Thursday, March 26, 2009

Linebeke la makala za tiba


Wadau wangu wa Kona ya Afya, natumaini mu wazima na mnaendelea kuzitunza afya zenu. Kama ni hivyo basi, kwa leo ninawaletea makala muhimu hasa kwa kina mama wajawazito. Niliahidi huko nyuma kuwa tutakuwa tukichambua baadhi ya magonjwa na masuala mbalimbali kwa undani na libeneke hilo ndio leo nalianza kwa kuzungumzia suala la Kiungulia. Stay with me!
Shally's med corner

No comments: