lt;br /&gt; Miongoni mwao ni kuacha kuoga kwenye maji yaliyotuama kama vile ya kingo za mabwawa, mito n.k.&lt;br /&gt;  Hakikisha kuwa maji ya kunywa ni salama kwa kuyachemsha na kuyachuja ili kuuwa vijidudu maradhi. &lt;br /&gt; Unaweza pia kuchemsha maji ya kuoga angalau kwa nyuzi joto 65 kwa muda wa dakika tano.&lt;br /&gt;  Maji yaliyohifadhiwa kwenye tanki kwa muda usiopungua masaa 48 ni lazima yawe salama kwa ajili ya kuogea.&lt;br /&gt;  Kama unalima, unashauriwa kuvaa mabuti marefu ya mpira.&lt;br /&gt;    Ni vyema tujue kuwa, mtu anapaswa kumuona daktari baada ya kuwa na dalili za ugonjwa na yeye ndiye atakayemuainishia dawa za kutumia. Ni matarajio yetu kuwa iwapo tutafuata kanuni na misingi yote hiyo ya kiafya hapo juu, basi tutafanikiwa kushinda vita dhidi ya maradhi ya kichocho.&lt;br /&gt;Daima tutunze afya zetu!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3358360294302235215?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3358360294302235215/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3358360294302235215' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3358360294302235215'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3358360294302235215'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/03/ujue-ugonjwa-wa-kichocho-na-namna-ya.html' title='Ujue ugonjwa wa kichocho na namna ya kujikinga na ugonjwa huo'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S5epitLYNkI/AAAAAAAAAcA/RSbExmM_smY/s72-c/kids.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3170426850423390715</id><published>2010-03-08T18:08:00.003+03:30</published><updated>2010-03-08T20:56:10.824+03:30</updated><title type='text'>Ulimwengu waadhimisha siku ya wanawake huku wanawake wakikabiliwa na matatizo mengi</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S5UMbjgjSjI/AAAAAAAAAb4/C2mZZVF-huw/s1600-h/wd.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 295px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S5UMbjgjSjI/AAAAAAAAAb4/C2mZZVF-huw/s400/wd.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5446272991902255666" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Leo ni tarehe 8 Machi ambayo ni siku ya Kimataifa ya Wanawake. Kwanza nashukua fursa hii kuwapongeza wanawake wote ulimwenguni katika siku yenu hii. Ulimwengu unaadhimisha siku ya wanawake katika hali ambayo ingawa karne nyingi zimepita na ustaarabu unaonekana karibu katika mataifa yote duniani lakini mwanamke katika kila jamii bado anazungukwa na matatizo mengi. Ingawa maendeleo ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na hata kitiba yanaendele kushuhudiwa duniani kote lakini mwanamke bado ni mhanga wa mauaji ya holela, vita, uchumi mbovu, siasa za kibabe, ukosefu wa usawa, huduma bora katika jamii na unyanyaswaji wa kijinsia. Hilo limewekwa wazi na ripoti imetolewa leo na Helen Clark Mkuu wa Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP) katika mji mkuu wa India, New Delhi kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mwanamke. Bi. Clark amesema kuwa eneo la Kusini mwa Asia ndilo hasa linaloshuhudiwa kuwa na vitendo vinavyodhihirisha pengo kubwa la kijinsia hata zaidi ya nchi za Afrika zilizo chini ya jangwa la Sahara. Aidha amesema kuwa usawa wa kijinsia unasaidia sana katika maendeleo ya mwanadamu na kwamba kutoshirikishwa kwa wingi wanawake katika nguvu kazi kunaleta athari mbaya katika ukuaji wa maendeleo. Taarifa hiyo ya Umoja wa Mataifa pia huku ikiashiria nchi za Pakistan, Baghladesh, China, India, Korea Kusini na Nepal imeeleza kwamba, bara la Asia lina idadi kubwa zaidi ya watoto wa kiume wanaozaliwa ikilinganishwa na wanawake duniani, huku utoaji mimba kwa ajili ya kuchagua jinsia ya mtoto na mauaji ya watoto wachanga yakisababisha kuwepo na upungufu wa wanawake karibu milioni 96 katika nchi hizo.&lt;br /&gt;Zaidi ya hayo  siku chache zilizopita Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Ukimwi (UNAIDS) ulitangaza kuwa Ukimwi ndio ugonjwa unaoongoza kwa kusababisha vifo vya wanawake walio katika umri wa kuzaa katika maeneo mbalimbali duniani. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, kukomesha machafuko na unyanyasaji wa kijinsia unaofanyika dhidi ya wanawake ndio njia muhimu ya kukabiliana na ugonjwa huo. UNAIDS imesema kuwa, karibu asilimia 70 ya wanawake katika maeneo mbalimbali duniani hasa katika nchi za Kusini mwa Afrika wameripotiwa kufanya ngono zembe au mapenzi yasiyokuwa salama. &lt;br /&gt;Dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya Mwanamke huku wanawake wakishuhudia ubaguzi na unyanyasaji wa kijinsia katika sehemu nyingi duniani. Wanawake wanabakwa kwa makundi katika maeneo yenye vita barani Afrika Afrika kama Ivory Coast, Congo DRC, Guinea Conakry na kwengineko, huku upande wa kisiasa wakiwakilishwa na kiwango kidogo katika serikali na sehemu muhimu za utoaji maamuzi za jamii. Ingawa demokrasia inaonekana kuimarisha na usawa ukipigiwa nara kila mahala, lakini viongozi na marais wanawake duniani bado hata hawafiki idadi ya vidole vya mikono duniani kote. Nafasi ya mama imezidi kushuka huku katika nchi nyingi nafasi ya mwanamke katika jamii bado ni ndogo na isiyoridhisha.&lt;br /&gt;Upande wa tiba na afya, wanawake wanakufa kwa makumi kila uchao kutokana na maradhi yanayoweza kutibika, ukosefu wa huduma muhimu wakati wa ujauzito na kujifungua, lishe dhaifu na umasikini huku wakiwa ndio wenye nafasi kubwa ya ulezi wa jamii.&lt;br /&gt;Mila na desturi zilizopitwa na wakati za baadhi ya jamii kama ukeketaji, kuridhi wajane, kuoa wake kadhaa bila kuwa na uwezo wa kuwangalia, uchawi na kadhalika vkiendelea kumfanya mwanamke kuwa muhanga na kupata magonjwa mbalimbali yanayotibika na yasiyotibika. Utoaji mimba usio salama na kukosa gharama za matibabu nayo ni baadhi ya matatizo mengine yanayogharimu maisha ya wanawake kila siku duniani kote.&lt;br /&gt;Hivyo huku tukiadhimisha au kusherehekea siku ya Kimataifa ya Wanawake inapasa pia tukae chini na kuangalia ni vipi tunaweza kutatua matatizo ya wanawake duniani kote na hasa katika nchi zinazoendelea za Bara la Afrika.&lt;br /&gt;Kona ya Afya kwa mara nyingine inawahusia wanawake wote ulimwenguni wazijali na kuzitunza afya zao.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3170426850423390715?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3170426850423390715/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3170426850423390715' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3170426850423390715'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3170426850423390715'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/03/ulimwengu-waadhimisha-siku-ya-wanawake.html' title='Ulimwengu waadhimisha siku ya wanawake huku wanawake wakikabiliwa na matatizo mengi'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S5UMbjgjSjI/AAAAAAAAAb4/C2mZZVF-huw/s72-c/wd.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-6455655398605213211</id><published>2010-03-07T16:58:00.003+03:30</published><updated>2010-03-08T12:07:47.646+03:30</updated><title type='text'>Kiungulia cha ujauzito na namna ya kukiepuka</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S5OqEVNR-RI/AAAAAAAAAbw/cfaSuC15SJU/s1600-h/hr.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 244px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S5OqEVNR-RI/AAAAAAAAAbw/cfaSuC15SJU/s400/hr.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5445883365810108690" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kiungulia cha ujauzito au HeartBurn kwa kimombo  ni miongoni mwa matatizo yanayowapata wanawake wengi wanapobeba mimba. Kiungulia ni hali inayopelekea mtu ajihisi  kuungua au kuwaka moto sehemu ya katikati mwa kifua. Tatizo hilo huwapata wajawazito mara nyingi katika miezi mitatu ya mwisho ya ujauzito, lakini pia wapo wakina mama wajawazito wanaopatwa na kiungulia miezi ya mwanzoni ya mimba. Ili kuelewa namna ya kuzuia kiungulia kisitokee ni bora kwanza tufahamu kiungulia kinasababishwa na nini wakati wa mimba. Kiungulia hutokea wakati kiwambo au valvu kilichopo kati ya tumbo na umio (esophagus) kinapolegea na kushinda kuzuia asidi ya tumbo isipenye na kurejea katika umio. Mimba huongeza kiungulia kwa sababu homoni ya progesterone hulegeza kiwambo hicho. Hivyo asidi inayozalishwa tumboni hasa baada ya kula hurejea katika umio na kuleta kiungulia. Kiungulia hutokea katika miezi mitatu ya mwisho ya mimba kutokana na fuko la uzazi kuwa kubwa  na kubana utumbo mdogo na tumbo. Mbano huo wa tumbo hupelekea vilivyoko tumboni kusukumbwa upande wa umio au esophagus. &lt;br /&gt;Kwa kawaida kutokula vyakula vyenye kusababisha asidi na gesi tumboni, hupunguza kiungulia. Vyakula hivyo ni kama vinywaji vyenye gesi ya carboni, vyakula vyenye kiasi kikubwa cha asidi kama vile jamii ya maharagwe kama maharagwe, kunde, mbaazi n.k, nyanya, vyakula vyenye viungo, matunda kama  machungwa na juisi ya machungwa, chocolates, vyakula vyenye mafuta mengi, grape fruit na hata kitunguu swaumu. Lakini pia inategemea mtu na mtu inabidi ujichunguze na kuona ni vyakula gani ukila unapata kiungulia na gesi. &lt;br /&gt;Zifuatazo ni njia za kujiepusha na kiungulia:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Kutumia baadhi ya dawa salama zinazozuia kiungulia na gesi wakati wa ujauzito. Kwa nchi zetu za Afrika Mashariki sote tunaifahamu dawa iitwayo Magnesium ambayo husaidia kuondoa tatizo hilo. Kama upo nchi nyinginezo pia natumaiani unaweza kupata dawa hiyo kwa msaada wa daktari wako. (Muhimu ni kupata ushauri wa daktari utumie dawa gani ya kuondoa heartburn au kiungulia ambayo ni salama wakati wa ujauzito).&lt;br /&gt;2. Hakikisha unakula kiasi kidogo cha chakula na usile ukashiba sana. Kwa kuwa mama mjamzito huwa anasikia njaa mara kwa mara na anahitajia kula vyema ili aujenge vizuri mwili wake na watoto, basi ni bora chakula chake ukigawe katika sehemu kadhaa ndogo, na ale mara kadhaa, badala ya kula sana wakati mmoja. Suala hilo litafanya tumbo lake lisijae na kusaidia kuzuia asidi isipande juu ya tumbo na kusababisha kiungulia na gesi.&lt;br /&gt;3. Jitahidi usinywe maji mengi sana baada ya chakula au wakati wa kula, kwani husaidia kuzalisha asidi tumboni kwa haraka na kuleta kiungulia.&lt;br /&gt;4. Unaweza kula ubani au chewing gum baada ya kula, kwani ubani kutengeneza mate na mate hupunguza asidi.&lt;br /&gt;5. Jitahidi usilale tu mara baada ya kula, subiri kama nusu saa hivi ipite ndio ulale. Unapolala usilaze kichwa moja kwa moja bila mto, bali tumia mito kuegemeza kichwa ili kuzuia asidi isirejee juu ya tumbo na kusababisha kiungulia.&lt;br /&gt;Unapohisi kiungulia kunywa glasi ya maziwa au kula mtindi.&lt;br /&gt;Na kama hali hiyo haijatoweka kunywa maji ya moto glasi moja yaliyowekwa kijiko kimoja cha asali.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-6455655398605213211?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/6455655398605213211/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=6455655398605213211' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6455655398605213211'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6455655398605213211'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/03/kiungualia-cha-ujauzito-na-namna-ya.html' title='Kiungulia cha ujauzito na namna ya kukiepuka'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S5OqEVNR-RI/AAAAAAAAAbw/cfaSuC15SJU/s72-c/hr.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3398081735667060286</id><published>2010-03-03T14:13:00.003+03:30</published><updated>2010-03-03T14:21:31.936+03:30</updated><title type='text'>Mama wajawazito wenye kuongezeka uzito sana wana  hatari ya kupata kisukari cha mimba</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S44-q-JfwmI/AAAAAAAAAbo/FzkfiRkG1fs/s1600-h/mi.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S44-q-JfwmI/AAAAAAAAAbo/FzkfiRkG1fs/s400/mi.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5444357907495764578" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kina mama wenye mimba ambao huongezeka uzito kwa kasi katika miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito wanakabiliwa na hatari ya  kupata kisukari cha mimba (gestational diabetes). Kifafa cha mimba ni hali ambayo  wanawake ambao huko nyuma hawakuwa na ugonjwa wa kisukari huonekana kuwa na ongezeko la sukari katika damu kwa mara ya kwanza wakati wa ujauzito. Kwa mujibu wa uchunguzi mpya, mama wajawazito ambao wataongeza uzito wa gramu 403.70 kwa wiki wako katika hatari ya kupata kisukari cha ujauzito zaidi ikilinanishwa na wale watakaoongeza uzito wa chini ya gramu 272.15 kwa wiki. Bi. Monique Hedderson aliyeongoza uchunguzi huo amesema kuwa, ongezeko kubwa la mafuta ya mama mwanzoni mwa mimba kunaweza kukaathiri kwa kiasi kikubwa tishu za mwili na kuzifanya zisikubali insulin, jambo ambalo taratibu husababisha kisukari cha ujauzito. Kwa ajili hiyo wataalamu wameshauri kwamba, wakina mama wenye mimba hasa wale wanene na wenye uzito mkubwa wanapaswa wajiepushe na kuongezeka uzito mwanzoni mwa mimba ili wasipwatwe na kisukari cha mimba.&lt;br /&gt;Sio vibaya kutambua kwamba, asilimia 4 ya kina mama ambao watapata kisukari wakati wa ujauzito wanakabiliwa na hatari ya kupata ugonjwa wa kisukari baadaye maishani mwao, hiyo ikiwa ni pamoja na watoto wao. Kisukari cha ujauzito kina dalili kadhaa lakini kwa kawaida huainishwa kwa vipimo (screening) vinavyochukuliwa wakati wa ujauzito.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3398081735667060286?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3398081735667060286/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3398081735667060286' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3398081735667060286'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3398081735667060286'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/03/mama-wajawaizto-wenye-kuongezeka-uzito.html' title='Mama wajawazito wenye kuongezeka uzito sana wana  hatari ya kupata kisukari cha mimba'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S44-q-JfwmI/AAAAAAAAAbo/FzkfiRkG1fs/s72-c/mi.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-2307676173852721435</id><published>2010-03-01T18:55:00.005+03:30</published><updated>2010-03-01T19:58:31.019+03:30</updated><title type='text'>Kikombe kimoja cha kahawa kwa siku chapunguza hatari ya ugonjwa wa moyo</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S4vchQUt5-I/AAAAAAAAAbg/MEBIingC-dw/s1600-h/kh2.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 320px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S4vchQUt5-I/AAAAAAAAAbg/MEBIingC-dw/s400/kh2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5443687038483032034" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mbali na faida kemkem tunazozijua zinazopatikana kwenye kahawa, utafiti mpya umesema kwamba kunywa kikombe kimoja tu cha kahawa kwa siku kunapunguza hatari ya kupatwa na mshituko wa moyo. Utafiti huo uliotolewa katika Kongamano la Jumuiya ya Mshituko wa Moyo la Kimataifa nchini Marekani, umeeleza kwamba kunywa kikombe kimoja cha kahawa ya kawaida na isiyokuwa na kafeini kila siku huzuia kupatwa na mshituko wa moyo kwa asilimia 30. Hata hivyo wataalamu wameonya kuwa kutumia sana kinywaji hicho matokeo yake huweza kuwa kinyume. &lt;br /&gt;Tafiti za huko nyuma pia zilionyesha kuwa, kunywa kila siku kahawa kunaweza kumzuia mtu asipate kisukari aina ya pili na ugonjwa wa akili.&lt;br /&gt;Mpenzi mdau baada ya kufahamu hayo, nimeonea nichukue fursa hii kuelezea baadhi ya faida za kahawa. Mbali ya kawaha kuwa kinywaji murua ambacho kinaweza kukufanya uchangamke asubuhi baada ya kuamka, au kwa wale kina yakhe wanaopenda kuburudika kwa kunywa kahawa kwa kashata vijiweni au kando ya barabara huku wakipiga gumzo, kinywaji hicho kina faida kemkem kiafya&lt;br /&gt;1. Wataalamu wa Chuo Kikuu cha Tiba cha Harvard cha Marekani wamegundua kuwa kunywa kahawa kunazuia kupatwa na ugonjwa wa kibofu nyongo (gall bladder) au kuzuia mawe katika nyongo (gall stones).&lt;br /&gt;2. Kahawa inazuia kupatwa na ugonjwa wa Alzheimer au kusahau hasa uzeeni. &lt;br /&gt;3. Kahawa ina anti-oxidants ambazo hupambana na seli ambaya zinazosabisha saratani.&lt;br /&gt;4. Kahawa hulichangamsha tumbo na kulifanya lifanye kazi vyema na kuzuia matatizo ya kukosa choo. (Bowel stimulant and a laxative). &lt;br /&gt;5. Kahawa huongeza uwezo wa ufahamu wa akili.&lt;br /&gt;6. Kahawa huuzuia ugonjwa wa figo. &lt;br /&gt;7. Na kahawa pia huzuia ugonjwa wa uvimbe wa viungo hasa vikononi na miguuni au gout.&lt;br /&gt;Lakini wataalamu wanatutahadharisha kwamba ingawa kunywa kahawa kuna faida nyingi kama tulivyoona hapo juu lakini haifai kunywa kahawa kwa wingi kila siku. Kwani kila kitu kinachotumiwa sana badala ya kuwa na faida kinaweza kutuletea madhara.&lt;br /&gt;Si vibaya kujua kwamba mmema wa kahawa ambayo ni maarufu uliwenguni kote uligunduliwa mara ya kwanza katika nchi za Yemen, Saudi Arabia na kaskazini mashariki mwa Ethiopia na kwa mara ya kwanza zao hilo lilikuwa likilimwa  na kutumiwa sana katika nchi za Kiarabu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-2307676173852721435?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/2307676173852721435/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=2307676173852721435' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2307676173852721435'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2307676173852721435'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/03/kikombe-kikoja-cha-kawaha-kwa-siku.html' title='Kikombe kimoja cha kahawa kwa siku chapunguza hatari ya ugonjwa wa moyo'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S4vchQUt5-I/AAAAAAAAAbg/MEBIingC-dw/s72-c/kh2.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3277265637490576279</id><published>2010-02-28T17:14:00.003+03:30</published><updated>2010-03-13T10:03:53.701+03:30</updated><title type='text'>Tikitimaji chungu zinasaidia kuzuia kensa ya matiti</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S4pzX-SeVZI/AAAAAAAAAbY/2FYKdnzG_6o/s1600-h/tikiti+maji+chungu.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S4pzX-SeVZI/AAAAAAAAAbY/2FYKdnzG_6o/s400/tikiti+maji+chungu.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5443289955325334930" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Utafiti mpya umegundua kuwa mada zinayotokana na tikitimaji ambazo ni mboga mboga zinazopatikana sana India, China na Amerika ya Kusini zinaweza kusaidia kuwaepusha wanawake na kensa ya matiti. Kwa mujibu wa uchunguzi huo uliochapishwa kenye jarida la Utafiti wa Kensa, majimaji (extract) yanayotolewa katika tikitimaji chungu yanayojulikana kama 'karela' kwa kihindi yanaweza kupunguza kasi ya kukua kwa seli za kensa ya matiti au hata kuua kabisa seli hizo. Ratna Ray aliyeongoza uchunguzi huo anasema kwamba, tikitimaji chungu zina uwezo wa kuzuia kensa na kuchelewesha kutokea ugonjwa huo wa saratani ya matiti, lakini bado haijathibitika iwapo mboga mboga hizo zinaweza kutibu ugonjwa huo.&lt;br /&gt;Wanasayansi wanasema kuwa uchunguzi zaidi unapaswa kufanywa ili kuhakikisha uwezo na usalama wa tikitimaji chungu kuhusiana na suala hilo. Ratna Ray aidha anasema kuwa, kutumia lishe asilia ni suala linalopewa umuhimu mkubwa hivi sasa  na sayansi katika kuzuia ugonjwa wa saratani ambao umekuwa ukiongezeka siku baada ya siku. Mtaalamu huyo vilevile amesema, katika siku za usoni watafanya uchunguzi utakaowahusisha watu wengi zaidi walio na hatari ya kupata kensa ili kuona iwapo tikitimaji chungu zitawazuia  wasipate ugonjwa huo au la.&lt;br /&gt;Kwa muda mrefu tikitimaji chungu ambazo zina Vitamin C na mada ya flavonoid zimekuwa zikijulikana kwa kuwa na uwezo wa kuzuia kisukari na kupunguza kiwango cha sukari katika damu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3277265637490576279?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3277265637490576279/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3277265637490576279' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3277265637490576279'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3277265637490576279'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/02/tikitimaji-chungu-zinasidia-kuzuia.html' title='Tikitimaji chungu zinasaidia kuzuia kensa ya matiti'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S4pzX-SeVZI/AAAAAAAAAbY/2FYKdnzG_6o/s72-c/tikiti+maji+chungu.