
Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba nchi zilizoko chini ya Jangwa la Sahara barani Afrika zinaongoza kwa kupungua maambukizo mapya ya virusi vya Ukimwi. Kitengo cha Umoja wa Mataifa kinachoshughulia masuala ya Ukimwi (UNAids) kimesema kuwa nchi 22 ambazo ziko katika eneo hilo la chini ya Jangwa la Sahara lenye maambukizo makubwa zaidi ya Ukimwi duniani zimeshuhudia kupungua maambukizo ya ugonjwa huo kwa asilimia 25!. Kupungua maambukizo hayo kumetokana na watu kuelewe vizuri na kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa huo pamoja na kutumiwa vyema njia za kujikinga. Hata hivyo Umoja wa Mataifa umesema kwamba maambukizo mapya ya Ukimwi yameongezeka huko mashariki mwa Ulaya, katikati mwa bara Asia, na miongoni mwa wanaume mashoga katika nchi zilizoendelea. Mkurugenzi Mtendaji wa UNAids Michel Sibide amesema kwamba, dunia inapiga hatua kubwa katika kufikia utekelezwaji wa Malengo ya Sita ya Maendeleo ya Milenia (MDG6) ya kupambana na kupunguza maambukizo ya HIV/Aids hadi kufikia mwaka 2015. Shirika hilo aidha limesema kuwa, kuwa watu milioni 5.2 wanapatiwa matibabu ya Ukimwi duniani kote, suala ambalo limesaidia kuhakikisha kwamba watu wachache zaidi wanakufa kutokana na virusi vya ugonjwa huo hatari ikilinganishwa na huko nyuma.
Haya shime jamani tuendeleze kwa nguvu zote mapambano dhidi ya Ukimwi!
5 comments:
du ww kweli unajua kulala ucngizi wa pono, he c utafute m2 akusaide kuapdate blog yako. na kwa taaarifa yako hapa mambo ya maleria hayana dili, ukitaka wadau weka habari za uzazi.
kuwa mjanja ndugu, lazima uelewe mahitaji ya watu.
watu wengine sijui vipi, eti anasema mambo ya maleria hayana dili malaria inaua kushinda ukwimi shauri yako... mwacheni Dokta wa watu inaonyesha yuko busy anaongeza ujuzi ili atufaidishe zaidi, eti atafute mtu amsaidie! hapa ni elimu kwenda mbele unafikiri ni blog ya mitindo lol.
mie nabaki kucheka tu nisemeje,? blog naipenda lakini nimetingwa jamani!!!!!!!, lakini nakubali kukosolewa na nitajitahidi kujirekebisha ingawa kweli ningekuwa na mtu wa kushirikiana naye ningefurahi. Nakaribisha mapendekezo inabidi atleast mtu awe na elimu ya afya au tiba katika uwanja wowote na pia aijue vyema lugha ya kiswahili na kiingereza hasa maneno ya kitiba. Nakaribisha sana ushirikiano. nitumieni mapendekezo katika email yangu. ingawa kumbuka kuwa,hakuna malipo wala posho ni kujitolea tu katika kuifundisha jamii. Tushirikiane jamani.
Yani wewe ndio husomeki kabisa naomba nikwambie Malaria inaua zaidi tena kwa kipindi kidogo sana na pengine hata dk 5 ni nyingi tunakubadili jina MAREHEMU
Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.
Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.
Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com
Post a Comment