Wednesday, September 29, 2010

Samahanini Wadau

Tafadhalini sana wadau naomba kama mtu ana swali la haraka anitumie kupitia email yangu ambayo ni sthugs4j@yahoo.com . Hii ni kutokana na baadhi ya wadau kuuliza maswali yao yanayohitaji ufafanuzi wa haraka katika comments za makala zilizopita, sasa kuna baadhi ya wakati hata sipati muda wa kucheck comments za makala zilizopita, na hivyo kushidwa kujibu katika wakati unaotakiwa.
Samahani sana....Shally.

1 comment:

Paul Akwilini said...

ok. nadhani sote 2mekupata shally