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-7138759369111364369</id><published>2010-02-28T15:42:00.002+03:30</published><updated>2010-02-28T15:43:01.685+03:30</updated><title type='text'>Kujipumzisha mchana huimarisha akili!</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S4pdx-PYDPI/AAAAAAAAAbQ/d-pPSpxgGow/s1600-h/nap.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S4pdx-PYDPI/AAAAAAAAAbQ/d-pPSpxgGow/s400/nap.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5443266212733127922" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Uchunguzi mpya umeonyesha kuwa kulala kidogo wakati wa mchana huhuisha ubongo na kuimarisha uwezo wa kufahamu mambo mapya.  Profesa Matthew P. Walker wa Kitengo cha Saikolojia na Sayansi ya ubongo cha Chuo Kikuu cha Calfornia aliyeongoza uchunguzi huo  anasema kwamba, unahitaji kulala kabla ya kujifunza, ili kuutayarisha ubongo wako ili uwe kama sponchi kavu linalosubiri  kunyonya taarifa mpya. Akielezea umuhimu wa kujipumzisha mchana hasa kwa wale wanaosoma na kujifunza Profesa Walker anasema kwamba, usingizi sio tu huondoa uchovu na kufuta makosa yanayotokana na kuwa macho muda mrefu, bali pia humrejesha mtu pale alipokuwepo kabla ya kulala. Wataalamu wanasema kuwa, kila mtu anapoongeza masaa ya kukaa macho ndivyo hivyo hivyo uwezo wa ubongo wake wa kuelewa mambo unavyopungua. Professa Walker akitoa mfano ili kufahamisha zaidi umuhimu wa kupumzisha ubongo ili kuongeza uwezo wa kujifunza, anaufananisha ubongo na sanduku la barua pepe na kusema kwamba iwapo sanduku hilo litajaa basi hutoweza kupata barua pepe mpya hadi pale utakapoondoa barua pepe zisizotakiwa au kuzipelekea katika folder jipya, na kulala nako huusaidia ubongo hivyo hivyo.&lt;br /&gt;Uchunguzi huo unaunga mkono utafiti wa huko nyuma unaosema kwamba, kukaa macho muda mrefu usiku hupunguza uwezo wa mtu wa kuelewa mambo mapya kwa karibu asilimia 40, kwani baadhi ya sehemu za ubongo hufunga baada ya kukosa usingizi kwa muda mrefu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-7138759369111364369?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/7138759369111364369/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=7138759369111364369' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7138759369111364369'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7138759369111364369'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/02/kujipumzisha-mchana-huimarisha-akili.html' title='Kujipumzisha mchana huimarisha akili!'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S4pdx-PYDPI/AAAAAAAAAbQ/d-pPSpxgGow/s72-c/nap.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3331040344012383574</id><published>2010-02-27T10:21:00.002+03:30</published><updated>2010-02-27T10:28:25.122+03:30</updated><title type='text'>Nchini Tanzania ....Wanawake mijini walemewa vitambi</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S4jCig8rvwI/AAAAAAAAAbI/4PRYTzHKzK4/s1600-h/jeune-femme-noire-obese.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 267px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S4jCig8rvwI/AAAAAAAAAbI/4PRYTzHKzK4/s400/jeune-femme-noire-obese.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5442814047893044994" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;UWEZEKANO wa wanawake wa mijini kupata vitambi ni mkubwa mara mbili ya asilimia 32 kwa miaka kumi ijayo tofauti na wa vijijini kwa asilimia 12 katika miaka hiyo, imeelezwa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo hali ya mama na mtoto kwa sasa ni bora, licha ya kujitokeza tatizo la vitambi na karibu matatizo yote yanayohusu ustawi wa mama ni makubwa zaidi kwa wanaoishi vijijini kuliko wa mjini. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hayo yalielezwa na Mratibu wa Elimu ya Awali kutoka Idara ya Elimu ya Msingi Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Clarence Mwinuka, Jumatano iliyopita wakati akiwasilisha mada juu ya umuhimu wa malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya watoto kuanzia umri wa mwaka mmoja hadi minane. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mratibu huyo alikuwa ni miongoni mwa wawezeshaji wa mafunzo kwa waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali nchini, ambayo yalihusu hali halisi ya malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto Tanzania. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema moja ya sababu kubwa za wanawake wa mjini kuota vitambi ni matumizi ya vyakula vya aina mbalimbali bila kuzingatia mazoezi ya mwili, tofati na wa vijijini ambao wanatumia muda mwingi kwenye shughuli za uzalishaji mali. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema utafiti uliofanyika miaka ya karibuni na Idara hiyo kushirikiana na baadhi ya taasisi na makuzi, malezi na maendeleo ya awali ya watoto, ambapo wanawake wa mijini wanapaswa kufanya mazoezi ya viungo, ili waondokane na vitambi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, alisema utendaji mbovu, malezi, makuzi na maendeleo ya watoto wadogo, ni kutokuwa na bajeti mahususi kwa ajili ya watoto, kukosekana mpango wa utekelezaji na mwongozo wa viwango vya huduma bora. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Mratibu huyo, watoto nchini wako katika hatari ya unyanyasaji, ukatili na uonevu, kutokana na kukosekana sheria ya kulinda mtoto inayotekelezeka na kuwa wanawake wamekuwa na sauti ndogo katika uamuzi wa mambo yanayowahusu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mratibu huyo alisema umuhimu wa lishe kama msingi wa makuzi bora bado haujatambuliwa ipasavyo nchini, ambapo matatizo yanayotokana na lishe duni kwa watoto wenye umri wa miaka chini ya mitano, ni udumavu kwa asilimia 37.7 na uzito mdogo asilimia 21.8 na ukondefu asilimia tatu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3331040344012383574?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3331040344012383574/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3331040344012383574' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3331040344012383574'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3331040344012383574'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/02/nchini-tanzania-wanawake-mijini.html' title='Nchini Tanzania ....Wanawake mijini walemewa vitambi'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S4jCig8rvwI/AAAAAAAAAbI/4PRYTzHKzK4/s72-c/jeune-femme-noire-obese.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-1250164376452186726</id><published>2010-02-26T07:03:00.002+03:30</published><updated>2010-02-26T07:08:14.838+03:30</updated><title type='text'>Ajifungua watoto wawili baada ya kutolewa ovari na kurejeshewa tena!</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S4dCH78gVxI/AAAAAAAAAbA/sgMiOcw_XUQ/s1600-h/ovari.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 216px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S4dCH78gVxI/AAAAAAAAAbA/sgMiOcw_XUQ/s400/ovari.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5442391378818520850" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mwanammke mmoja wa Denmark amejifungua watoto wawili salama, baada ya kutolewa ovari za uzazi alipokuwa akiugua kensa, ovari hizo kuhifadhiwa katika barafu na baada ya mwaka mmoja  zikarejeshwa tena mwilini mwake. Hadi sasa kuna watoto 8 tu ulimwenguni waliozaliwa baada ya mama zao kurejeshewa ovari, na Stinne Holm Bergholdt  ni mwanamke wa kwanza duniani aliyeweza kujifungua mtoto wa pili baada ya ovazi zake kuondolewa na kurejeshwa tena. Bi. Bergholdt aligunduliwa kuwa na ugonjwa wa kensa ya mifupa alipokuwa na miaka 27 na kutokana na hofu ya kutozaa kutokana na athari za tiba ya mionzi na dawa za kensa, aliwataka madaktari wake waondoe ovari zake na kumrejeshea baadaye akipona. Baada ya kupona na mwaka mmoja baadaye alirejeshewa ovari zake na kujifungua mtoto wa kwanza kwa njia ya kupandikizwa mayai katika maabara au Vitro Fertilizertion na kujifungua salama mtoto wa kike aitwaye Aviaja ambaye hivi sasa ana umri wa miaka mitatu.  Furaha ya kumzaa mtoto huyo ilimfanya mwamake huyo wa Kidenmark afikirie kuzaa mtoto mwingine. Walipokwenda hospitali ikaonekana kuwa tayari ni mjamzito. Baada ya miezi 9 alijifungua mtoto wa pili wa kike aliyemuita Lucca. Kizazi cha mwanamke huyo kinaendelea vyema na hivi sasa anazuia uzazi ili ajiepushe kushika mimba nyingine. &lt;br /&gt;Taarifa hiyo imeleta matumaini zaidi kwa madakatari na wagonjwa hasa wenye kensa waliokuwa na hofu ya kushindwa kupata watoto hasa baada ya kupata matibabu ya saratani.&lt;br /&gt;Mmh.. suala hili linanifanya nikubaliane zaidi na usemi huu kuwa, Kwa kumtegea Mungu na kwa kupitia sayansi kila kitu kinawezekana!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-1250164376452186726?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/1250164376452186726/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=1250164376452186726' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1250164376452186726'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1250164376452186726'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/02/ajifungua-watoto-wawili-baada-ya.html' title='Ajifungua watoto wawili baada ya kutolewa ovari na kurejeshewa tena!'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S4dCH78gVxI/AAAAAAAAAbA/sgMiOcw_XUQ/s72-c/ovari.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-4031091047830595481</id><published>2010-02-17T11:40:00.002+03:30</published><updated>2010-02-17T11:41:14.509+03:30</updated><title type='text'>Dawa za Herpes zinaweza kuwasaidia wagonjwa wa UKIMWI</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S3uknOrOR5I/AAAAAAAAAa4/niFfqUXgdVs/s1600-h/herpes.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 216px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S3uknOrOR5I/AAAAAAAAAa4/niFfqUXgdVs/s400/herpes.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5439121968841246610" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Utafiti mpya umeonyesha kwamba, dawa zinazotumiwa kutibu ugonjwa wa Herpes au ugonjwa wa malengelenge neva ngozini kwa Kiswahili, zinaweza kuwasaidia pia waathirika wa HIV ili wasianze kutumia dawa ya ARV mapema. Kwa mujibu wa utafiti huo uliochapishwa katika jarida la Lanset, dawa hizo zinazoitwa Acyclovir husaidia kupunguza uwezekano wa Ukimwi kushika kasi kwa asilimia 16 kwa mgonjwa. Hata hivyo kutumiwa Acyclovir hakupunguzi maambukizo ya HIV kwa watu wengine, na wataalamu wamesisitiza kwamba dawa za kurefusha maisha ya waathiriwa wa Ukimwi au antiretroviral drugs zina athari zaidi kuliko dawa hiyo ya acyclovir katika kuudhibiti Ukimwi. Madakatari wanasema kwamba, dawa hiyo ambayo haigharimu fedha nyingi inafaa kuokoa maisha ya waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi, na kuongeza muda kabla ya kuanza kutumia dawa nyinginezo ambazo ni ghali. &lt;br /&gt;…Tukishirikiana pamoja tutaushinda Ukimwi!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-4031091047830595481?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/4031091047830595481/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=4031091047830595481' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/4031091047830595481'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/4031091047830595481'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/02/dawa-za-herpes-zinaweza-kuwasaidia.html' title='Dawa za Herpes zinaweza kuwasaidia wagonjwa wa UKIMWI'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S3uknOrOR5I/AAAAAAAAAa4/niFfqUXgdVs/s72-c/herpes.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-5682140438955493600</id><published>2010-02-15T17:21:00.003+03:30</published><updated>2010-02-17T11:25:07.414+03:30</updated><title type='text'>Wanawake wenye  umri zaidi ya miaka 35  wasisahau kuzuia mimba, umri sio tija!</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S3lTSsSxZYI/AAAAAAAAAaw/RD7DpnEef4I/s1600-h/old.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 328px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S3lTSsSxZYI/AAAAAAAAAaw/RD7DpnEef4I/s400/old.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5438469605619230082" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wataalamu wamewapa tahadhari wanawake wenye umri mkubwa kwamba wasijisahau kutumia dawa za kuzuia uzazi, wakiamini kimakosa kwamba hawawezi kupata mimba kwa kuwa wamepitisha umri wa kubeba mimba. Wataalamu wanasema kuwa, ingawa kiwango cha ubebaji mimba hupungua kadri umri wa mwanamke unavyopita miaka 30 lakini haimaanishi kwamba wanawake hao hawawezi kubeba mimba wakiwa katika miaka ya 40 au 50. Imeonekana kuwa watu wengi wakipitisha miaka 35 hujisahau na kudhani kwamba hawawezi kupata mimba tena na hivyo huacha kutumia njia za kuzuia mimba suala ambalo limesababisha kiwango cha utoaji mimba katika nchi za Maghribi kama vile Uingereza kwa wanawake wenye umri wa miaka 40 hadi 44 kiwe sawa na cha wasiachana walio chini ya miaka 16. Kuna sababu nyingi zinazowapelekea baadhi ya wanawake waamue kutoa mimba, mojawapo ni kuhofia hatari ya kuzaa watoto wenye matatizo (abnormalities) tatizo ambalo hutokea sana kwa wanawake wanaobeba mimba katika umri mkubwa. Lakini wataalamu wanasema kwamba sababu nyingineyo ni wanawake waliobeba mimba bila kujua kwa kuwa walidhani hawatapata mimba kwa kuwa wana umri mkubwa. Kwa ajili hiyo madakatari wanawashauri wanawake wote waliofikisha miaka 35 na kuendelea wachukue tahadhari kuhusiana na mimba zisizopangwa na waendelee kutumia njia mbalimbali za kuzuia uzazi hadi pale wanapofikia kukoma hedhi au menopause, iwapo hawataki kupata watoto.  &lt;br /&gt;Kwa kawaida kitaalamu umri mzuri wa kubeba mimba ni kati ya miaka 20 hadi 35. Kubeba mimba kabla ya miaka 20 huweza kuhatarisha maisha ya mama na mtoto kutokana na sababu mbalimbali za kiafya, kisaikolojia na kiuchumi na kubebea mimba baada ya miaka 35 nako kuna uwezekano mkubwa wa kuhatarisha maisha ya mama na mtoto. Mimba zinazobebwa baada ya miaka 35 hambatana na matatizo mbalimbali kama vile shinikizo la damu, kifafa cha ujauzito, kisukari cha ujauzito na kadhalika huku mtoto anayezaliwa akiwa na uwezekano mkubwa wa kuwa na matatizo ya kuzaliwa (abnormalities). Wataalamu wanashauri kuwa iwapo utapata mimba baada ya miaka 35 ni vyema ufanyiwe baadhi ya vipimo wakati mimba bado ni ndogo ili kujua iwapo mtoto aliye tumboni ana matatizo au la.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-5682140438955493600?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/5682140438955493600/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=5682140438955493600' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/5682140438955493600'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/5682140438955493600'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/02/wanawake-walioa-na-umri-zaidi-ya-miaka.html' title='Wanawake wenye  umri zaidi ya miaka 35  wasisahau kuzuia mimba, umri sio tija!'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S3lTSsSxZYI/AAAAAAAAAaw/RD7DpnEef4I/s72-c/old.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-9173716265743940472</id><published>2010-02-14T16:39:00.003+03:30</published><updated>2010-02-14T17:28:39.202+03:30</updated><title type='text'>Valentine special! ….Jikinge na umkinge umpendae na magonjwa ya zinaa</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S3f3IZ-4ntI/AAAAAAAAAao/vJmLY_qK1sE/s1600-h/joli.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 352px; height: 400px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S3f3IZ-4ntI/AAAAAAAAAao/vJmLY_qK1sE/s400/joli.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5438086798858821330" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo ni siku ya wapendanao duniani. Katika siku ya leo mijini na mitaani kumejawa na shamshamra na harakati za watu wanaojali wawapendao ambao kwa namna mbalimbali huonekana wakiziweka wazi hisia zao ili kuwadhihirishia wapenzi wao pendo lao. Sio ajabu kukutana na wanaume waliobeba maua yanayoning'inia kadi zenye ujumbe moto moto wa siku hii ya wapendanao, huku wakinamama wakiandaa milo mitamu ili kuikoga moyo ya waume vipenzi wao pale watakaporejea majumbani. Wavulama na wasichana nao hupigana vikumbo katika maduka ya kadi na zawadi wakiwanunulia wapenzi na laazizi wao  zawadi mbalimbali na vijana wanaoinukia wakionyesha kutokujali kwa kupigana mabusu barabarani, bila kuwasahau wale wanaojaza fedha simu zao angalau waweze kutuma sms au kuwasabahi kwa simu wapenzi wao ili wajue kuwa hawajawasahau katika siku hii. Yote haya ni katika kuonyesha hisia muhimu ya mapenzi kwa wawapendao katika siku hii maarufu iliyopewa jina la Valentine. Jambo muhimu ambalo lingependa wapendanao wajiulize katika siku hii yao muhimu ni je, kwa kiasi unachomjali na kumpenda mpenzi wako, mke au mume wako na ukawa uko tayari kumdhihirishia penzi lako siku hii kwa zawadi, maua, kadi au hata ujumbe wa sms, je ni kwa kiasi gani pia unamjali mpenzi wako huyo katika kumkinga na magonjwa?. Je, kama penzi lako ni la dhati kwa mpenzi wako je unamjali na kumlinda?. Je unajali kumkinga na magonjwa mbalimbali ya kiafya na ya kimapenzi? … Sitaki kuwachafulia uwanja hasa katika siku hii ambayo wengi hawataki kusikia lolote isipokuwa masuala ya mapenzi lakini nafikiri kama unamjali mpenzi wako kikweli basi pengine katika siku hii unapodhihirisha mapenzi yake kwake pia utachukua japo dakika chache kufikiria ni kwa kiasi gani unamlinda na magonjwa mbalimbali ambayo maambukizo yake hutokea wakati wa kufanya mapenzi. STD au Sexually Transmitted Infection kwa Kiswahili magonjwa ya zinaa ni maambukizo ambayo hutokea wakati wa kujamiiana. Miongoni mwa magonjwa hayo ni gonjwa hatari la Ukimwi, kaswende, kisosonono, Clamydia, Trichomonia, Hepetitis B, Herpes au ugonjwa wa malengelenge neva ngozini  na kadhalika. Kona ya Afya inachotaka kusema katika siku ya wapendanao ni kwamba, moja ya misingi muhimu ya kukuepusha wewe na mpenzi wako na magonjwa ya zinaa ni kuwa muaminifu kwa mpenzi wako, mke au mume wako. Kuhakikisha umpendae unamlinda kwa kufuata maelekezo ya kujikinga na maradhi hayo yanayoambukizwa wakati wa kufanya mapenzi kama vile kutumia mipira, kupata kinga na matibabu yanayotakiwa. La muhimu zaidi ni kumjulisha umpendaye pindi unapoyakwaa maradhi hayo ili naye akapime na apatiwe tiba, kwa sababu mengi ya maradhi hayo ya zinaa tiba yake hukamilika pale wawili wanaoshiriki mapenzi wanapotibiwa pamoja. Kujidanganya kujitibu mwenyewe na kuficha ugonjwa kwa mpenzi wako, zaidi ya kukufanya usipone kikamilifu magonjwa hayo, pia huleta hatari kubwa ya kueneza magonjwa hayo katika jamii. Kwa hivyo njia ya kwanza ni kuyajua magonjwa ya S.T.D na kuzijua dalili zake na kuwa wazi kuhusiana na magonjwa hayo pale yanapotupata.&lt;br /&gt;Kona ya Afya inasema… kama kweli unampenda basi mlinde!&lt;br /&gt;Nawatakia wadau wote Valentine Njema!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-9173716265743940472?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/9173716265743940472/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=9173716265743940472' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/9173716265743940472'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/9173716265743940472'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/02/valentine-special-jikinge-na-umkinge.html' title='Valentine special! ….Jikinge na umkinge umpendae na magonjwa ya zinaa'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S3f3IZ-4ntI/AAAAAAAAAao/vJmLY_qK1sE/s72-c/joli.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-1388409956853099950</id><published>2010-02-13T09:24:00.003+03:30</published><updated>2010-02-13T09:25:31.531+03:30</updated><title type='text'>Unene unasababisha watoto wa kiume wachelewe kubaleghe</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S3Y-zI2vW7I/AAAAAAAAAaY/uaO_yRhCl1w/s1600-h/obese.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 216px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S3Y-zI2vW7I/AAAAAAAAAaY/uaO_yRhCl1w/s400/obese.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5437602648367782834" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Uchunguzi mpya umeonyesha kuwa watoto wa kiume walio wanene huchelewa kubaleghe kuliko wenzao walio na uzito wa kawaida. Hii ni tofauti na watoto wa kike ambapo unene  huwasababishia hufikia baleghe mapema. Huko nyuma pia wataalamu walisema kwamba, kuna uhusiano kati ya BMI na kubaleghe mapema watoto wa kike na kuongeza kwamba, suala hilo kusababishwa na kuongezeka kwa homoni inayojulikana kama Leptin kwa watu wanene. Uchunguzi mpya umesema homoni hiyo hiyo husababisha watoto wa kiume walio wanene wachelewe kubaleghe. Kuna uwezekano kuwa homoni hiyo inageuza homoni za kiume na kuwa za kike katika tishu za mafuta na kusababisha watoto wa kiume wachelewe kukubaleghe. &lt;br /&gt;Kwa upande mwingine utafiti mpya umesema kwamba, unene huanza kabla ya mtoto kufikia miaka miwili. Utafiti huo uliofanywa na wataalamu wa Marekani umesema kwamba, unene ambao huweza mtu kuwa nao katika umri wake wote huanza wakati anapokuwa na miaka miwili. Uchunguzi huo uliowafanywa kwa kuwahusisha watoto wanene 100 na vijana umegundua kwamba, nusu ya watoto hao walikuwa wanene walipokuwa na miezi 24 na kwa asilimia 90 walikuwa ni wenye uzito mkubwa walipokuwa na miaka mitano. &lt;br /&gt;Si vibaya kujua kuwa nchini Uingereza asilimia 27 ya watoto wa nchi hiyo ni wanene. Ingawa sababu hasa inayopelekea watoto wawe wanene mapema katika umri wao haijajulikana lakini wataalamu wanasema kwamba lishe mbovu, kuanza kupewa watoto vyakula vigumu mapema pamoja na kutofanya mazoezi mapema na kujibweteka ni mausala yanayochangia watoto kuwa wawe na unene wa kupindukia tangua wakiwa wadogo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-1388409956853099950?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/1388409956853099950/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=1388409956853099950' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1388409956853099950'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1388409956853099950'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/02/unene-unasababisha-watoto-wa-kiume.html' title='Unene unasababisha watoto wa kiume wachelewe kubaleghe'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S3Y-zI2vW7I/AAAAAAAAAaY/uaO_yRhCl1w/s72-c/obese.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-6740481455286697183</id><published>2010-02-08T17:51:00.001+03:30</published><updated>2010-02-08T17:55:28.844+03:30</updated><title type='text'>Maradhi anayopata mama mjamzito humpelekea mwanae kupata pumu</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S3AezrvVWwI/AAAAAAAAAaQ/BgYB0eAZ-CY/s1600-h/asm.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 216px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S3AezrvVWwI/AAAAAAAAAaQ/BgYB0eAZ-CY/s400/asm.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5435878623499606786" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Utafiti mpya umegundua kuwa, baadhi ya magonjwa anayopata mama wakati wa ujauzito huongeza uwezekano wa mwanae kupatwa na ugonjwa wa pumu. Kwa mujibu wa utafiti huo uliochapishwa katika jarida la Maendeleo ya Tiba za Watoto na Vijana, watoto ambao wanazaliwa na kina mama waliopatwa na maambukizo ya vijidudu katika mfuko wa uzazi au maji yanayomzunguka mtoto tumboni yanayojulikana kama (chorioamnionitis) huwa wana uwezekano mkubwa wa kupatwa na pumu wafikapo umri wa miaka 8. Suala hilo hilo pia huwatokea watoto waliozaliwa kabla muda wao wa kuzaliwa haujatimia au prematures. Maambukizo hayo yanasababishwa na bakteria mbalimbali wanaopatikana katika sehemu za uke kama vile E. Coli na bakteria kundi B, Streptococci.  Magonjwa hao husababisha zaidi ya nusu ya watoto wazaliwe kabla muda wao haujatimia, huku watoto hao wakiwa mapafu yao hayajaimarika vya kutosha na hivyo kukabiliwa na hatari ya kupata magonjwa mbalimbali sugu ya kifua kama vile pumu. Wanasayansi kwa kutegemea utafiti huo wameweza kusema kuwa, maambukizo ya magonjwa yanayotokana na bakteria ndio sababu kuu inayopelekea watoto wachanga wanaozaliwa kabla ya muda wao kutimia, wapatwe na pumu.&lt;br /&gt;Hivyo wameshauri kuwa, wakinamama wanatakiwa kufahamu umuhimu wa kuhudhuria kiliniki na katika vituo vya afya wakati wa ujauzito na kufuata maelekezo wanayopewa wakati wakiwa na mimba ili kuepusha matatizo kama hayo yasitokee.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-6740481455286697183?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/6740481455286697183/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=6740481455286697183' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6740481455286697183'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6740481455286697183'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/02/maradhi-anayopata-mama-mjamzito.html' title='Maradhi anayopata mama mjamzito humpelekea mwanae kupata pumu'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S3AezrvVWwI/AAAAAAAAAaQ/BgYB0eAZ-CY/s72-c/asm.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-1560104864683813247</id><published>2010-02-06T10:50:00.004+03:30</published><updated>2010-02-07T13:12:35.675+03:30</updated><title type='text'>Aatikwa  figo ya dada yake ingawa figo hiyo haiendani nawe</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S20YmbvfgBI/AAAAAAAAAaI/uKKD5JZ9oyM/s1600-h/bath.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 226px; height: 170px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S20YmbvfgBI/AAAAAAAAAaI/uKKD5JZ9oyM/s400/bath.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5435027373867106322" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Utaalamu mpya umemumezesha mwanamke mmoja Muingereza kuwekewa pigo ya dada yake ingawa figo hiyo haiendani nae. Maxine Bath alikuwa na matatizo ya figo ambapo alikuwa akisaidiwa na mashine kuzungushiwa damu mwilini au dialysis. Mwanamke huyo hakuweza kupata mtu wa kumpatia figo inayoendana naye kutoka katika familia yake. Lakini madaktari wa hospitali ya Conventry nchini Uingereza wametumia utaalamu mpya unaojulikana kama 'cryofiltration' ili kuondoa seli za kulinda mwili ambazo zinasababisha figo hiyo ishindwe kuungana na mwili, iwapo itaunganishwa mwilini kwa mgonjwa hali ya kuwa haiendani na seli za mwili wake. Madaktari hao baada ya kufanikisha operesheni hiyo ya kuatika figo wanasema kwamba, utaalamu huo mpya unaweza kuwasaidia watu wengi zaidi wanaokabiliwa na matatizo mbalimbali na wanahitajia kupandwa viungo mwilini au transplant.  Watu 927 hufanyiwa operesheni za kuatika figo kila mwaka nchini Uingereza, hata hivyo maelfu ya wagonjwa wengine huwa wanaendelea kusubiri ili waweze kupata watu wanaoendana nao walioko tayari kuwapatia figo, huku ikiwa vigumu kuwapata watu hao. Viungo pale vinapopandwa au kuatikwa katika miili ya wengine hukataa kushikamana na miili hiyo (organ rejection) suala ambalo hutokea pale mwili unapotambua kuwa kiungo kilichoungwa si chake, na kuruhusu mfumo wa kulinda mwili ukikatae  kiungo hicho. Tatizo hilo linaweza kuondolewa iwapo kiungo kinachotaka kupandwa kinatoka kwa ndugu wa familia moja na mgonjwa, na iwapo mgonjwa atatumia dawa za kuudhoofisha mfumo wa kulinda mwili kwa maisha yake yote. &lt;br /&gt;Lakini haikuwa hivyo kwa Bi. Maxine, ambaye ana umri wa miaka 41 na aliyepata matatizo ya figo tangu akiwa na miaka 15. Ingawa mwanamke huyo hakuweza kupata mtu wa familia moja wa kumpa figo inayoendana na seli za mwili wake, lakini kwa kuondolewa seli hizo aliweza kuunganishiwa figo ya dada yake bila tatizo lolote. &lt;br /&gt;Wataalamu wanasema kwamba teknolojia hiyo mpya inaweza kutumika kusaidia  watu wengi zaidi wenye tatizo hilo, na hii ni mara ya kwanza duniani imetumiwa ili kumsaidia mgonjwa aunganishwe kiungo kisichoendana naye. &lt;br /&gt;Operesheni hiyo ilifanywa mwezi Novemba mwaka 2009 na imesaidia kuokoa maisha ya Maxine.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-1560104864683813247?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/1560104864683813247/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=1560104864683813247' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1560104864683813247'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1560104864683813247'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/02/aitikwa-figo-ya-dada-yake-ingawa-figo.html' title='Aatikwa  figo ya dada yake ingawa figo hiyo haiendani nawe'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S20YmbvfgBI/AAAAAAAAAaI/uKKD5JZ9oyM/s72-c/bath.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-5406954416173126694</id><published>2010-02-06T07:22:00.004+03:30</published><updated>2010-02-07T13:13:14.018+03:30</updated><title type='text'>Siri ya kasi ya mbegu za kiume yagunduliwa!</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2znk57H6NI/AAAAAAAAAaA/w3Nzi1Fu23M/s1600-h/bla.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 267px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2znk57H6NI/AAAAAAAAAaA/w3Nzi1Fu23M/s400/bla.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5434973471539456210" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wataalamu wanasema wamegundua kwamba mbegu za kiume huanza kwenda kwa kasi wakati zinapofika karibu na yai la mwanamke, suala ambalo huenda siku zijazo likasaidia katika kupatikana dawa ya kuzuia mimba ya wanaume. Vitundu vidogo vilivyoko juu ya mbegu hizo za kiume huziwezesha kubadilisha PH yake ya ndani, ambayo hufanya mkia wa mbegu hizo uanze harakati. Wataalamu hao wa Chuo Kikuu cha California huko San Francisco wanasema kuwa, ugunduzi huo unaweza pia kusaidia kuelezea kwa nini marijuana huwafanya wanaume wawe tasa na kwamba suala hilo litaleta mabadiliko makubwa katika kufahau suala zima la  uwezo wa kuzaa wa mwanaume. &lt;br /&gt;Kwa kawaida mbegu za wanaume hazianzi kwenda mbio baada tu ya kumwagwa, na ili kuweza kulifikia yai la mwanamke huhitajia kujiepusha na kasi hadi pale zinapokaribia yai. Wanasayansi kwa muda mrefu wamekuwa wakifahamu kwamba mwendo wa mbegu za kiume umekuwa ukisimamiwa na PH ya ndani, na kuwa kwake katika hali ya asidi au alikali lakini walikuwa hawafahamu ni jambo gani hasa linalowezesha kubadilika PH hiyo. Wataalamu wamesema, sasa wamejua kuwa ili kuongeza PH ili iwe ya alkali, mbegu huhitajia protoni zinaoitwa Jettison, na kwamba wamegundua vijitundu vidogo vilivyoko juu ya mbegu hizo ndio huruhusu mabadiliko hayo. Daktari Yuriy Kirichok aliyeongoza utafiti huo anasema, iwapo utafungua vijitundu hivyo, protoni inatoka nje, na wao wamefahamu molekuli ambazo huruhusu protoni hizo zitoke nje. Anaendelea kueleza kwamba, vijitundu hivyo vilivyopewa jina la Hv1 proton Channels, hufunguka pale inapofikia wakati muafaka wa kufunguka na hutegemea  kitu kingine kinachoitwa, anandamine.  Anandamide ziko katika mirija ya uzazi ya mwanamke katika eneo ambalo ni karibu na yai.  &lt;br /&gt; Katika marijuana kuna mada inaitwa cannabidoid ambayo inaaminika kuwa inapunguza uwezo wa anandamide, suala ambalo sasa limeweza kuelezea ni kwa nini marijuana kusababisha ugumba kwa wanaume. Dk, Kirichok anasema kwamba, marijuana pia huzipa kasi mbegu za kiume mapema, na huzifanya ziungue baada ya masa kadhaa.  Watafiti hao wanatupa moyo kwamba, kwa kufahamu vyema masuala hayo, sasa ni wazi kuwa wanaweza kutafuta dawa ya kuzuia mimba kwa wanaume. Kwani kwa kuziziba molekuli hizo, pengine wakafanikiwa kuzuia na kutoruhusu mbegu isikutane na yai, na njia hiyo ikatumika kama dawa ya kuzuia mimba kwa wanaume.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-5406954416173126694?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/5406954416173126694/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=5406954416173126694' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/5406954416173126694'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/5406954416173126694'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/02/siri-ya-mbio-ya-mbegu-za-kiume.html' title='Siri ya kasi ya mbegu za kiume yagunduliwa!'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2znk57H6NI/AAAAAAAAAaA/w3Nzi1Fu23M/s72-c/bla.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-5770571249510251305</id><published>2010-02-04T15:17:00.002+03:30</published><updated>2010-02-04T15:22:48.809+03:30</updated><title type='text'>Samahani kwa maatizo ya kufundi!</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2q1CSczXgI/AAAAAAAAAZ4/BLbIvDLpuww/s1600-h/blg2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 375px; height: 370px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2q1CSczXgI/AAAAAAAAAZ4/BLbIvDLpuww/s400/blg2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5434354951292935682" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapenzi wadau wa Kona ya Afya,&lt;br /&gt;Shally's Med Corner inachukua fursa hii kuwaomba radhi kutokana na matatizo ya kiufundi ambayo yamesababisha blogi ya Kona ya Afya ivurugike kimuundo. Ingawa suala hilo halijaathiri uwekaji wa makala katika blogi hii, lakini nawaomba muwe na subira na uvumilivu hadi pale matatizo hayo yatakaporekebishwa. Kona ya Afya inawaahidi kwamba hivi karibuni mambo yatanyooshwa na muonekano wa blog utarudi katika hali yake ya kawaida.&lt;br /&gt;Daima tulinde afya zetu!&lt;br /&gt;Shally&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-5770571249510251305?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/5770571249510251305/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=5770571249510251305' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/5770571249510251305'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/5770571249510251305'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/02/samahani-kwa-maatizo-ya-kufundi.html' title='Samahani kwa maatizo ya kufundi!'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2q1CSczXgI/AAAAAAAAAZ4/BLbIvDLpuww/s72-c/blg2.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-8440853523140830093</id><published>2010-02-04T15:10:00.002+03:30</published><updated>2010-02-08T19:46:51.612+03:30</updated><title type='text'>Bi. Michele Obama akosolewa kwa kuzungumzia lishe ya mabinti zake hadharani</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2qywsHA_5I/AAAAAAAAAZo/RdjHwKl2z28/s1600-h/miche.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 328px; height: 400px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2qywsHA_5I/AAAAAAAAAZo/RdjHwKl2z28/s400/miche.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5434352449919975314" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Ikiwa ni wiki mbili tangu ilipotangazwa kuwa unene kwa watoto umeongezeka mara tatu nchini Marekani katika kipindi cha miaka 30 iliyopita, na Mke wa Rais wa Marekani akatangaza nia yake ya kupambana na suala hilo, Bi. Michele Obama amekabiliwa na ukosoaji mkubwa baada ya kujadili hadharani masuala ya lishe ya mabinti zake. Hii ni baada ya daktari wa familia hiyo anayeshughulikia masuala ya watoto kumtaarifu kwamba, wanawe Sasha na Malia wanaanza kuwa wanene. Hata hivyo Bi. Michelle amepuuza suala hilo na kusema kwamba, anafikiri watoto wake wako sawa tu. Wengi waliomkosoa Michelle wamesema kuwa, anahatarisha mustakbali au future ya wanawe kwa kuanza kuwazungumzia hadharani kuhusiana na milo yao. Ingawa ni kweli kuwa nchini Marekani Waamerika weusi wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la kuongezeka uzito na kuwa na unene wa kupindukia ambapo wataalamu wanasema theluthi moja ya Waamerika weusi ni wanene, lakini bado matamshi ya Mrs. Obama ya kujadili lishe ya wanawe hadharani, yameonekana kuwa pengine yanaweza kuwasababisha wanawe kupata matatizo ya kula ukubwani. Wengi wanasema kwamba mke huyo wa Rais wa Marekani angeweza kutoa mifano mingine tu mingi lakini bila kuwaashiria moja kwa moja watoto wake, hasa ikizingatiwa kuwa, mabinti wake hao bado ni wadogo. Wakosoaji hao wamemtaka Bi. Michelle ajiepusha kukariri suala hilo na afuate mfano wa familia nyinginezo za Marais wa Marekani waliowahi kuishi White House.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-8440853523140830093?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/8440853523140830093/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=8440853523140830093' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8440853523140830093'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8440853523140830093'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/02/bi-michele-obama-akosolewa-kwa.html' title='Bi. Michele Obama akosolewa kwa kuzungumzia lishe ya mabinti zake hadharani'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2qywsHA_5I/AAAAAAAAAZo/RdjHwKl2z28/s72-c/miche.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3794024641105352508</id><published>2010-02-03T16:46:00.002+03:30</published><updated>2010-02-03T16:49:54.785+03:30</updated><title type='text'>Nchi za Afrika zakubaliana kutokomeza malaria</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2l36-gWcjI/AAAAAAAAAZg/QHe-JWrUvB4/s1600-h/mal.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2l36-gWcjI/AAAAAAAAAZg/QHe-JWrUvB4/s400/mal.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5434006280494019122" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;NCHI za Afrika zimekubaliana kuwa lengo kuu la serikali zao katika mapambano dhidi ya malaria, ni kuutokomeza ugonjwa huo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania alisema hayo juzi mwishoni mwa kikao cha viongozi wa Umoja wa Afrika (AU) walio katika mapambano dhidi ya malaria Afrika (ALMA). &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema Afrika inahitaji vyandarua 200 ingawa hadi sasa kuna ahadi ya vyandarua 50 tu, lakini hata hivyo aliitaka ALMA kuendelea na jitihada za kupata vyandarua vyote vitakavyokidhi mahitaji. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Kikwete aliitisha kikao hicho kwa kushirikiana na AU ambapo mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ray Chambers, aliwataka viongozi hao kuweka nia ya dhati ya kisiasa katika jitihada hizi ili kufanikisha azma yao. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kikao hicho ni cha pili cha kikazi baada ya kilichofanyika New York, Marekani chini ya Rais Kikwete, kama mwanzilishi wa jitihada hizo ambazo zilianza wakati akiwa Mwenyekiti wa AU. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kikao hiki kilihudhuriwa na Mwenyekiti wa AU, Rais Bingu wa Mutharika wa Malawi, Ellen Johnson Sirleaf wa Liberia, Hifikepunye Pohamba wa Namibia, Mwai Kibaki wa Kenya na Armando Guebuza wa Msumbiji. Wengine ni Paul Kagame wa Rwanda, Yoweri Museveni wa Uganda, Rupia Banda wa Zambia na Robert Mugabe wa Zimbabwe. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nchi zingine zilizohudhria ni Burundi, Gabon, Misri na Somalia. Katika kikao hicho, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa ALMA, Joy Phumaphi, alieleza mafanikio yaliyofikiwa katika kipindi cha mwaka mmoja ambapo matumizi ya vyandarua yameongezeka kwani hadi mwaka juzi nchi 13 kati ya 35 zenye kiwango kikubwa cha malaria, asilimia 50 ya watu wao wanatumia vyandarua hivyo, ikilinganishwa na mwaka 2005 na pia matumizi ya dawa mseto yamepunguza maambukizi na vifo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Phumaphi alisema mwamko huo wa matumizi bora ya vyandarua, umepunguza vifo na maambukizi pia kwa mama na mtoto ambao ndiyo waathirika wakubwa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na mafanikio hayo, bado kuna changamoto nyingi ambazo zinahatarisha jitihada na kutokomeza malaria ikiwamo fedha kunakotokana na kutotimizwa kwa ahadi na wafadhili. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Kikwete alimtaka kila mshiriki kupitia wizara zao za Afya kutuma maombi kwenda mfuko wa malaria duniani (Global Fund) ambayo yatahusisha si upatikanaji tu wa vyandarua, bali uwezeshwaji wa watumishi wa afya, vitendea kazi na vitu vyote muhimu vinavyohitajika katika jitihada hizi za kutokomeza malaria.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3794024641105352508?