Saturday, March 13, 2010

Kula Pistachio ujikinge na kensa!


Pistachio zina uwezo wa kupambana na seli zinazosababisha kensa na zinaweza kuzuia seli zisiharibiwe na radikali huru na kusababisha saratani. Hayo yameelezwa na watafiti wa Ujerumani ambao wameshauri kwamba, kula pistachio kila siku kunaweza kupunguza hatari ya kupata kensa kwa kuongeza uzalishaji wa mada iitwayo gamma-tocopherol mwilini.
Suala hilo limeongezewa mashiko na uchunguzi mwingine wa Marekani ambao umesema kwamba, pistachio zina kiwango kikubwa cha gamma-tocopherol mada ambayo inatokana na Vitamin E inayoulinda mwili usipate satarani.
Pistachio ambazo zamani zilikuwa zikiliwa tu na familia tajiri hivi sasa baada ya watu kujua umuhimu wake wa kiafya zinaliwa na watu wote na wataalamu wa afya wameshauri watu wazitumie kwa wingi hasa kama (snack) asusa au kumbwe kwa Kiswahili sanifu.
 Zaidi ya faida hiyo iliyotajwa hapo juu, nyungu hizo zenye mvuto wa kipekee na ladha tamu zina madini ya Copper, Phosporus, Pottassium, Megnesium, na vitamin B6.
 Pistachio pia zimejaa ufumwele (fiber) na kama unatafuta snack yenye ufumwele wa kutosha uwapo kazini au safarini basi usisahau kubeba paketi ya pistachio.
 Kama hutaki kula vitu vyenye protini inayotokana na nyama, basi pistachio ndio jawabu lako kwani zitakupatia protini ya kutosha inayotokana na mimea.
 Pistachio pia zina mada ya caratenoids lutein na zeaxanthi ambazo husaidia kupunguza hatari ya kupata upofu wa uzeeni.
 Pistachio pia zina sterols inayotokana na mimea ambayo inaaminiwa kuwa hupunguza ufyonzaji wa cholestrol inayotakana na chakula. Hivi sasa sterols inayotokana na mimea huongezwa katika vyakula kutokana na faida yake hiyo.
Ili kukuwezesha mdau kula pistachio na kufaidika na lishe hiyo, kona ya afya inashauri uzitengeneza na kuzila kwa mitindo ifuatayo:
 Weka pistachio zilizopondwa au kukatwa katwa katika mtindi au cream cheese.
 Weka pistachio katika skonsi, vileja na hata keki.
 Jitahidi mara nne kwa wiki uwe umekula njugu 30 au gramu 18 za pistachio.
 Pistachio zisizokuwa na chumvi zinaweza kuliwa pamoja na vyakula kwa wale wasiokula nyama.
" Daima Tutunze Afya Zetu"

1 comment:

Anonymous said...

Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com