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3794024641105352508/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3794024641105352508' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3794024641105352508'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3794024641105352508'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/02/nchi-za-afrika-zakubaliana-kutokomeza.html' title='Nchi za Afrika zakubaliana kutokomeza malaria'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2l36-gWcjI/AAAAAAAAAZg/QHe-JWrUvB4/s72-c/mal.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3367853697271597449</id><published>2010-02-01T18:32:00.001+03:30</published><updated>2010-02-01T18:45:15.010+03:30</updated><title type='text'>Utoaji mimba usio salama unauwa akina mama elfu sabini kila mwaka</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2bv_QzrywI/AAAAAAAAAZY/P7U3dC08yrQ/s1600-h/pre.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 261px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2bv_QzrywI/AAAAAAAAAZY/P7U3dC08yrQ/s400/pre.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5433293870591625986" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Utoaji mimba usio salama husababisha akima mama elfu sabini kupoteza maisha yao kila mwaka duniani kote. Taasisi mashuhuri ya Guttmacher imeripoti kuwa, japokuwa utumiami wa njia za uzazi wa mpango hupunguza kiwango cha kuharibika kwa mimba, lakini ulimwengu unashuhudia wakinamama wapatao elfu sabini wakifariki dunia kila mwaka kutokana na utoaji mimba usio salama. Imeongeza kuwa, utoaji mimba usio salama unaendelea kuwa tatizo miongoni mwa walimwengu. Imesema kuwa, zaidi ya nusu ya vifo hivyo vya akinamama hutokea katika nchi zilizo chini ya jangwa la Sahara.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3367853697271597449?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3367853697271597449/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3367853697271597449' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3367853697271597449'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3367853697271597449'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/02/utoaji-mimba-usio-salama-unauwa-akina.html' title='Utoaji mimba usio salama unauwa akina mama elfu sabini kila mwaka'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2bv_QzrywI/AAAAAAAAAZY/P7U3dC08yrQ/s72-c/pre.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-4342449982868016595</id><published>2010-01-30T11:13:00.001+03:30</published><updated>2010-01-30T11:15:43.780+03:30</updated><title type='text'>Chanjo inaweza kuwaokoa waathirika wa HIV wasife na TB</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2PjnrehDcI/AAAAAAAAAZQ/nYkFM3tk_7Y/s1600-h/TB-HIV.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 278px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2PjnrehDcI/AAAAAAAAAZQ/nYkFM3tk_7Y/s400/TB-HIV.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5432435846364073410" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wataalamu wamesema kuwa, wamepata chanjo inayoweza kuwasaidia wagonjwa wa TB ambao wameathirika na HIV. Chanjo hiyo inafanya kazi kwa kuupa nguvu mfumo wa kulinda mwili kwa wagonjwa ambao tayari waliwahi kupata chanjo ya BCG walipokuwa wadogo.  Utafiti huo uliochapisha  katika Jarida la AIDS  umebainisha kuwa, wagonjwa wengi wenye Kifua Kikuu ambao walipewa chanjo hiyo walionekana kupata nafuu. Wataalamu hao kutoka Chuo Kikuu cha Tiba cha Dartmouth cha Marekani wamejaribu chanjo hiyo kwa waathirika wa Ukimwi elfu mbili nchini Tanzania kwa kipindi cha miaka 7 na kuthibitisha kwamba, ugonjwa wa TB uliweza kupunguzwa kwa asilimia 39 kwa wale waliopatiwa chanjo hiyo. Wataalamu hao wanasema kuwa, chanjo hiyo inaweza kuwa chaguo lisilogharimu fedha nyingi hasa kwa nchi zinazojitahidi kutafuta fedha kwa ajili ya kununua madawa ya kupambana na HIV.  Chanjo hiyo inasemekana kuwa na uwezo zaidi wa kumlinda mgonjwa asipate kifua kikuu, pia inaweza kumlinda mgonjwa kwa miaka kadhaa. Profesa Ford von Reyn aliongoza utafiti huo, amesema hiyo ni hatua kubwa na kushauri kuwa, pale watu wanapogunduliwa wameathirika na HIV wanaweza kupewa chanjo hiyo, kabla hata ya kuanza kutumia vidonge vya kuongeza maisha ya antriretroviral.  Reyn aidha amesema kwamba hii ni mara ya kwanza wamefanikiwa kupata chanjo ambayo ina athari kubwa katika kuzuia magonjwa yanayosababishwa na vijidudu vinavyowashambulua wagonjwa pale wanapokuwa na UKIMWI. &lt;br /&gt;Ni muhimu kujua kuwa, Kifua Kikuu ni tatizo kubwa kwa watu wanaoishi na virusi vya HIV barani Afrika. Ugonjwa wa Tb unaongoza katika kuwasababishia vifo waathiriwa wa Ukimwi. Shirika la Afya Duniani linakadiria watu milioni 10 wana ugonjwa wa Kifua Kikuu pamoja na UKIMWI duniani, ambapo wengi wao wanaishi katika nchi za Afrika zilizoko chini ya Jangwa la Sahara. TB inaua kila mgonjwa mmoja kati ya watatu ambao wana UKIMWI.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-4342449982868016595?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/4342449982868016595/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=4342449982868016595' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/4342449982868016595'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/4342449982868016595'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/chanjo-inaweza-kuwaokoa-waathirika-wa.html' title='Chanjo inaweza kuwaokoa waathirika wa HIV wasife na TB'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2PjnrehDcI/AAAAAAAAAZQ/nYkFM3tk_7Y/s72-c/TB-HIV.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-4888643316819317742</id><published>2010-01-29T19:15:00.001+03:30</published><updated>2010-01-29T19:18:47.230+03:30</updated><title type='text'>Vidonge vya kuzuia mimba baada ya siku 5 vyaingia madukani</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2MDPzF-G5I/AAAAAAAAAZI/XKXexsM3FHM/s1600-h/pils.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 258px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2MDPzF-G5I/AAAAAAAAAZI/XKXexsM3FHM/s400/pils.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5432189145487121298" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Vidonge vya kuzuia mimba kwa dharura (the morning after pills) zimeingia madukani, ambapo inaaminiwa dawa hizo zina uwezo wa kumzuia mwanamke asipate mimba hata baada ya kuzitumiwa ikiwa siku 5 tayari zimepita baada ya kujamiina. Uchunguzi uliofanywa na wataalamu wa Uingereza umegundua kuwa, daw ahizo mpya zina uwezo zaidi wa kuzuia mimba kuliko zile za zamani ambazo zilikuwa zikizuia mimba hadi baada ya siku tatu tu toka wakati wa kufanya mapenzi. Kwa kawaida dawa za kuzuia mimba kwa dharura au emergency contraception zinatumia homoni ambazo aidha huzuua yai lizitoke katika ovari masaa kadhaa baada ya kujamiiana, au kuzuia yai lisijikite katika mfuko wa uzazi. &lt;br /&gt;Si vibaya hapa nielezee  vidonge vya kuzuia mimba kwa dharura ni dawa za aina gani?&lt;br /&gt;The Morning after pills ni vidonge ambavyo huzuia mtu asipate mimba iwapo hakutumia njia yoyote ya kuzuia mimba kabla au wakati wa kufanya tendo la ndoa. Ingawa dawa hizo zinajulikana kwa vidonge vinazotumiwa asubuhi kama lilivyo jina lake lakini kihakika dawa hizo huwa na uwezo wa kumzuia mtu asipate ujauzito kwa muda wa masaa 72 au siku 3 kwa kawaida (Huku zile mpya nilizoungumzi hapo juu zikiweza na uwezo wa kuzuia mimba hadi siku 5). Lakini dawa hizo kila zinapotumiwa mapema zaidi baada ya tendo la ndoa, matokeo yake huwa bora zaidi. Vidonge hivyo hufanya kazi vizuri zaidi vinapotumiwa katika masaa 12 baada ya kufanya mapenzi bila kujikinga. Dawa hizo huwa zina homoni inayoitwa Lovenorgestrel ambayo  ni moja ya vitu vilivyoko katika vidonge vya kawaida vya kuzuia mimba (contraceptive pills). Unaweza kuapata vidonge hivyo katika vituo vya afya au mahospitalini. &lt;br /&gt;Uingereza na katika nchi nyingi za Ulaya vidonge hivyo huitwa 'emergency contraceptive pill' wakati Wamarekani na nchi nyinginezo huviita 'The Morning After Pill'.&lt;br /&gt;Viodnge vya kuzuia mimba baada ya kujamiina kwa kawaida husaidia kwa asilimia 100 kutopata mimba, na  kushindwa kwake ni kwa asilimia chache. &lt;br /&gt;Vidonge hivyo vinatumika katika masuala mbalimbali kama vile:&lt;br /&gt;1. Kuwazuia kupata mimba  wanawake waliofanya mapenzi bila kujikinga kabla au bila kutumia kizuizi chochote wakati wa tendo la ndoa.&lt;br /&gt;2. Kwa wale waliobakwa, na kuna hatari kwamba wanaweza wakapata mimba.&lt;br /&gt;3. Kwa mke na mume  au wale wapenzi ambao wakati wa kujamiiana condom ilipasuka. &lt;br /&gt;4. Kwa wale waliofanya ngono zembe kwa kushawishiwa, wakiwa wamelewa au kutumia madawa ili kuwazuia wasibebe mimba. &lt;br /&gt;Kumbuka kuwa, hakuna hatari yoyote kutumia dawa hizo. Lakini ni bora upate ushauri wa mtaalamu kabla ya kutumia. Ni asilimia chache sana ya wanawake ambao hupata matatizo madogo madogo baada ya kutumia dawa hizo kama yale wanayoyapata wakati wa kutumia vidonge vya kuzuia mimba vya kawaida. Matatizo hayo ni kama vile.&lt;br /&gt;  Maumivu ya kichwa kidogo.&lt;br /&gt;  Tumbo kuuma kidogo&lt;br /&gt;  Maziwa kuuma kidogo.&lt;br /&gt;  Kuona matone ya damu kidogo.&lt;br /&gt;  Kujisikia kizunguzingu kidogo.&lt;br /&gt;Ni muhimu pia kujua kuwa, kuna wanawake ambao hawaruhusiwi kabisa kutumia dawa hizo na hao ni wale ambao wana matatizo ya figo au wale wenye matatizo yanayoitwa porphyria.&lt;br /&gt;KUMBUKA KUWA KUZUIA MIMBA NI BORA KULIKO KUTOA!&lt;br /&gt;Na daima tunza Afya yako!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-4888643316819317742?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/4888643316819317742/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=4888643316819317742' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/4888643316819317742'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/4888643316819317742'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/vidonge-vya-kuzuia-mimba-baada-ya-siku.html' title='Vidonge vya kuzuia mimba baada ya siku 5 vyaingia madukani'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2MDPzF-G5I/AAAAAAAAAZI/XKXexsM3FHM/s72-c/pils.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3544526809584371370</id><published>2010-01-27T16:34:00.002+03:30</published><updated>2010-01-27T16:41:28.944+03:30</updated><title type='text'>Bill Gates aahidi ulimwengu kupata  kinga ya Malaria miaka mitatu ijayo</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2A6dsSBbuI/AAAAAAAAAZA/oEfHNJTCdQU/s1600-h/bill.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 345px; height: 242px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2A6dsSBbuI/AAAAAAAAAZA/oEfHNJTCdQU/s400/bill.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5431405432386186978" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Bill Gates mgunduzi wa Microsoft amesema kwamba kinga ya Malaria itakuwa tayari baada ya miaka mitatu ijayo.  Gates anaongoza kampeni za kupambana na ugonjwa wa Malaria, ambao unasababisha vifo vya mamilioni ya watu duniani kila mwaka hasa watoto wadogo.  Bili Gates anaamini kuwa kama ilivyokuwa kwa ugonjwa wa ndui, Malaria pia inaweza kutokomezwa. Hata hivyo mpaka hivi sasa hakujapatikana kinga yoyote ya ugonjwa huo, lakini Gates ana matumain kwamba kinga hiyo itagunduliwa hivi karibuni.  Gates ambaye ameunda taasisi inayotumia mabilioni ya dola kupambana na ugonjwa wa Malaria, amesema kuwa hivi sasa kuna kinga ambayo inafanyiwa majaribio ya mwisho, na kinga ya muda  inaweza kuanza kupatikana baadaya miaka mitatu, lakini kinga kamili ya ugonjwa huo itaweza kuchukua hadi miaka 10 kutengenezwa.  Hata hivyo Gates ambaye anaaminika kuwa tajiri zaidi duniani, ametahadharisha kwamba, ana wasiwasi nchi zinazoendelea zitatumia fedha zao zote zinazotokana na misaada ya kigeni katika kukabiliana na madhara ya mabadiliko ya hali ya hewa, na kupuuza masuala ya afya. Gates amesema kwa mtazamo wake suala hilo ni makosa na kwamba viongozi wa nchi zinazoendelea wanapaswa pia kuboresha hali ya afya ya wananchi wao na kwa upande mwingine kujitahidi kudhibiti kukua kwa idadi ya watu, suala ambalo lina athari kubwa kwa mabadiliko ya hali ya hewa. &lt;br /&gt; Malaria ni moja ya magonjwa yanayosabaisha vifo vingi sana duniani hasa katika bara la Afrika.&lt;br /&gt;  Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani, ugonjwa huo unasababishwa vifo vya watu kati ya milioni 1.5 hadi 2.7 kila mwaka duniani. Watoto walio chini ya miaka mitano ndio wanaoathirika sana na ugonjwa huo, huku zaidi ya watu milioni moja wakifariki kila mwaka barani Afrika kutokana na ugonjwa wa Malaria.&lt;br /&gt;  Miongoni mwa vimelea vinavyosababishwa ugonjwa wa Malaria Plasmodium Falciparum ndio kijidudu inachosababisha malaria mbaya zaidi, na kila uchao kimeleo hicho huzidi kukwepa dawa za malaria na kujiimarisha.&lt;br /&gt;  Si vibaya kutambua kwamba, Malaria inauwa watu 8,000 nchini Brazil kila mwaka, hii inamanaisha kwamba ugonjwa huo unaua watu wengi zaidi nchini humo ikilinganishwa na idadi ya watu wa nchi hiyo wanaokufa kutokana na UKIMWI pamoja kipindupindu.&lt;br /&gt; Gharama inayotumika kutibu ugonjwa wa Malaria barani Afrika kwa mwaka ni zaidi ya dola bilioni 3.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3544526809584371370?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3544526809584371370/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3544526809584371370' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3544526809584371370'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3544526809584371370'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/bill-gates-aahidi-ulimwengu-kupata.html' title='Bill Gates aahidi ulimwengu kupata  kinga ya Malaria miaka mitatu ijayo'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S2A6dsSBbuI/AAAAAAAAAZA/oEfHNJTCdQU/s72-c/bill.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-6956763314587511968</id><published>2010-01-25T18:32:00.003+03:30</published><updated>2010-01-27T16:38:25.199+03:30</updated><title type='text'>Kula Blueberry  kunaongeza uwezo wa ubongo</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S12ywyIA2OI/AAAAAAAAAY4/fr8MAZfpujU/s1600-h/blue.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 270px; height: 400px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S12ywyIA2OI/AAAAAAAAAY4/fr8MAZfpujU/s400/blue.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5430693276837533922" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Utafiti mpya umegundua kuwa,  kunywa vikombe viwili na nusu vya juisi ya blueberry kwa siku  ( mie naziita kunazi za bluu) kunaongeza uwezo wa ubongo wa kufahamu, na kuondoa matatizo ya usahaulifu yanayotokana na utu uzima. Wataalamu wanasema kuwa kunywa kila siku juisi hiyo kunamzuia mtu uwezekano wa kupatwa na ugonjwa wa kupoteza akili uzeeni au wendawazimu. Blueberry kwa kuwa na kiwango kikubwa cha phytochemical, tunda hilo lina limejaa anti oksidanti na lina uwezo wa kuzuia uvimbe. Vilevile kunazi za bluu kwa kuwa na mada iitwayo Anthocyanin, huweza kusaidia kuongeza kumbukumbu katika ubongo. Pia tunda hilo husaidia kupunguza kasi ya kitendo cha kupungua kumbukumbu katika ubongo kwa kuondoa gulukosi zinazopatikana kwenye ubongo. Uchunguzi huo umebaini kwamba, kula blueberry kupitia vidonge maalum vya kusaidia afya au supplements kunaweza kumpatia mtu faida kubwa katika ubongo. Hata hivyo wataalamu hao wameshauri kuwa ni bora tunda hilo liliwe katika hali ya kawaida.  &lt;br /&gt;Huko nyuma pia wataaamu walieleza kuwa, Blueberry husaidia kupunguza usongo wa mawazo pamoja na kiwango cha juu cha gulukosi katika damu.&lt;br /&gt;Haya tena wadau…usichelewa kula tunda hili, najua katika nchi zetu za Afrika tunda hili halipatikana na ndio sababu hata jina lake katika kamusi yetu haliko, lakini usife moyo unaweza kupata tunda hilo madukani na katika supermarkets ambapo huhifadhiwa katika makopo au kama juisi. Kwa wale walioko ughaibuni basi  hakuna tabu hiyo na usikose kula tunda hilo tamu wakati wa msimu wake na wakati miwngine wowote.&lt;br /&gt;Daima tuzilinde afya zetu!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-6956763314587511968?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/6956763314587511968/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=6956763314587511968' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6956763314587511968'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6956763314587511968'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/kula-blueberry-kunaondoa-kunaongeza.html' title='Kula Blueberry  kunaongeza uwezo wa ubongo'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S12ywyIA2OI/AAAAAAAAAY4/fr8MAZfpujU/s72-c/blue.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3877647100276073441</id><published>2010-01-25T18:02:00.003+03:30</published><updated>2010-01-27T16:39:29.321+03:30</updated><title type='text'>FDA yathibitisha na kuitangaza dawa ya kwanza ya kutibu ugonjwa wa MS</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S12rhL-TCjI/AAAAAAAAAYw/7kwLwprSA10/s1600-h/ms2.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 320px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S12rhL-TCjI/AAAAAAAAAYw/7kwLwprSA10/s400/ms2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5430685312316803634" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Shirika la Kusimamia Chakula na Madawa la Marekani la FDA limethibitisha na kuipitisha dawa ya kwanza iliyotengenezwa kwa ajili ya kutibu tatizo la kutembea kwa wagonjwa wa MS (Multiple Sclerosis). Multiple Sclerosis ni ugonjwa wenye kuudhoofisha mwili kwa kiasi kikumbwa ambapo mfumo wa kulinda mwili hushambulia mfuko unaohifadhi mfumo wa kati wa neva au central nervous system, na kusababisha mwili kufa ganzi na kupooza. Wagonjwa wa MS huwa wanapoteza uwezo wa kutembea  na hata kuhitajia msaada wa kibaiskeli ili waweze kutembea. Kwa bahati mbaya hakuna tiba ya ugonjwa huo, ambao unawapata karibu watu milioni 2.5 duniani kote hasa watu wazima. Kwa mujibu wa FDA, wagonjwa wa MS waliopewa dawa hiyo inayojulikana kama Ampyra yenye jina la kitaalamu la Dalfampridine, wameweza kutembea vizuri. Wagonjwa hao wameweza kutembea masafa marefu, kusimama kwa muda mrefu na hata kupanda ngazi kwa urahisi. Watengenezaji wa dawa hiyo wana matumaini kuwa dawa hiyo itaanza kuingia madukani hivi karibuni.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3877647100276073441?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3877647100276073441/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3877647100276073441' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3877647100276073441'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3877647100276073441'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/fda-yathibitisha-na-kuitangaza-dawa-ya.html' title='FDA yathibitisha na kuitangaza dawa ya kwanza ya kutibu ugonjwa wa MS'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S12rhL-TCjI/AAAAAAAAAYw/7kwLwprSA10/s72-c/ms2.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-4984761948268694209</id><published>2010-01-23T12:59:00.004+03:30</published><updated>2010-01-23T13:02:02.511+03:30</updated><title type='text'>Mungu Ni Mkubwa</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1rBwm6c7SI/AAAAAAAAAYo/hEyPlyRjm5o/s1600-h/mungu+mkubwa.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 366px; height: 400px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1rBwm6c7SI/AAAAAAAAAYo/hEyPlyRjm5o/s400/mungu+mkubwa.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5429865341572148514" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Ingawa sio kawaida yangu kuposti picha au kuzungumzi masuala ambayo si masuala ya Afya, lakini picha hii imenivuta na nikashindwa kuikalia kimya... Kweli Mungu Mkubwa&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-4984761948268694209?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/4984761948268694209/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=4984761948268694209' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/4984761948268694209'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/4984761948268694209'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/mungu-ni-mkubwa.html' title='Mungu Ni Mkubwa'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1rBwm6c7SI/AAAAAAAAAYo/hEyPlyRjm5o/s72-c/mungu+mkubwa.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-9142192971120039583</id><published>2010-01-22T09:46:00.001+03:30</published><updated>2010-01-22T09:48:52.079+03:30</updated><title type='text'>Je, Madawa ya Kudhibiti Virusi vya Ukimwi Yanasaidia Vipi Kuzuia Ukimwi?</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1lDL2BdyuI/AAAAAAAAAYY/bdCZIENtKlk/s1600-h/dawa.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 231px; height: 300px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1lDL2BdyuI/AAAAAAAAAYY/bdCZIENtKlk/s400/dawa.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5429444696531127010" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Leo nitazungumzia kuhusu dawa za kurefusha maisha ya waathirika wa ukimwi yaani ARV. &lt;br /&gt;Madawa haya huitwa Antiretroviral therapy (ARVs) kwa lugha ya Kiingereza. Dawa hizi hupigana dhidi ya virusi vinavyosababisha ukimwi. Madawa haya huwasaidia wale walio na virusi hivi kukaa katika afya nzuri. Aina nyingine ya madawa haya ni Protease Inhibitors. Aina hii huzingira virusi na kuzizuia kuzaana. Aina mbili hizi za madawa zikitumiwa pamoja, hupunguza idadi ya virusi hivyo na mwishowe hupunguza idadi ya vifo. Takwimu zinaonyesha kuwa watu wengi waliotumia mchanganyiko huo wamepata nafuu. Mfano watu wengine walikuwa wameshindwa kufanya kazi, lakini wameweza kurudi makazini baada ya kutumia madawa hayo. &lt;br /&gt;Matibabu kwa Kutumia Aina Moja ya Dawa (Monotherapy) &lt;br /&gt;Matibabu mengine ya haya ya kutumia dawa aina moja tu. Matumizi haya hupunguza hatari ya kuambukiza virusi hivyo. Kwa mfano kutoka kwa mama hadi kwa mtoto wake mchanga. Tiba ya aina hii haitumiwi sana kwa sababu, mwili hujenga kinga dhidi ya aina moja ya dawa baada ya muda fulani. &lt;br /&gt;Matibabu kwa Kutumia Mchanganyiko wa Madawa (Combination Therapy) &lt;br /&gt;Matumizi ya aina mbili au zaidi wa dawa hizo hutumika kuwasaidia watu wenye ukimwi. Hii ni kwa sababu aina mbali mbali za madawa hupigana na virusi kwa njia tofauti, na kwa hivyo huwa na mafanikio zaidi zinapotumiwa kwa pamoja. Kuna mchanganyiko wa aina tofauti, lakini madawa mengine hayawezi kutumiwa kwa pamoja kwani, yanafanya kazi kinyume cha madawa mengine. Madawa ya aina hiyo yanaweza kutumiwa na watoto kwa kiasi fulani. Lakini ni vyema tukumbushe hapa kuwa watu wengi wanaendelea kuambukizwa virusi ivya ukimwi barani Afrika hasa katika eneo la kusini mwa jangwa la Sahara. Na Imeelezwa kuwa nusu ya maambukizo hayo huwakumba watu wasio na uwezo wa kununua madawa hayo pamoja na kushindwa kuyatumia inavyopasa. &lt;br /&gt;Je utumiaji wa dawa hizo unaweza kuwa njia  ya kuzuia ukimwi? &lt;br /&gt;Matumizi ya madawa haya yanaweza kuwa njiai ya kuzuia kuenea kwa ukimwi kwa njia mbili. Mosi kwa kuwatibu watu walioingia kwenye hatari ya kupata ukimwi au kuwapa nafuu watu walio na virusi ili kuzuia maambukizo zaidi kwa wapenzi wao. &lt;br /&gt;Matibabu ya Kuzuia Uambukizo Mara Mtu Anapoingia Katika Hatari (Yaani Post-Exposure Prophylaxis) PEP &lt;br /&gt;Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni unaonyesha kuwa, utumiaji wa dawa za AZT mara tu baada ya kudungwa sindano iliyo na damu yenye virusi vya ukimwi, umepunguza maambukizo kwa asilimia 79. Ni vyema kuashiria hapa kuwa, hatari ya wauguzi au matabibu kupata ukimwi baada ya kudungwa  na sindano iliyo na damu yenye virusi hivyo ni karibu asilimia 0.32. Hatari ya kupata ugonjwa kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya kwa sindano au kwa kufanya mapenzi, ni kubwa mno pia. Inakadiriwa kwa wale wote wanaofanya mapenzi kwa kutumia sehemu ya haja kubwa wana hatari ya kuambukizwa virusi vya ukimwi kutoka kwa mpenzi aliye na vyo kwa asilimia 0.5 hadi 3 na wale wanaotumia njia ya kawaida kwa asilimia 0.1. Aidha hatari ya kupata ugonjwa wa ukimwi kwa kutumia pamoja sindano ya madawa ya kulevya ni asilimia 0.4 hadi 3. &lt;br /&gt;Nukta ya Kuzingatia: &lt;br /&gt;Matumizi ya madawa haya ya kuongeza muda wa kuishi kwa waathirika wa ukimwi yanahitaji mgonjwa kula chakula bora kila mara, chakula ambacho kinaambatana na madawa haya. Mgonjwa pia anapaswa kunywa maji mengi na kuhakikisha kwamba anahifadhi dawa hizi katika mazingira mazuri. Kwa hiyo dawa hizi hutumiwa na wale walioambukizwa virusi vya HIV baada ya kupima na kushauriwa kiutaalamu hospitalilini au kwenye kituo cha afya na huanza kutumia madawa hayo kulingana na namna alivyoathirika. Mgonjwa anaweza k kutumia madawa haya kwa uarahisi, lakini bado kuna  gumu kwa wagonjwa wengi wanaoishi katika hali duni ya maisha. Hofu ya kudhulumiwa, kushukiwa na kubaguliwa yote hayo huwafanywa wagonjwa wengi barani Afrika wakatae dawa hizo za ARV,s.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-9142192971120039583?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/9142192971120039583/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=9142192971120039583' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/9142192971120039583'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/9142192971120039583'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/je-madawa-ya-kudhibiti-virusi-vya.html' title='Je, Madawa ya Kudhibiti Virusi vya Ukimwi Yanasaidia Vipi Kuzuia Ukimwi?'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1lDL2BdyuI/AAAAAAAAAYY/bdCZIENtKlk/s72-c/dawa.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-8075007607345300830</id><published>2010-01-21T15:09:00.001+03:30</published><updated>2010-01-21T15:11:22.044+03:30</updated><title type='text'>Siri ya  kuishi maisha marefu</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1g9W7D4BeI/AAAAAAAAAYQ/QHtowxD4Oqs/s1600-h/long.jpg"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 397px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1g9W7D4BeI/AAAAAAAAAYQ/QHtowxD4Oqs/s400/long.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5429156814815495650" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kundi moja la wataalamu wa moyo limeelezea masuala muhimu ambayo yanamsaidia mtu kuishi maisha marefu kama ifuatayo:-&lt;br /&gt;1. Jiweke mbali na sigara.&lt;br /&gt;2. Epuka unene.&lt;br /&gt;3. Fanya mazoezi.&lt;br /&gt;4. Kula lishe bora.&lt;br /&gt;5. Hakikisha unacheki na kupima kiwango cha kolestero mwilini, shinikizo la damu na  sukari na kuhakikisha viko katika kiwango kinachotakiwa. &lt;br /&gt;Uchunguzi huo umeonyesha kwamba watu wengi umri wa kuanzia miaka 50 ambao wanaishi kwa kufuata masharti hayo huwa na uwezo wa kuishi miaka 40 zaidi  bila kupata shinikizo la damu na ugonjwa wa moyo, ambayo ni magonjwa makuu mawili yanayoua watu zaidi duniani. Wataalamu wamesema kwamba, kila mtu anayetaka kuishia maisha marefu anatakiwa kufuata ushauri ufuatao:&lt;br /&gt;• Jiepushe kuvuta sigara au acha kuvuta sigara kabisa.&lt;br /&gt;• Hakikisha BMI yako haizidi 25.&lt;br /&gt;• Kila wiki pata dakika zisizopungua 150 za kufanya mazoezi ya kawaida. &lt;br /&gt;• Jitahidi kufuata maelekezo ya kula lishe bora ambayo ni: vikombe 4 na nusu vya matunda na mboga mboga kwa siku, samaki mara  mbili au tatu kwa wiki. Usinywe sana vinywaji vyenye sukari, kula vyakula vyenye ufumwele kila siku na chumvi isizidi miligram 1,500 kwa siku.&lt;br /&gt;• Kiwango cha kolestero au mafuta katika damu yako kisizidi 200.&lt;br /&gt;• Shinikizo lako la damu lisiwe zaidi ya 120 chini ya 80.&lt;br /&gt;• Sukari katika damu iwe chini ya 100.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-8075007607345300830?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/8075007607345300830/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=8075007607345300830' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8075007607345300830'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8075007607345300830'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/siri-ya-kuishi-maisha-marefu.html' title='Siri ya  kuishi maisha marefu'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1g9W7D4BeI/AAAAAAAAAYQ/QHtowxD4Oqs/s72-c/long.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-5050054936680862315</id><published>2010-01-20T14:38:00.001+03:30</published><updated>2010-01-20T14:40:00.808+03:30</updated><title type='text'>Jinsia ya mtoto kupimwa kwa kupitian damu</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1bkefC4uaI/AAAAAAAAAYI/mSgvzqmCR7c/s1600-h/kitunguu.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 399px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1bkefC4uaI/AAAAAAAAAYI/mSgvzqmCR7c/s400/kitunguu.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5428777613222525346" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Uchunguzi mpya umeonyesha kwamba, wazazi wataweza katika siku zijazo kujua jinsia ya watoto wao ambao bado hawajazaliwa wakati wa ujauzito kwa kupimwa damu. Kwa kawaida kipimo cha Utrasound huweza kuonyesha jinsia ya kijusi ( fetus) wakati wa miezi mitatu ya pili ya ujauzito. Hivyo, pale inapotakiwa kujua jinsia ya mtoto atakayezaliwa katika wakati wa mwanzo wa ujauzito  kutokana na sababu za kitiba, huwa inabidi zitumike njia nyinginezo ambazo ni ngumu zaidi kama vile kupimwa homoni na mada ziliozoko katika maji yanayomzunguka mtoto tumboni au amniocentesis, njia mbayo baadhi ya wakati huweza kuifanya mimba itoke. &lt;br /&gt;Lakini kumepatikana matumaini mapya ya kujua kwa urahisi na mapema jinsia ya mtoto aliyeko tumboni, baada ya uchunguzi uliochapishwa katika jarida la Magonjwa ya Wanawake na Uzazi kueleza kuwa, kipimo hicho cha damu ya mama mjamzito, kinachoweza kufanywa mapema katika wiki ya 7 ya ujauzito, kinaweza kuonyesha kwa uhakika jinsia ya mtoto kijusi.  Katika majaribio mbalimbali kipimo hicho kimeonyesha kuwa sahihi kwa asilimia 100, kwa kutumia jeni mbili zinazopatikana katika kromozomu ya jinsia ya Y.  &lt;br /&gt;Wataalamu wanaamini kwamna kipimo hicho kitaanza kutumika hivi karibuni na kuchukua nafasi ya njia nyinginezo ngumu na zenye hatari, ili kujua jinsia ya mtoto aliyeko tumboni mapema wakati wa ujauzito, na kusaidia kuamua iwapo mimba itolewe au istolewa pale inapogunduliwa kuwepo kwa baadhi ya magonjwa ya kurithi yanayoambatana na jinsia.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-5050054936680862315?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/5050054936680862315/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=5050054936680862315' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/5050054936680862315'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/5050054936680862315'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/jinsia-ya-mtoto-kupimwa-kwa-kupitian.html' title='Jinsia ya mtoto kupimwa kwa kupitian damu'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1bkefC4uaI/AAAAAAAAAYI/mSgvzqmCR7c/s72-c/kitunguu.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3565288191902875530</id><published>2010-01-18T19:11:00.003+03:30</published><updated>2010-01-18T19:14:47.157+03:30</updated><title type='text'>Kwikwi husababishwa na nini?</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1SBUofXHlI/AAAAAAAAAYA/xSPv1h30QXM/s1600-h/hic.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 266px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1SBUofXHlI/AAAAAAAAAYA/xSPv1h30QXM/s400/hic.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5428105642354613842" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kusoma makala inayohusu kijana mmoja  aliyesumbuliwa na kwikwi kwa  zaidi ya miaka miwili na nusu, na baadaye kutibiwa tatizo hilo kwa kufanyiwa upasuaji wa ubongo na kutolewa tezi, nimeamua leo nizungumzie kwikwi.&lt;br /&gt;Kwiki ni kitendo kisichozuilika ambacho hutokana na kusinyaa kwa kuta za kiwambo cha moyo au diaphragm. Kwa kawaida kwikwi ni kitendo kinachojirudia rudia mara nyingi. Sauti ya 'hic' inayotokea wakati unapokuwa na kwikwi husababishwa na kidaka tonge (epiglottis) ambacho hufunga haraka wakati hewa inapoingia kwenye koo. Kupiga kwikwi kwa kawaida hakuna maumivu lakini mara nyingine husumbua hasa inapoendelea kwa muda mrefu. Kwikwi ya kawaida huweza kutulizwa kwa kunywa maji, lakini wakati mwingine kufanya hivyo hakusaidii. &lt;br /&gt;Zifutazo ni sababu zinazoweza kukuletea kwikwi&lt;br /&gt;1. Kula kwa haraka.&lt;br /&gt;2. Kula chakula cha moto na kunywa maji baridi baada yake.&lt;br /&gt;3. Kulia au kukasirika.&lt;br /&gt;4. Kula chakula chenye viungo vingi au pilipili.&lt;br /&gt;5. Kula chakula cha moto sana.&lt;br /&gt;6. Kunywa pombe au soda kwa wingi.&lt;br /&gt;7. Kukohoa sana.&lt;br /&gt;8. Kucheka kupita kiasi.&lt;br /&gt;9. Kufurahi sana, kusisimka au kupatwa na msituko.&lt;br /&gt;Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa, vitu ambavyo vinakiletea karaha kiwambo cha moyo au diaphragm husababisha kwikwi. Kuna sababu nyingi ambazo husababisha jambo hilo na hizo tulizotaja hapo juu ni miongoni mwazo,ambapo matokeo yake ni humfanya mtu apige kwikwi. Kwikwi kwa kawaida huisha baada ya dakika chache au hata sekunde. Lakini iwapo kwikwi itaendelea kwa masaa au kwa siku, huweza kuwa ni tatizo muhimu la kitiba na pengine hali kama hiyo inaweza ikawa inasababiswa na ugonjwa. &lt;br /&gt;Kuna baadhi ya watu hupata kwikwi sana wakati wa ujauzito, baada ya kufanyiwa operesheni na hata watoto wachanga pia hupatwa na kwikwi mara kwa mara.  Wajawazito hupata kwikwi sana mwishoni mwa miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito na mwanzoni mwa miezi mitatu ya pili.  Kwikwi hutokea  wakati wa ujauzito ni kwa sababu wakati huo uwezo wa kuvuta hewa ndani ya mapafu na kutoa nje huongezeka kwa asilimia 30 hadi 40 ikilinganishwa na hali ya kawaida. Hakuna sababu inayojulikana inayosababisha kwikwi kwa watoto wachanga, na wazazi wanashauriwa wasitiwe hofu na suala hilo. Hii ni katika hali ambayo kwikwi baada ya upasuaji husababishwa na nusu kaputi au anesthesia.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3565288191902875530?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3565288191902875530/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3565288191902875530' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3565288191902875530'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3565288191902875530'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/kwikwi-husababishwa-na-nini.html' title='Kwikwi husababishwa na nini?'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1SBUofXHlI/AAAAAAAAAYA/xSPv1h30QXM/s72-c/hic.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-7915223035157629649</id><published>2010-01-18T17:38:00.003+03:30</published><updated>2010-01-18T17:47:25.177+03:30</updated><title type='text'>Liche ya Mediterani huzuia hatari ya kupatwa na kensa ya tumbo</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1RtZ2l4JGI/AAAAAAAAAX4/JsxX2uEk36g/s1600-h/lishe2.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 266px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1RtZ2l4JGI/AAAAAAAAAX4/JsxX2uEk36g/s400/lishe2.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5428083741806830690" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Uchunguzi mpya umebaini kuwa, lishe ya Mediterani inaweza kusadia kupunguza uwezekano wa kupatwa na kensa ya tumbo. Lishe hiyo pia ina faida mbalimali kwa afya. Lishe ya Mediterani pia inapunguza hatari ya kupatwa na magonjwa kadhaa kama vile kisukari, magonjwa ya kuzaliwa, magonjwa ya mishipa ya damu, Alzheimer, msongamano wa mawazo na fikra,(depression) uvimbe na vifo vya watoto wachanga. Lishe ya Mediterani ni lishe yenye matunda, mboga mboga, ufumwele samaki, nafaka, mafuta ya zaituni huku nyama nyekundu na vyakula vinavyotokana na maziwa vikiwa kwa uchache.&lt;br /&gt; Inaaminiwa kwamba, lishe nya namna hiyo inamlinda mtu asipatwe na kensa ya tumbo, huku ikisisitizwa kwamba lishe za aina nyinginezo huongeza hatari ya ugonjwa huo. Saratani ya utumbo ni saratani ya pili inayowapata watu kwa wingi ulimwenguni, na wataalamu wanasema kuwa kula lishe ya Mediterani hupunguza uwezekano wa kupatwa na kensa hiyo kwa asilimia 33. &lt;br /&gt;Wataalamu wanawahusia watu kula vyakula ambavyo ni bora kwa afya zao  na kuvijua vyakula ambavyo vinawalinda watu wasipatwe na magonjwa mbalimbali kama huo wa saratani ya tumbo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-7915223035157629649?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/7915223035157629649/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=7915223035157629649' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7915223035157629649'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7915223035157629649'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/liche-ya-mediterani-huzuia-hatari-ya.html' title='Liche ya Mediterani huzuia hatari ya kupatwa na kensa ya tumbo'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1RtZ2l4JGI/AAAAAAAAAX4/JsxX2uEk36g/s72-c/lishe2.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3766268955973851806</id><published>2010-01-16T09:49:00.001+03:30</published><updated>2010-01-16T09:51:32.764+03:30</updated><title type='text'>Je… Waijua homa?.... sehemu ya kwanza</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1Fa1UE8b8I/AAAAAAAAAXg/tgPhCCpriAE/s1600-h/fevermale.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1Fa1UE8b8I/AAAAAAAAAXg/tgPhCCpriAE/s400/fevermale.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5427218897927172034" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Homa hutokea pale joto la mwili linapopanda. Kitaalamu joto la mwili hupanda pale linapozidi nyuzi joto 37 au Farenheit 98.6 kwa kipimo kinachokuliwa mdomoni au nyuzi joto 37.2 au Farenheit 99  kwa kipimo kinachochukuliwa katika makalio (rectal temperature). Hata hivyo kipimo cha wastani na joto la mwili huweza kupanda au kupungua kwa nyuzi joto 0.6 au Farenheit 1 kutoka Farenheit 98.5. Joto la miwli huweza kuongezeka kwa nyuzi joto 0.6 au Farenheit 1 wakati wa mchana. Kwa hivyo homa haichukuliwi kuwa ni hatari hadi pale joto la mwili llinapozidi nyuzi joto 38 au Farenheit 100.4. Homa inasaidia mwili kujilinda na bakteria na virusi ambavyo haviwezi kuishi katika joto kali. Kwa sababu hiyo, joto la chini kwa kawaida halitibiwi, hadi pale linapoambatana na dalili mbalimbali nyinginezo. Homa ni dalili mojawapo ya ugonjwa, na mara nyingi haizingatiwi hadi pale inapoandamana na dalili nyinginezo kama kukohoa, kuvimba koo, maumivu na kadhalika. Homa ya kufikia nyuzi joto 40 au Farenheit 104 inahitajia matibabu ya haraka, kwani isipotibiwa huweza kusababisha matatizo ya ubongo yanayopelekea kutapatapa usingizini kama vile kuota njozi au mawenge, pamoja na degedege hasa kwa watoto. &lt;br /&gt;Themometa za dijitali zinaweza kutumika kupima joto kwa njia ya mdomoni, kwapani au katika makalio. Wataalamu wanashari ni bora isitumiwe themometa ya glasi yenye mekyuri, na ni bora wazazi wasiwe na themometa za aina hizo majumbani ili kuzuia hatari ya mada hiyo hatari yenye sumu. &lt;br /&gt;Ni muhimu kutambua kuwa kipimo cha joto kinachochukuliwa kwapani si sahihi sana kikilinganishwa na kile cha mdomoni na makalioni (rectal) na kwa kawaida huwa pungufu kwa nyuzi joto moja kuliko kile kinachochukuliwa mdomoni.&lt;br /&gt;….makala hii inaendelea.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3766268955973851806?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3766268955973851806/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3766268955973851806' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3766268955973851806'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3766268955973851806'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/je-waijua-homa-sehemu-ya-kwanza.html' title='Je… Waijua homa?.... sehemu ya kwanza'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S1Fa1UE8b8I/AAAAAAAAAXg/tgPhCCpriAE/s72-c/fevermale.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-1356715401604046128</id><published>2010-01-14T15:11:00.001+03:30</published><updated>2010-01-14T15:16:01.574+03:30</updated><title type='text'>Umbo la kibantu hoyee… makalio makubwa na mahips bora kwa afya</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S08D8RwzAMI/AAAAAAAAAXY/zePr0U2yzEI/s1600-h/am.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 200px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S08D8RwzAMI/AAAAAAAAAXY/zePr0U2yzEI/s400/am.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5426560410099843266" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Haya tena ukishangaa ya Musa utaona ya Firauni!...uchunguzi uliofanywa nchini Uingereza umeendelea kulipandisha chati umbo la kibantu, kwa kusema kwamba, kuwa na unene zaidi eneo la mapajani, katika makalio na katika mahips ni vizuri kiafya, na humzuia mtu asipate  matatizo ya kiafya. &lt;br /&gt;Wataalamu wanasema kuwa, mafuta yanayopatikana katika mahips, huondoa fati asidi mbaya kiafya ambazo huwa na mada za kuzuia uvimbe ambazo huifanya mishipa ya damu isizibe. Timu hiyo ya wachunguzi imesema kuwa, makaliao makubwa ni bora kuliko mafuta ya zaida yanayojilundika katika mzunguko wa kiuno, ambayo hayasaidii chochote. Wachunguzi hao wamesema katika Jarida la Kimataifa la Obesiti kwamba, sayansi inapaswa kuangalia jinsi ya kuongeza mafuta katika eneo la mahips na  pengine katika siku zijazo madaktari watatakiwa kuangalia njia za kuyahamisha  mafuta mwilini na kuyapalekea katika sehemu za mahips ili kulinda afya za watu kutokana na magonjwa ya mishipa ya moyo na magonjwa mengineyo kama kisukari. Watafiti hao wameeleza kuwa, kuwa na mafuta kidogo katika hips kunaweza kupelekea matatizo makubwa ya umetaboli. &lt;br /&gt;Wataalamu hao wameendelea kusema kwamba, ushahidi unaonyesha kwamba, mafuta yanayozunguka mapaja na sehemu za nyuma ni vigumu kuyeyuka kuliko yale yaliyo katika kiuno. Ingawa suala hilo linaonekama kana kama ni kinyume, lakini ni kweli kwamba kutoyeyuka huko kuna faida kwani, wakati mafuta yanapoyeyuka kwa urahisi hutoa mada inayoitwa cytokines ambayo huleta uvimbe katika mwili.  Mada za cytokines zinahusiana moja kwa moja na magonjwa ya moyo na kisukari. Kuyeyuka taratibu kwa mafuta katika mapaja pia husababisha homoni ya adiponectin izalishwe kwa wingi na husaidia kudhibiti sukari katika damu na jinsi mafuta yanavyochomeka. Kuwa na mafuta mengi katika mzunguko wa tumbo  na kuwa na umbo mviringo kama 'tufaha' kunaongeza hatari ya kupatwa na magonjwa ya moyo na sukari. Dakta Konstantinos Manolopoulos aliyeongoza utafiti huo kutoka chuo kikuu cha Oxford amesema kuwa, la muhimu ni umbo na wapi mafuta yanakusanyika, na kwamba unene wa mahips na mapaja ni mzuri kuliko unene wa tumbo.&lt;br /&gt;Ameongeza kuwa, katika ulimwengu wa kawaida pia watu huonekana vyema wanapokuwa wanene mapajani, iwapo tu tumbo linakuwa dogo. Daktari huyo ameeleza kuwa, uchunguzi huo umewasaidia kufahamu vyema mafuta katika mwili ili kutafuta mikakati mipya ya kupunguza magonjwa ya moyo na mishipa ya damu. Iwapo mtu ana uzito mkubwa au ni mnene, au pale anapohisi kuwa mzunguko wa kiuno chake umeongezeka, ni muhimu kuanza kufanya mabadiliko ya jinsi anavyoishi kwa kula lishe bora na kufanya mazoezi ili kupunguza uwezekano wa kuapata matatizo ya moyo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-1356715401604046128?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/1356715401604046128/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=1356715401604046128' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1356715401604046128'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1356715401604046128'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/umbo-la-kibantu-hoyee-makalio-makubwa.html' title='Umbo la kibantu hoyee… makalio makubwa na mahips bora kwa afya'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S08D8RwzAMI/AAAAAAAAAXY/zePr0U2yzEI/s72-c/am.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-7886356769618628740</id><published>2010-01-13T16:04:00.003+03:30</published><updated>2010-01-14T14:05:47.464+03:30</updated><title type='text'>Chai ya kijani yaendelea kupigiwa debe kiafya</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S02-vCtWk3I/AAAAAAAAAXQ/FGL-Hkih7XM/s1600-h/chai.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S02-vCtWk3I/AAAAAAAAAXQ/FGL-Hkih7XM/s400/chai.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5426202841441538930" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huku chunguzi kemkem zikiendelea kuonyesha faida ya kunywa chai ya kijani au kwa kimombo green tea, wataalamu wa ugonjwa wa kensa wa Chuo Kikuu cha Taiwan wametangaza kwamba, kunywa chai ya kijani kunazuia kensa ya kifua. Utafiti huo unaofanywa kwa kuwashirikisha watu zaidi ya 500 unaongezea nguvu ushahidi unaosema kuwa, chai hiyo ina uwezo wa kuzuia kensa.  Katika utafiti huo, watu wanaovuta sigara na wale wasiovuta ambao walikunjwa kikombe kisichopungua kimoja cha chai kijani kwa siku, walipunguza uwezekano wa mapafu yao kupatwa na kensa. Hata hivyo wataalamu hao wamesema kwamba, utafiti huo mpya haumaanishi kwamba sigara sio hatari kwa afya. &lt;br /&gt;Chai ya kijani hutengenezwa kutoakana na majani makavu ya mmea wenye asili ya bara Asia unaoitwa Camellia sinesis, na hunywewa sana katika bara la Asia. Imeripotiwa kuwa kuna idadi ndogo ya wagonjwa wa  saratani barani Asia ikilinganishwa na sehemu nyinginezo duniani, suala ambalo linafungamanishwa na unywaji wa chai ya kijani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-7886356769618628740?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/7886356769618628740/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=7886356769618628740' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7886356769618628740'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7886356769618628740'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/chai-ya-kijani-yaendelea-kupigiwa-debe.html' title='Chai ya kijani yaendelea kupigiwa debe kiafya'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S02-vCtWk3I/AAAAAAAAAXQ/FGL-Hkih7XM/s72-c/chai.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-1739281486565527511</id><published>2010-01-13T15:46:00.005+03:30</published><updated>2010-01-14T14:05:01.732+03:30</updated><title type='text'>Kuangalia televisheni muda mrefu kunapunguza umri</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S025wWXbp2I/AAAAAAAAAXA/2Z8Su9lVRpk/s1600-h/tv.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 323px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S025wWXbp2I/AAAAAAAAAXA/2Z8Su9lVRpk/s400/tv.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5426197366340036450" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Utafiti wa hivi karibuni umeonyesha kwamba kuangalia televisheni kwa zaidi ya masaa mnne kwa siku kunapunguza umri. Wataalamu wa Australia wamegundua kwamba, watu ambao hukaa kwa muda mrefu wakitazama televisheni, wanakabliwa na hatari kubwa ya kupatwa na matatizo ya afya hasa magonjwa ya mishipa ya damu, suala ambalo huhatarisha maisha yao na kuwapunguzia umri.  Wanasema kwamba, kukaa muda mrefu mbele ya TV kuna hatari kubwa kwa maisha ya mtu kutokana na kuwa shughuli za kawaida za mtu ambazo ni pamoja na kusimama na kutumia misuli ya mwili huwa hazifanywi na mtu hukaa tu chini. Wataalamu hao wameelezea kuwa, watu wengi  kwa siku hujongea tu kutoka kiti kimoja hadi kingine, kutoka katika gari kuelekea ofisini na kutoka katika kiti cha ofisini hadi nyumbani katika kiti kingine mbele ya televisheni. &lt;br /&gt;Uchunguzi huo umetahadharisha kwamba, hata watu wenye afya zao za kawaida wanaweza wakawa wanakabiliwa na hatari kubwa kutokana na kukaa kwa muda mrefu suala ambalo huathiri kiwango cha sukari na mafuta katika damu. Hatari ya kukaa kwa muda mrefu haiwezi kuondolewa kwa kuanza kufanya mazoezi, kwani uchunguzi huo umegundua kuwa, hata watu wanaofanya mazoezi, iwapo wanaangalia tv kwa muda mrefu, pia wana hatari ya kuwa na maisha mafupi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-1739281486565527511?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/1739281486565527511/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=1739281486565527511' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1739281486565527511'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1739281486565527511'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/kuangalia-televisheni-muda-mrefu.html' title='Kuangalia televisheni muda mrefu kunapunguza umri'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S025wWXbp2I/AAAAAAAAAXA/2Z8Su9lVRpk/s72-c/tv.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-6417804981750109536</id><published>2010-01-11T19:03:00.001+03:30</published><updated>2010-01-11T19:04:41.724+03:30</updated><title type='text'>Matatizo ya Homoni huwafanya wakinamama wasipende kunyonyesha</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0tE_nYtYEI/AAAAAAAAAW0/-Z4nERNkUjo/s1600-h/african+breestfeading.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 265px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0tE_nYtYEI/AAAAAAAAAW0/-Z4nERNkUjo/s400/african+breestfeading.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5425506035792961602" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wakinamama wasiopenda kuwanyesha watoto wao wamekuwa wakitupiwa lawama nyingi katika jamii, lakini uchunguzi mpya umeonyesha kwamba huenda hali hiyo ikawa inasababishwa na matatizo la homini mwilini. Kwa mujibu wa uchunguzi uliochapishwa katika Jarida la Uzazi na Magonjwa ya Wanawake la Scandinavia, kiwango cha juu cha homini za testosterone za kiume wakati wa ujauzito, hupelekea wakinamama wasijisikie kunyonyesha baada ya kujifungua. Homoni za testosterone zina athari hasi katika ustawi wa tishu za matezi ya matiti ya kinamama, suala mbalo huathiri uwezo wa mama wa kumnyonyesha mwanaye. &lt;br /&gt;Chunguzi nyingi zimeeleza kumnyonyesha mtoto kuna faida tele kwa afya ya mama na mtoto, huku watoto wanaonyonyeshwa na maziwa ya mama wakionekana kuwa na afya zaidi na kutopatwa na hatari ya kuwa na unene wa kupindukia, wakilinganishwa na wale wanaopewa maziwa ya kopo. Kunyonyesha pia humzuia mtoto asipatwe na magonjwa ya moyo, kisukari, magonjwa kadhaa ya kifua, masikio, shinikizo la damu, ugonjwa wa ngozi (eczema), upungufu wa damu na asthma, huku kukimzuia mama kupata kensa ya matiti. &lt;br /&gt;Uchunguzi huo lakini umesema kuwa, kwa ujumla afya ya watoto wanaopewa maziwa ya kopo haina tofauti sana na ya watoto wanaonyonyeshwa maziwa ya mama. Hivyo wakinamama wasioweza kunyonyesha kutokana na sababu mbalimbali wasijisikie vibaya kutokana na suala hilo, na bora tu kuhakikisha kuwa afya ya mtoto inalindwa vyema.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-6417804981750109536?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/6417804981750109536/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=6417804981750109536' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6417804981750109536'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6417804981750109536'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/matatizo-ya-homoni-huwafanya-wakinamama.html' title='Matatizo ya Homoni huwafanya wakinamama wasipende kunyonyesha'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0tE_nYtYEI/AAAAAAAAAW0/-Z4nERNkUjo/s72-c/african+breestfeading.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-2634159657091577371</id><published>2010-01-11T18:24:00.001+03:30</published><updated>2010-01-11T18:25:22.336+03:30</updated><title type='text'>Operesheni ya kwanza duniani ya moyo kwa kutumia MRI yafanywa Uingereza</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0s71eLuaGI/AAAAAAAAAWs/2RStSPzN9C8/s1600-h/jack.jpg"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 226px; height: 170px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0s71eLuaGI/AAAAAAAAAWs/2RStSPzN9C8/s400/jack.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5425495965919242338" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mtoto wa kiume wa miaka 6 nchini Uingereza amekuwa mtu wa kwanza duniani, kufanyiwa operesheni ya kupanua chemba ya moyo kwa kutumia muongozo wa MRI badala ya kutumia taswira ya X-ray. Jack Walborn alizaliwa na tatizo la moyo linalojulikana kama Pulmonary Valve Stenosis, hali ambayo huzuia damu kuingia katika mapafu. Kwa kutumia MRI, kunamaanisha kwamb wagonjwa hawatakuwa tena na haja ya kupigwa miale ya X- ray, hasa watoto wadogo. MRI pia inaonyesha taswira nzuri zaidi na kutoa taarifa kuhusiana na tishu za mwili wakati huo huo wa upasuaji. Mtoto Jack alikuwa na tatizo ambalo, damu iliyotoka upande wa kulia wa moyo wake haikuweza kuzunguka. Madaktari wa upasuaji waliamua kuwa, mtoto huyo anahitajia operesheni inayoitwa "valvuloplastry" ili kupanua chemba ya moyo na kuongeza mzunguzuko wa damu. Suala hilo hufanyika kwa kuingizwa mrija au katheta (catheter) katika mshipa wa damu kwenye mkono na kuuisukuma tararibu mrija huo au kuuongoza hadi kwenye moyo. Katika ncha ya mrija huo hufungwa puto ambalo hujazwa hewa ili kupanua chemba ya sehemu hiyo ya moyo iliyo nyembamba. Kwa kawaida X-ray hutumiwa kuangalia na kuongoza harakati ya katheta katika mwili. Lakini timu ya wataalmu wa Afya wa London imegundua njia ya kutumia MRI badala ya X-ray, na upasuaji wa kijana huyo mdogo unaonekana kuwa ni mafanikio makubwa katika uwanja huo. Baada ya kumalizika opersheni hiyo, baadaye Jack alipotoka chumba cha upasuaji alikuwa akikimbia huko na huko na kujisikia vyema. Wataalamu wanasema kwamba, teknolojia hiyo ni mafanikio makubwa, na katika mustaqbali wanataraji wagonjwa wengi wengine watafaidika kwa kutumia MRI badala ya X-ray, na kuepuka kupigwa miale kwani MRI haiumii miale.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-2634159657091577371?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/2634159657091577371/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=2634159657091577371' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2634159657091577371'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2634159657091577371'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/operesheni-ya-kwanza-duniani-ya-moyo.html' title='Operesheni ya kwanza duniani ya moyo kwa kutumia MRI yafanywa Uingereza'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0s71eLuaGI/AAAAAAAAAWs/2RStSPzN9C8/s72-c/jack.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3935066337528566829</id><published>2010-01-10T12:31:00.001+03:30</published><updated>2010-01-10T12:33:18.085+03:30</updated><title type='text'>Chai yaweza kuwazuia wanawake wasipate kensa ya kizazi</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0mXzqHgvsI/AAAAAAAAAWk/lE-HWRUfsAM/s1600-h/tea.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 269px; height: 400px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0mXzqHgvsI/AAAAAAAAAWk/lE-HWRUfsAM/s400/tea.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5425034139879390914" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kama wewe ni mwanamke na hupendi kunywa chai itabidi ifikirie tena suala hilo, kwani wanasayansi wamegundua katika uchunguzi wao wa hivi karibuni kwamba, miongoni mwa faida za chai ni kuzuia hatari ya kupatwa na kensa ya kizazi. Huko nyuma pia tafiti mbalimbali zilionyesha faida kemkem za chai. Uchunguzi huo mpya umeonyesha kuwa, chai ambayo ni kinywaji cha pili kunywewa na watu wengi zaidi duniani, inaweza kuzuia kensa ya kizazi (endometrial cancer). Wataalamu wanasema mada ya polyphenols inayopatikana kwa wingi kwenye chai, kwa muda mrefu imeonekana kwamba moja ya faida zake ni kusaidia kupunguza ukubwa wa tezi za saratani, na sasa imegundulika kuwa pia ina faida kwa kensa ya kizazi.  Uchunguzi huo umechapishwa katika jarida la Uzazi na Magonjwa ya Wanawake la Marekani, na kueleza kwamba, chai ambayo ina anti oxidanti nyingi inaweza kupunguza uwezekano wa kupatwa na kensa ya kizazi, saratani ambayo ni ya nne kuwapata kwa wingi wanawake nchini Marekani. Hata hivyo wataalamu wamesema kuwa, utafiti zaidi unapaswa kufanywa ili kuthibitisha zaidi utafiti wao huo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3935066337528566829?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3935066337528566829/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3935066337528566829' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3935066337528566829'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3935066337528566829'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/chai-yaweza-kuwazuia-wanawake-wasipate.html' title='Chai yaweza kuwazuia wanawake wasipate kensa ya kizazi'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0mXzqHgvsI/AAAAAAAAAWk/lE-HWRUfsAM/s72-c/tea.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-8459685522689450928</id><published>2010-01-07T13:54:00.003+03:30</published><updated>2010-01-07T13:59:16.923+03:30</updated><title type='text'>Komamanga huweza kuzuia kensa ya matiti isitambae mwilini</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0W3DPJUn-I/AAAAAAAAAWc/lG2N_453nLg/s1600-h/pom.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 398px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0W3DPJUn-I/AAAAAAAAAWc/lG2N_453nLg/s400/pom.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5423942592470753250" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Uchunguzi mpya umeonyesha kwamba, katika tunda la komamanga kuna kemikali zinazozuia kensa ya matiti isitambae. Uchunguzi huo uliochapishwa katika jarida la Utafiti wa Kuzuia Kensa umeoneysha kwamba, kemikali ziitwazo ellegitannins zinazopatikna kwa wingi kwenye komamanga, zinaweza kuzuia kimeng’enya (enzyme) aina ya aromatase, suala ambalo huzuia kukua kwa homoni ya estrogen inayopatikana katika kensa ya matiti. Shiuan Chen Kiongozi wa uchunguzi huo amesema kwamba, kemikali hizo kupunguza uzalishwaji wa estrogeni, na kusaidia kuzuia seli za kensa ya matiti zisizaliane,  pamoaja na tezi la ugonjwa huo lisikue.&lt;br /&gt;Aromatase, ni kimeng’enya ambacho hugeuza homini ya androgeni kuwa estrogeni, na kushambulia kimeng’enya hicho ndio lengo kuu la dawa za kupambana na kensa za matiti inazosababishwa na homoni ya estrogen. &lt;br /&gt;Huko nyuma pia chunguzi zilionyesha kwamba tunda la komamanga lina faida kubwa kiafya hasa kwa kuwa na anti oxidanti nyingi na vitamini mbalimbali, ambazo hulifanya tunda hilo liweze kusaidia katika kupambana na magonjwa ya saratani, matatizo ya moyo na hata ugonjwa wa kusahau uzeeni au Alzheimer. Anti oxidanti huzuia radikali huru ambazo ni hatari sana kwa miili yetu. Uwezo huo humepekea mwili kukabilina na magonjwa mbalimbali  hata  ugonjwa wa homa ya mafua ya nguruwe. &lt;br /&gt;Kama huwezi kupata tunda la Komamanga sokoni, basi unaweza kutumia juisi ya komamanga na daima tutunze afya zetu!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-8459685522689450928?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/8459685522689450928/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=8459685522689450928' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8459685522689450928'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8459685522689450928'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/komamanga-huweza-kuzuia-kensa-ya-matiti.html' title='Komamanga huweza kuzuia kensa ya matiti isitambae mwilini'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0W3DPJUn-I/AAAAAAAAAWc/lG2N_453nLg/s72-c/pom.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-1588344426756522289</id><published>2010-01-06T16:12:00.003+03:30</published><updated>2010-01-06T16:17:37.170+03:30</updated><title type='text'>Namna ya kujikinga na Ugonjwa wa Kifua Kikuu… sehemu ya mwisho</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0SGX2PBBTI/AAAAAAAAAWU/x96PtMpuLCg/s1600-h/baby-gets-vaccine-dose.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 225px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0SGX2PBBTI/AAAAAAAAAWU/x96PtMpuLCg/s400/baby-gets-vaccine-dose.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5423607595514529074" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna njia mbalimbali zakujikinga na ugonjwa wa Kifua kikuu au TB ambazo ni:&lt;br /&gt; Kujikinga na Kifua Kikuu kunaanzia kabla ya mtu kupatwa na ugonjwa huo kwa watu wa kaiwada, ambapo kinga ya kuulinda mwili na ugonjwa huo hutolewa kwa watoto wadogo baada ya kuzaliwa.  Kinga hiyo ya Kifua kikuu huitwa BCG yenye maana ya ( Bacillus Calmette- Guerin (BCG).&lt;br /&gt; Kuwakinga watu wa familia za wale walio karibu na  wanaouguwa ugonjwa wa Kifua Kikuu.&lt;br /&gt; Kuwakinga wale wenye vijidudu vya ugonjwa wa kifua kikuu mwilini mwao lakini bado dalili za ugonjwa huo hazijajitokeza.&lt;br /&gt; Kuwakinga wale waliokuwa katika hatari ya kupatwa ugonjwa wa Kifua Kikuu.&lt;br /&gt;Dawa aina ya Isoniazid (INH) inaweza kutumika katika kuzuia Kifua Kikuu kwa wale waliokuwa na vijidudu vya Kifua Kikuu katika miili yao lakini bado dalili za ugonjwa huo hazijajitokeza. Huko nyuma dawa aina ya Rifampin ilikuwa ikitumika kuzuia TB lakini kwa wale ambao dawa ya Isoniazid haikuwafaa. &lt;br /&gt;Ugonjwa wa Kifua Kikuu ni ugonjwa unaozuilika kwa kiasi kikubwa. Ili kuwazuia watu wasipate ugonjwa huo inapasa watu walioambukizwa ugonjwa huo wajulikane mapema, hasa wale wanaokabiliwa na hatari kubwa ya kuonyesha dalili ya ugonjwa huo katika siku za usoni. Dawa ya INH inatumiwa kwa kiasi kikubwa kuzuia watu wasipate ugonjwa wa TB ambao wanaishi karibu na wagonjwa wa Kifua Kikuu au wale wenye  uhusiano na wagonjwa hao, au wale wenye vimelea vya Tubercle bacilli  katika miili yao lakini bado hawajafikia katika hali ya kuwa na TB halisi. Dawa hiyo hupewa na kutumiwa kila siku kwa miezi 12 mfululizo.&lt;br /&gt; Katika nchi zilizoendelea kama vile Marekani, watu wa makundi yafuatayo wanapaswa kupewa dawa za kujikinga, bila kujali umri wao, iwapo huko nyuma hawajawahi kutibiwa ugonjwa wa Kifua Kikuu.&lt;br /&gt;1. Watu ambao wanaishi na kushirikiana na wale walioambukizwa ugonjwa wa kifua kikuu. (zaidi ya hayo watoto, na vijana ambao kipimo cha PPD kimeonyesha kuwa hawana ugonjwa huo, lakini kwa miezi mitatu wamekuwa wakiishi au kuwa na  wa karibu na wenye ugonjwa huo. Matibabu yanapaswa kuendelea hadi pale kipimo cha ngozi kitakapochukuliwa tena na majibu kuonyesha hawajaambukizwa ugonjwa huo. &lt;br /&gt;2. Watu ambao kipimo cha ngozi cha Kifua kikuu kimeonyesha wana ugonjwa huo, pamoja na wale ambao picha yao ya X-ray inaonyesha wana ugonjwa wa TB ingawa bado hawajaonyesha dalili za ugonjwa huo. (Inactive TB).&lt;br /&gt;3. Watu ambao kipimo cha ngozi cha kifua kikuu kimeonyesha wana ugonjwa huo lakini pia wanakabiliwa na hatari ya kuambukizwa magonjwa kama vile ya HIV, Kisukari au wale wanaotumia dawa aina ya Corticosteroid. &lt;br /&gt;4. Waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi na wale wanaodaniwa kuwa wameambukizwa virusi vya HIV na ambao wakati wowote huko nyuma kipimo cha ngozi kiliwahi kuonyesha wameambukizwa ugonjwa huo, hata kama hawana dalili. &lt;br /&gt;5. Wale wanaotumia madawa ya kulenya kwa njia ya kujitunga sindano, ambao vipimo vya ngozi vimeonyesha wameambukzwa ugonjwa huo, hata kama bado hawana dalili za ugonjwa huo. &lt;br /&gt;Watu wafuatao pia wenye  umri wa zaidi ya miaka 35, wanapaswa kupewa dawa za kuzuia kifua kikuu:&lt;br /&gt; Wale wanaoishi katika maeneo yenye maambukizo mengi ya TB.&lt;br /&gt; Watu ambao wanaishi katika mazingira magumu, wale ambao wana kipato cha chini na wanaishi katika maeneo yenye misongamano. &lt;br /&gt; Watu ambao wameishi kwa muda mrefu jela, majumba ya kulelea wazee na sehemu za watu wenye matatizo ya kiakili.&lt;br /&gt;Inapaswa kujua kuwa:&lt;br /&gt;o Wafanyakazi wa vitengo vya afya wambao mara kwa mara wanakutana na kuwashughulikiwa wagonjwa wa kifua kikuu wanapaswa kufanyiwa vipimo vya ngozi vya TB kila baada ya miezi 6. &lt;br /&gt;o Wagonjwa wenye kifua kikuu wanapaswa kufundishwa kuziba midomo yao na pua pale wanapokohoa au kupiga chafya.&lt;br /&gt;o Wagonjwa wenye Kifua Kikuu wanapaswa kutengwa na kuwekwa kwenye vyumba ambavyo hewa inabadilika kwa urahisi. &lt;br /&gt;o Wazazi wahakikishe kuwa watoto wao wanapatiwa kinga ya kifua kikuu katika wakati unaotakiwa.&lt;br /&gt;'Daima tuzitunze afya zetu'&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-1588344426756522289?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/1588344426756522289/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=1588344426756522289' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1588344426756522289'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1588344426756522289'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/namna-ya-kujikinga-na-ugonjwa-wa-kifua.html' title='Namna ya kujikinga na Ugonjwa wa Kifua Kikuu… sehemu ya mwisho'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0SGX2PBBTI/AAAAAAAAAWU/x96PtMpuLCg/s72-c/baby-gets-vaccine-dose.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-7116582153567409520</id><published>2010-01-04T15:24:00.002+03:30</published><updated>2010-01-04T15:27:36.507+03:30</updated><title type='text'>Watu wengi hawafahamu hatari ya kuwa wanene hasa kwa kuwa na matumbo makubwa</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0HXquCOASI/AAAAAAAAAWE/3G7H_sWKQWg/s1600-h/vs2.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 387px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0HXquCOASI/AAAAAAAAAWE/3G7H_sWKQWg/s400/vs2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5422852555242602786" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0HXj0C7AdI/AAAAAAAAAV8/MzbuhVPOYVM/s1600-h/vs1.gif"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 204px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0HXj0C7AdI/AAAAAAAAAV8/MzbuhVPOYVM/s400/vs1.gif" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5422852436597080530" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;!&lt;br /&gt;Karibu watu 9 kati ya 10 hawaelewi hatari inayowakabili kwa kuwa wanene hasa sehemu za tumboni na katika nyonga. Uchunguzi uliofanywa kwa kuwashirikishwa watu 12,000 wa nchi za Ulaya, umeonyesha kwamba, wengi wao hawajui kwamba kuwa na wanene sehemu za tumbo na nyonga ni dalili ya kuwa na ongezeko la mafuta kwenye viungo mbalimbali tumboni. Mafuta hayo yanayojulikana kitaalamu kama 'visceral fat' yanauhusiana moja kwa moja na ugonjwa wa kisukari aina ya pili na magonjwa ya moyo. Wataalamu wanasema kuwa, watu hawajui kwamba mafuta yanayokusanyika ndani ya mwili na kuzunguka viungo mbalimbali mwilini, ambayo hatuyaoni kwa macho au kuyahisi, ni yenye hatari kubwa. Hatari ya mafuta hayo inaweza kuwa ni kutoa protini na homoni ambazo zinaweza kuharibu mishipa ya damu, kuingia katika ini na kuathiri jinsi mwili unavyovunja vunja sukari na mafuta. Watu wengi waliokuwa wanene wanajihisi tu kuwa tatizo lao ni jinsi wanavyoonekana au namna wanavyopendeza na wala sio tatizo la kiafya. Uchunguzi umeonyesha kuwa, mzunguko wa kiuno au nyonga, ni ishara nzuri ya kukutambulisha kiwango cha mafuta ya visceral uliyonayo, na jinsi mzunguko huo unavyokuwa mkubwa ndivyo mafuta hayo yanavyoongezeka. Suala hilo huonyesha kwa kiasi gani mtu anaweza kupatwa na ugonjwa wa kisukari kinachotokana na  unene. Wakati mtu anapopunguza uzito mafuta hayo yanayozunguka kiuno na tumbo ni huyeyeyuka kwa rahisi, kuliko mafuta ambayo yako chini ya ngozi, na hata kupunguza uzito kwa kiasi kidogo kunapunguza mafuta hayo. Ni muhimu kujua kwamba, mafuta yanayozunguka tumbo yana hatari kubwa kw afya, na watu wanatakiwa wajitahidi kuwa na uzito unaotakiwa ili kutunza afya zao.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-7116582153567409520?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/7116582153567409520/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=7116582153567409520' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7116582153567409520'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/7116582153567409520'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/watu-wengi-hawafahamu-hatari-ya-kuwa.html' title='Watu wengi hawafahamu hatari ya kuwa wanene hasa kwa kuwa na matumbo makubwa'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0HXquCOASI/AAAAAAAAAWE/3G7H_sWKQWg/s72-c/vs2.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-5649031050471896046</id><published>2010-01-04T14:58:00.003+03:30</published><updated>2010-01-04T16:07:56.412+03:30</updated><title type='text'>Marekani yaondoa rasmi sheria ya kuwazuia waathirika wa Ukimwi kuingia Marekani</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0HRLrYe6GI/AAAAAAAAAV0/9aBbz89k5RY/s1600-h/ob.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 262px; height: 213px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0HRLrYe6GI/AAAAAAAAAV0/9aBbz89k5RY/s400/ob.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5422845424884967522" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Marekani imeondoa marufuku iliyodumu kwa muda wa miaka 22 ya kuwazuia wahamiaji walioathirika na virusi vya HIV/Aids kuingia nchini humo. Rais Barack Obama wa Marekani amesema kwamba sheria hiyo iliyoondolewa, haikuwa inaendana na mikakati ya Marekani ya kuongoza jitihadaza za kupambana na ugonjwa wa Ukimwi. Sheria hiyo mpya ambayo imeanza kutumiwa leo Jumatatu nchini Marekani, huku Washinton ikipanga kuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa Ukimwi kwa mara ya kwanza ifikapo mwaka 2012. Itakumbukwa kwamba marufuku ya kuwazuia waathirika wa Ukimwi wasiingie Marekani iliwekwa mwishoni mwa mwaka 1980, baada ya ugonjwa huo kuanza kutambulika duniani.  Marekani ilikuwa ni miongoni mwa nchi 12 ikiwepo Libya na Saudi Arabia ambazo zinazowazuia wageni walioambukizwa virusi vya Ukimwi kuingia katika nchi hizo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-5649031050471896046?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/5649031050471896046/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=5649031050471896046' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/5649031050471896046'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/5649031050471896046'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/marekani-yaondoa-rasmi-sheria-ya.html' title='Marekani yaondoa rasmi sheria ya kuwazuia waathirika wa Ukimwi kuingia Marekani'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0HRLrYe6GI/AAAAAAAAAV0/9aBbz89k5RY/s72-c/ob.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-1347656005003944205</id><published>2010-01-03T11:08:00.002+03:30</published><updated>2010-01-03T11:09:01.497+03:30</updated><title type='text'>Gundua siri ya kulala fofofo</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0BJjBkGMsI/AAAAAAAAAVs/uCoVBdlnhPM/s1600-h/slee.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 312px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0BJjBkGMsI/AAAAAAAAAVs/uCoVBdlnhPM/s400/slee.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5422414817418162882" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;UKOSEFU wa usingizi ni tatizo linalowasumbua wengi maishani, na inakisiwa kuwa zaidi ya humusi ya watu wazima wamewahi kutatizwa na usingizi wakati mmoja maishani mwao. &lt;br /&gt;Ukosefu wa usingizi hutatiza sana , hasa ikiwa utatokea usiku, na mwathiriwa kuhisi usingizi na uchovu mchana, wakati ambapo anafaa kuwa akifanya kazi. &lt;br /&gt;Kuna baadhi ambao, licha ya kulala masaa mengi, miili yao huhisi kwamba haijapata usingizi wa kutosha. Hii mara nyingi hutokana na kutoweza kupata usingizi haraka, kuamka mapema sana au kuwa na usingizi unaotatizika, au usio na raha. &lt;br /&gt;Hii mara nyingi hutokana na mfadhaiko, hamu au wasiwasi kuhusu jambo fulani, hisia pamoja na mazingira kwa mfano kelele, hali ya kitanda au hata watu walio karibu wakati wa kulala. &lt;br /&gt;Kufanya kazi kwa zamu, kwa mfano wakati mwingine usiku na mwingine mchana huwa pia sababu ya matatizo ya usingizi kwa kuwa mwili hushindwa kuzoea. Kufanya kazi zaidi, kunywa pombe kupindukia au hata kunywa vinywaji vyenye viwango vya juu vya kemikali aina ya kafeine ambayo hupatikana kwenye kahawa kadhalika huweza kusababisha matatizo haya. &lt;br /&gt;Matatizo ya mwili kwa mfano majeraha, tatizo la maumbile kama vile kusikia kelele ndani ya sikio tatizo ambalo hujulikana kitaalamu kama tinnitus aidha huweza kutatiza usingizi wa mwanadamu. &lt;br /&gt;Ukiweza kutambua kwa ufasaha kiini cha matatizo yako ya usingizi, unaweza kutafuta suluhisho. Kwa mfano, ikiwa kitanda kiko katika hali mbaya, unaweza kutafuta kingine, au hata kununua godoro na blanketi mpya. &lt;br /&gt;Kuwa na mtindo wa kulala kadhalika husaidia sana . Unafaa kuwa na masaa fulani ya kulala na kuamka ili mwili uzoee.&lt;br /&gt;Ubongo utakuwa tayari kila wakati huo ukifika kupumzisha mwili, na baadaye kuuamsha katika muda ufaao. &lt;br /&gt;Unaweza kualika usingizi kwa kutojishughulisha na mambo mengi wakati wa kulala unapokaribia, kuoga kwa maji moto kiasi au kusikiliza nyimbo tamu. Si ajabu kwamba mama anapotaka mtoto alale, humwimbia nyimbo tamu, na hii hufanikiwa na hata mtoto aliyekuwa akilia akiwa amejawa na hasira hatimaye hulala. &lt;br /&gt;Jiepushe pia na unywaji wa pombe kupindukia, au kunywa vinywaji vyenye viwango vya juu vya kafeine. Ikiwa tatizo lako ni mfadhaiko, tafuta mtaalamu wa matatizo ya fikira au mshauri atakayekusaidia kutua mzigo wa fikira.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-1347656005003944205?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/1347656005003944205/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=1347656005003944205' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1347656005003944205'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1347656005003944205'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/gundua-siri-ya-kulala-fofofo.html' title='Gundua siri ya kulala fofofo'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/S0BJjBkGMsI/AAAAAAAAAVs/uCoVBdlnhPM/s72-c/slee.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-6192290457255854321</id><published>2010-01-02T06:53:00.001+03:30</published><updated>2010-01-02T06:54:57.358+03:30</updated><title type='text'>Wanasayansi watengeneza mashine ambayo ni sawa na tumbo la mwanadamu</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/Sz68eM7tJ3I/AAAAAAAAAVk/i0bRrogStRU/s1600-h/Tumbo.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 320px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/Sz68eM7tJ3I/AAAAAAAAAVk/i0bRrogStRU/s400/Tumbo.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5421978228454401906" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wanasayansi wametengeneza mashine ambayo inafanya kazi kama tumbo la mwanadamu. Mashine hiyo imetengenezwa na watafiti wa Kitengo cha Uchunguzi wa Chakula cha Norwich. Mashine hiyo ina uwezo wa kufanya kila aina ya kazi zinazofanyika tumboni, na ina hali mbalimali za kibiokemikali zinazopatikana katika tumbo. Wanasayansi wametengeneza mashine hiyo ili iwasaidie katika uchunguzi wao kuhusiana na chakula katika tumbo la mwanadamu. Mashine hiyo imechukua miaka 10 kutengenezwa na itatumika katika majaribio ya dawa katika mfumo wa chakula. Waliotengeneza mashine hiyo wana matumaini kuwa, mashine hiyo itakuwa msaada mkubwa katika majaribio ya dawa ambayo ni vigumu kujaribishwa kwa mwanadamu kwenye viwanda vya kutengenezea madawa. Martin Stock msemaji wa Kiwanda cha Boioscience Ltd kilichotengeneza mashine tumbo hiyo amesema kuwa, kila mtu anafikiria kuwa tumbo ni kama mfuko ulijaa tu maji na vimeng'enya (enzymes), lakini si hivyo bali tumbo ni sehemu yenye viungo vingi tofauti tofauti, na mashine hiyo inashabihiana kikamilifu na  tumbo la mwandamu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-6192290457255854321?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/6192290457255854321/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=6192290457255854321' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6192290457255854321'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6192290457255854321'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/wanasayansi-watengeneza-mashine-ambayo.html' title='Wanasayansi watengeneza mashine ambayo ni sawa na tumbo la mwanadamu'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/Sz68eM7tJ3I/AAAAAAAAAVk/i0bRrogStRU/s72-c/Tumbo.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-1200747647393594316</id><published>2010-01-02T06:18:00.002+03:30</published><updated>2010-01-02T06:20:45.869+03:30</updated><title type='text'>Ujue ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB)….sehemu ya pili</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/Sz60PUzE_lI/AAAAAAAAAVc/hQWMuvtfvy0/s1600-h/tb.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 340px; height: 391px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/Sz60PUzE_lI/AAAAAAAAAVc/hQWMuvtfvy0/s400/tb.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5421969176774639186" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wadau wapenzi mnaofuatilia makala mbalimbali katika blogi ya Kona ya Afya, natumaini mlifaidika na sheemu ya kwanza iliyozungumzia ugonjwa wa Kifua Kikuu. Hii ni sehemu ya pili ambapo leo tunaangalia vipimo vinavyotumika kujua iwapo mtu ameambukiza kifua kifuu. Vipimo vinavyotumia sasa katika nchi nyingi hususan katika ulimwengu wa tatu ni ni kipimo cha picha ya kifua au x-ray, kipimo cha makohozi, kipimo cha ngozi au Mantoux test. Iwapo vipimo hivyo vitathibitisha kuwa mtu amemabukizwa kifua kikuu, mtu huyo atapaswa kutibiwa kikamilifu kwa kufuata ushauri wa daktari ili kuutokomeza ugonjwa huo. Wadau wapenzi baada ya kufahamu nini maana ya Tb, chanzo chake na dalili zake, sasa ni vyema tuelewe matibabu yake. Je, Kifua Kikuu kinaweza kutibika? Jibu ni ndiyo. Kuna dawa aina ya antibiotic ambazo ni tiba barabara ya kuitokomeza Tb lakini chini ya ushauri wa daktari. Itakumbukwa kuwa Shirika la Afya Duniani WHO limetoa mwongozo mpya wa kutibu ugonjwa wa kifua kikuu kwa kutumia dawa za mseto (fixed dose combination drugs au FDCs) ambazo hutumika sasa katika nchi nyingi za ulimwengu ili kupunguza muda wa matibabu kutoka miezi minane hadi sita. Jambo muhimu la kuzingatia katika utumiaji wa dawa hizo ni kuwa, ni vyema mgonja atumie dawa hizo kama alivyoshauriwa na mtaalamu wa afya na kumaliza dose yake aliyoandikiwa. Kwa hiyo kuna haja ya mgonjwa kuwa chini ya uangalizi maalumu ili kuruhusu ufanyaji kazi wa antibiotic na kuleta athari nzuri kwa mgonjwa. Pili kuna chanjo ya BCG. Hii ni chanjo ambayo hutolewa kwa mtoto mara baada ya kuzaliwa. Chanjo hii humlinda mtoto na kifua kikuu. Hata hivyo katika nchi nyingine chanjo hii hutolewa baadaye kwa watoto ambao wako katika hatari ya kuambukizwa ugonjwa wa kifua kikuu. &lt;br /&gt;Hebu sasa na tunagalie ni chakula gani anachopaswa kula mgonjwa wa TB. Mgonjwa aliye na kifua kifuu anatakiwa kula mlokamili wenye mada za proteini, vitamini na cabohyadarate. Vyakula vya protini ni pamoja na mayai,maziwa,maharage na soya. Vyakula hivyo hujenga misuli na kuzalisha chembe za uhai. Vilevile husaidia mfumo wa kinga ya mwili kupata nguvu. Vile vile ni vyema mgonjwa wa TB apate vitamini zitokanazo na mafuta na mboga za majani. Vyakula hivyo huongeza nguvu na kukinga mwili wake khususan ngozi. Chakula aina ya carbohydrate ambayo inapatikana katika chakula cha nafaka mfano wa mahindi na ngano na vilevile sukari itokanayo na matunda navyo vina umuhimu mkubwa.&lt;br /&gt; Hii ni kwa sababu vyakula hivyo huleta nguvu katika mwili wa mwanadamu. Vile vile bila kusahau maji safi na salama yanayohitajika mwilini. Makala hii itaendelea na msikose kuungana nami tena ili kujua namna ya kujikinga na kifua kikuu. Tutunze Afya zetu daima!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-1200747647393594316?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/1200747647393594316/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=1200747647393594316' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1200747647393594316'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1200747647393594316'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/01/ujue-ugonjwa-wa-kifua-kikuu-tbsehemu-ya.html' title='Ujue ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB)….sehemu ya pili'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/Sz60PUzE_lI/AAAAAAAAAVc/hQWMuvtfvy0/s72-c/tb.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-8762293144764619902</id><published>2009-12-30T13:32:00.001+03:30</published><updated>2009-12-30T13:33:25.885+03:30</updated><title type='text'>WHO yasema, ni mapema mno kutangaza ushindi dhidi ya virusi vya H1N1</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzslZ_tt6EI/AAAAAAAAAVU/9eQLCFcDwq8/s1600-h/swine-flu1.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 250px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzslZ_tt6EI/AAAAAAAAAVU/9eQLCFcDwq8/s400/swine-flu1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5420967705000667202" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani WHO amesema kuwa ni mapema mno kuweza kutangaza ushindi dhidi ya virusi vya homa ya mafua ya nguruwe akiashiria uwezekano wa virusi hivyo kubadili sura yake na kuwa hatari kubwa zaidi kwa mwanadamu. Margaret Chan amesema kuwa virusi vya H1N1 bado vinaendelea kuzagaa na tayari vimewasibu mamilioni ya watu. Mkuu wa Shirika la Afya Duniani amesema habari njema ya kitiba kuhusu virusi hivyo ni kupungua kasi yake licha ya kwamba vimekwisha sababisha vifo vya watu 12 elfu wengi wao wakiwa wanawake waja wazito, watoto wadogo na watu wenye maradhi sugu. Chan amesema idadi hiyo rasmi ya watu waliofariki dunia kutokana na virusi vya mafua ya nguruwe haiakisi ukweli wa mambo na kwamba idadi kamili ya wahanga wa ugonjwa huo itajulikana baada ya kupita miaka miwili.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-8762293144764619902?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/8762293144764619902/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=8762293144764619902' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8762293144764619902'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/8762293144764619902'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2009/12/who-yasema-ni-mapema-mno-kutangaza.html' title='WHO yasema, ni mapema mno kutangaza ushindi dhidi ya virusi vya H1N1'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzslZ_tt6EI/AAAAAAAAAVU/9eQLCFcDwq8/s72-c/swine-flu1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-3646881425301368896</id><published>2009-12-30T13:26:00.002+03:30</published><updated>2009-12-30T13:27:51.346+03:30</updated><title type='text'>Sukari kupimwa kupitia lensi za macho</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzskFqYk_kI/AAAAAAAAAVM/8ftc-LR1ouM/s1600-h/lensi.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 216px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzskFqYk_kI/AAAAAAAAAVM/8ftc-LR1ouM/s400/lensi.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5420966256165846594" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzskApwXLrI/AAAAAAAAAVE/5VvADh1nGxk/s1600-h/dia2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 267px;" src="http://3.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzskApwXLrI/AAAAAAAAAVE/5VvADh1nGxk/s400/dia2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5420966170097823410" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wanasayansi wamegundua teknolojia mpya itakayowezesha kupimwa kiwango cha sukari katika damu bila ya kuhitajia mgonjwa kutolewa damu kila siku. Wataalamu hao wa Chuo Kikuu cha Ontario magharibi huko Hamilton, wamegundua teknolojia hiyo mpya ambapo sukari huweza kupimwa kwa kutumia lensi za macho za aina ya hudrogel zilizotengenezwa kwa vipendo vidogo vidogo vya nano. Wagonjwa wa kisukari watakaovaa lensi hizo wataweza kujua kuhusana na kiwango cha sukari mwilini mwao, kutokana na mabadiliko ya rangi ya lensi hizo za macho. Vipande vya nano vilivyotumika kutengeneza lensi hizo, hubadilika kwa kuzingatia molekuli za glukosi zilizoko kwenye machozi, suala ambalo husababisha mabadiliko ya kikemia na mabadiliko ya rangi. Wanasayansi wana matumaini kwamba, kwa kugunduliwa lensi hizo mpya na kuanza kutumika, katika siku zijazo kutakuwa hakuna tena haja ya wagonjwa wa kisukari kudungwa sindano na kuchukuliwa damu kila siku ili kujua kiwango cha sukari mwilini.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-3646881425301368896?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/3646881425301368896/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=3646881425301368896' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3646881425301368896'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/3646881425301368896'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2009/12/sukari-kupimwa-kupitia-lensi-za-macho.html' title='Sukari kupimwa kupitia lensi za macho'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzskFqYk_kI/AAAAAAAAAVM/8ftc-LR1ouM/s72-c/lensi.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-2660589276733533968</id><published>2009-12-26T07:19:00.002+03:30</published><updated>2009-12-26T07:20:11.298+03:30</updated><title type='text'>Kujiingiza katika mapenzi kwenye umri mdogo husababisha kensa ya mlango wa kizazi</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzWH7StdVuI/AAAAAAAAAU8/8esZ_hyu0aI/s1600-h/early.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 225px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzWH7StdVuI/AAAAAAAAAU8/8esZ_hyu0aI/s400/early.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5419387179314796258" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Huko nyuma iliaminiwa kuwa, virusi aina ya papiloma au (HPV) pamoja na vipimo duni ndio sababu kuu inayopelekea ugonjwa wa kensa ya mlango wa kizazi, lakini uchunguzi mpya umeonyesha kuwa kuna sababu nyinginezo muhimu zinzosababisha ugonjwa huo. Kwa mujibu wa uchunguzi uliochapishwa katika jarida la Kensa la Uingereza, mahusiano ya kijinsia yanayofanywa katika umri mdogo huongeza uwezekano wa kupata kensa ya mlango wa kizazi mara dufu.  Suala jingine lililohesabiwa kuchangia maambukizo hayo, ni muda mwanamke anapopata mtoto wake wa kwanza. &lt;br /&gt;Katika uchunguzi huo, imeonekana kuwa wanawake wanaoishi maisha ya kimasikini, huanza kujiingiza katika masuala ya kimapenzi miaka minne mapema kuliko wengineo. Hivyo kuna uwezekano wa kupata maambukizo ya virusi vya HPV mapema zaidi, na hivyo kuvipa muda zaidi virusi hivyo kuzaliana kwa muda mrefu na baadaye kusababisha kensa ya kizazi. Wanasayansi waliofanya uchunguzi huo wamependekeza kwamba ni bora chanjo dhidi ya virusi vya HVP itolewe mapema, hasa kwa wasichana wanaoishi katika jamii masikini, ili kuwakinga na ugonjwa wa kensa ya mlango wa kizazi. &lt;br /&gt;Inafaa kujua kuwa, kensa ya mlango wa kizazi au kwa kimombo cervical cancer, ni saratani inayoshambulie lango la uzazi, sehemu ya chini kabisa na nyembamba ya kizazi. Ugonjwa huo unaweza kugunduliwa kirahisi kwa kufanya kipimo cha Pap smear.  Ni muhimu kufahamu kwamba ugonjwa wa kensa ya kizazi ni ugonjwa hatari lakini unaweza kuzuiwa na kutibiwa kwa urahisi. Naahidi kuelezea kwa undani juu ya ugonjwa huo  hapo baadaye.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-2660589276733533968?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/2660589276733533968/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=2660589276733533968' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2660589276733533968'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2660589276733533968'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2009/12/kujiingiza-katika-mapenzi-kwenye-umri.html' title='Kujiingiza katika mapenzi kwenye umri mdogo husababisha kensa ya mlango wa kizazi'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzWH7StdVuI/AAAAAAAAAU8/8esZ_hyu0aI/s72-c/early.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-4353983435327119002</id><published>2009-12-25T16:35:00.002+03:30</published><updated>2009-12-25T16:38:45.244+03:30</updated><title type='text'>X-Mass Njema Wadau</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzS5UFo-rwI/AAAAAAAAAU0/GynkLcnDz1o/s1600-h/xmss.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 317px; height: 400px;" src="http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzS5UFo-rwI/AAAAAAAAAU0/GynkLcnDz1o/s400/xmss.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5419160006396129026" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Leo ni sikukuu ya Christmas, kwanza kabisa blogi ya Kona ya Afya inatoa mkono wa heri na baraka kwa mnasaba wa kuzaliwa masihi, Issa Bin Maryam, (Yesu Kristo) kwa wafuasi wote wa dini hiyo ya mwenyezi Mungu. Ni matumaini yetu kuwa katika wakati huu wa sikukuu ya X-mass wadau wote  huku wakisherekea sikukuu na kuwa mapumzikoni, hawatazembea pia kuzitunza afya zao. Kwa ajili hiyo basi zifuatazo ni nukta kadhaa za kufuata ili kuepusha wasiwasi na mfadhaiko wa mawazo (stress) wakati huu wa mapunziko na sikukuu, na zinazosadia kuhakikisha kwamba tunabaki katika afya njema kimwili, kiakili na kihisia. &lt;br /&gt;• Jitahidi kushikamana na ibada. Kushikamama na ibada za kiroho wakati huu wote wa sikukuu, na kuwa karibu na muumba ( kwa kutegemea imani na dini ya mtu) kwa kufanya ibada kama kusali, kwenda kanisani au msikitini husaidia kumfanya mtu ajisikie vizuri kiroho.&lt;br /&gt;• Pata hewa nzuri. Kila unavyojitahidi kuwa nje ya nyumba na kufanya shughuli mbalimbali ndivyo mwili wako unavyopata nishati zaidi. Kuvuta hewa safi na salama kutaufanya ubongo wako upate oksijeni zaidi na kuupa mwili wako nishati. Hivyo wakati huu wa sikukuu jitahidi kufanya michezo kama vile kukimbia, kusketi, kupanda baiskeli, kutembea kando ya bahari au mto na kadhalika. &lt;br /&gt;• Jishughulishe na masuala ya sikukuu kama vile kuwanunualia watu zawadi madukani, kuwatembela ndugu jamaa na marafiki na hata wagonjwa,  kualika au kwenda katika mialiko mbalimbali na kadhalika. Vitendo hivyo ni bora kuliko  kukaa tuu nyumbani na kula na kunywa peke yako huku akiangalia tv au filamu.&lt;br /&gt;• Pata usingizi wa kutosha na pumzisha mwili wako. Unaweza ukalala kidogo mchana au kuamka kwa kushelewa kidogo wakati wa asubuhi.&lt;br /&gt;• Tenda kile moyo wako inachopenda. Kuwa na afya njema wakati wa X-mass ni pamoja na kufanya kile kinachoburudisha moyo wako. Imba kama unapenda kuimba, cheza kama unapenda kucheza, andika, tembea, chora picha, pika nakadhalika, ilimradi utende chchote  kili kinachofaurahisha moho wako.&lt;br /&gt;• Kula na kunya kusizidi kiasi, na bila kusahau vyakula visivyo na mafuta mengi  au sukari nyingi ambavyo ni salama kwa afya zetu. Wale wenye magonjwa mbalimbali sugu wasijisahau na kuvunja miiko ya vyakula wasivyotakiwa kula. Usisahau kuwa, sikukuu itapita lakini afya yako ni muhimu sana kwa maisha yako yote… Sikukuu njema wadau huku tukitunza afya zetu!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-4353983435327119002?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/4353983435327119002/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=4353983435327119002' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/4353983435327119002'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/4353983435327119002'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2009/12/x-mass-njema-wadau.html' title='X-Mass Njema Wadau'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzS5UFo-rwI/AAAAAAAAAU0/GynkLcnDz1o/s72-c/xmss.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-2433577751404392668</id><published>2009-12-23T14:52:00.002+03:30</published><updated>2009-12-23T14:55:54.007+03:30</updated><title type='text'>Jeli ya nyanya ni bora kuliko aspirini</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzH-OQRrD-I/AAAAAAAAAUk/EKVlmag0OHI/s1600-h/ny.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 392px; height: 327px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzH-OQRrD-I/AAAAAAAAAUk/EKVlmag0OHI/s400/ny.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5418391347544133602" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Utafiti mpya uliofanywa kwa majaribio umegundua kuwa katika mbegu za nyanya kuna mada asilia, inayoweza kusadia mzungumzo wa kawaida wa damu na kuzuia damu isigande. Mada hiyo iliyoko kwenye mbegu za nyanya iligunduliwa mwaka 1999 na Profesa Adim Dutta-Roy. Jeli hiyo inayozunguka mbegu za nyanya,  hunaweza kusaidia mzunguko wa damu.&lt;br /&gt;Jeli hiyo isiyokuwa na rangi wala ladha, huzuia chembe za damu aina ya platelets zisishikane, suala ambalo hupunguza uwezekano wa damu kuganda, kama inavyofanya aspirini lakini bila kuwa na madhara. &lt;br /&gt;Wachunguzi wa Uingereza wamesema kwamba, athari za geli hiyo huanza masaa matatu tangu inapoanza kutumiwa na kudumu kwa masaa 18, hivyo inahitaji kutumiwa kila siku. &lt;br /&gt;Wataalamu hao wamependekeza kwamba, kuongeza jeli hiyo katika vyakula mbalimbali kunaweza kuepusha matumizi ya aspirini kwa ajili ya kuzuia hatari ya magonjwa ya mishipa ya moyo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-2433577751404392668?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/2433577751404392668/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=2433577751404392668' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2433577751404392668'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/2433577751404392668'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2009/12/jeli-ya-nyanya-ni-bora-kuliko-aspirini.html' title='Jeli ya nyanya ni bora kuliko aspirini'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzH-OQRrD-I/AAAAAAAAAUk/EKVlmag0OHI/s72-c/ny.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-1481655720585263680</id><published>2009-12-23T14:25:00.001+03:30</published><updated>2009-12-23T15:06:00.587+03:30</updated><title type='text'>Mshituko wa moyo mara nyingi hutokea saa tatu asubuhi</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzH5-MokoAI/AAAAAAAAAUc/bYNgaLqxM0c/s1600-h/ht.bmp"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 250px; height: 250px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzH5-MokoAI/AAAAAAAAAUc/bYNgaLqxM0c/s400/ht.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5418386673642020866" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Wataalamu wa magonjwa ya moyo wamesema kuwa hatari ya kupatwa na mshituko wa moyo hutokea zaidi mapema asubuhi, hasa saa tatu asubuhi.&lt;br /&gt;Utafiti huo uliotangazwa katika Kongress ya 4 magonjwa ya moyo ya Mashariki ya Kati imesema kuwa, watu wanaokabiliwa na hatari ya kupatwa na mshituko wa moyo, hutokewa na ugonjwa huo mapema asubuhi kwa sababu ya mabadiliko ya homini ambayo huongeza hitajio la oksijeni la mishipa ya moyo katika wakati huo, na kusababisha mshituko wa moyo. Uchunguzi huo umeelezea pia kuwa, ripoti zinaonyesha ongezeko la matukio ya mshituko wa moyo katika siku za Jumatatu, suala ambalo huenda likawa linachangiwa na kiasi kikubwa na kula kupita kiasi siku za wikiendi. Wataalamu hao pia wamesema kuwa, mishipa ya juu ya mwili huwa inasinyaa msimu wa baridi, hali ambayo ni kinyume na utendaji wa mishipa ya moyo na  husababisha kupungua kiwango cha oksijeni inayohitajiwa na misuli ya moyo. Wamesema hii ndio sababu, watu hupata mishtuko wa moyo kwa wingi wakati wa mapukutiko (fall) na baridi (winter). &lt;br /&gt;Uchunguzi huo pia umeachiria kwamba, umri wa watu wanaopatwa ugonjwa huo imeshuka na hata kufikia chini ya miaka 55 katika baadhi ya nchi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-1481655720585263680?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/1481655720585263680/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=1481655720585263680' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1481655720585263680'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/1481655720585263680'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2009/12/mshituko-wa-moyo-mara-nyingi-hutokea.html' title='Mshituko wa moyo mara nyingi hutokea saa tatu asubuhi'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/SzH5-MokoAI/AAAAAAAAAUc/bYNgaLqxM0c/s72-c/ht.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-4942091839173082872.post-6328256051903885676</id><published>2009-12-21T18:29:00.003+03:30</published><updated>2009-12-21T18:33:02.046+03:30</updated><title type='text'>Ujuwe ugonjwa wa Kifua Kikuu au TB ....sehemu ya kwanza</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/Sy-Nu1-TzHI/AAAAAAAAAUU/coe3OTIbVgY/s1600-h/tub2.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 260px; height: 400px;" src="http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/Sy-Nu1-TzHI/AAAAAAAAAUU/coe3OTIbVgY/s400/tub2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5417704712651918450" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/Sy-NoNu831I/AAAAAAAAAUM/CfRcp7TdSJs/s1600-h/tuber.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 320px;" src="http://2.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/Sy-NoNu831I/AAAAAAAAAUM/CfRcp7TdSJs/s400/tuber.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5417704598770868050" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Karibuni wapenzi wadau wa Kona ya Afya  katika mfululizo mwingine wa &lt;br /&gt;kujadili magonjwa mbalimbali.  Leo tumepata fursa ya kuzungumzia ugonjwa wa kifua kikuu, ambacho maambukizo yake yanaongezeka kwa kasi kubwa ulimwenguni, khususan katika nchi zinazoendelea. Kwa kuzingatia kuwa ugonjwa wa kifua kikuu huathiri watu wa rika zote na hasa vijana kati ya miaka 15 hadi 45 ambayo ndiyo nguvu kazi katika nchi nyingi za dunia, kunapaswa kufanyika jitihada kubwa za kudhibiti maambukizo ya ugonjwa huo. Kifua Kikuu ambao kitaalamu hujulikana kama Tuberculosis ni ugonjwa wa kuambukiza ambao huenezwa kwa njia ya hewa. Kifua kikuu husababishwa na bacteria au kimelea aina ya Mycobacterium tuberculosis au (tubercle bacterium). Ugonjwa huu kwa kawaida huathiri mapafu, lakini pia huweza kushambulia viuongo vingine vya mwili kama vile tezi za limfu, ubongo na mifupa. &lt;br /&gt;Tb inambukizwa kwa namna gani? :&lt;br /&gt; Mtu mwenye kifua kikuu au Tb ambaye hajatibiwa, anapokohoa, kupiga chafya, kutema mate au makozi husambaza bacteria au vimelea hivyo vya ugonwja huo hewani. Kwa hivyo mtu mwingine akivuta hewa yenye vimelea hivyo anaweza kuambukizwa kifua kikuu. Kwa mfano takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa nchini Tanzania ugonjwa wa Kifua Kikuu umekuwa ukiongezeka kwa kasi kubwa ambapo watu elfu 65,000 hivi sasa wanaugua kifua kikuu nchini humo. Kati yao asilimia 50 pia wana ukimwi. Hapa linajitokeza swali kwamba dalili za Kifua Kikuu ni zipi?&lt;br /&gt;Mtu ambaye amepatwa na ugonjwa wa Tb au Kifua Kikuu huwa na dalili au husumbuliwa na hali zifuatazo:&lt;br /&gt;Kukohoa kwa muda usiopungua wiki mbili na mara nyingine kukohoa damu, homa za jioni za mara kwa mara, kutokwa na jasho usiku, kukosa hamu ya kula, kupungua uzito kwa kiasi kikubwa na kadhalika. &lt;br /&gt;Kundi ambalo liko kwenye hatari kubwa ya kuambukizwa Tb au kifua kikuu ni la wale wanaoishi kwa karibu na kwa muda mrefu na mtu yule aliyekwisha ambukizwa ugonjwa huo. Kwa hiyo hapa nitaorodhesha makundi ambayo yako kwenye hatari na ya uwezekano mkubwa wa kuambukizwa Tb iwapo watakuwa karibu na mgonjwa. Watu hawa ni rahisi kupatwa na kifua kikuu kwa sababu kinga zao za mwili huwa ni za kiwango chini: Watoto wadogo na wazee, wale wote wanaougua kisukari, watu wnaotumia dawa aina ya steroids au dawa nyinginezo zinazoathiri mfumo wa kinga ya mwili, waathirika wa ukimwi na HIV, wale wote wanaoishi maeneo yenye msongamano mkubwa watu yaliyoduni kiafya, wanaoishi kwenye sehemu zisizokuwa na hewa ya kutosha, watu wanaotumia dawa mbalimbali, au pombe na mwisho wale wenye lishe duni.&lt;br /&gt;Usikuko muendelezo wa makala hii, na daima linda afya yako.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/4942091839173082872-6328256051903885676?l=kona-ya-afya.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/feeds/6328256051903885676/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=4942091839173082872&amp;postID=6328256051903885676' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6328256051903885676'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/4942091839173082872/posts/default/6328256051903885676'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kona-ya-afya.blogspot.com/2009/12/ujuwe-ugonjwa-wa-kifua-kikuu-au-tb.html' title='Ujuwe ugonjwa wa Kifua Kikuu au TB ....sehemu ya kwanza'/><author><name>Shally's Med Corner</name><uri>http://www.blogger.com/profile/01427180024507867399</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/_3QuAN9zl54g/Sy-Nu1-TzHI/AAAAAAAAAUU/coe3OTIbVgY/s72-c/tub2.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry></feed>
