Sunday, June 6, 2010

Kensa kuua watu milioni 13.2 ifikapo mwaka 2030


Maafisa wa Umoja wa Mataifa wametangaza kwamba, watu zaidi ya milioni 13.2 watafariki dunia ifikapo mwaka 2030 kutokana na maradhi ya kensa, idadi ambayo ni mara mbili ya ile ya mwaka 2008. Takwimu hizo za hivi karibuni zinaonyesha pia kwamba, ugonjwa wa saratani mwaka 2008 ulisababisha watu milioni 7.6 waage dunia na kwamba kesi mpya milioni 12.7 za kensa mbalimbali zimegunduliwa mwaka huu. Nchi zinazoendelea zimeripotiwa kuwa na asilimia 56 ya kensa mpya na asilimia 63 ya kensa zote zilizoripotiwa mwaka 2008. Kensa ambazo zilitokea kwa kiasi kikubwa mwaka 2008 ni kensa za mapafu, matiti na kensa ya utumbo, rectum na apendeksi au colorectal cancer. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Kimataifa cha Utafiti wa Kensa( IARC) kesi za ugonjwa wa kensa zitaongezeka mara dufu katika miongo miwili ijayo iwapo hali ya sasa itaendelea hivyo hivyo. Christopher Wild Mkurugenzi wa IARC amesema kwamba, maradhi ya kensa hakuna sehemu yoyote duniani yasipokuwepo, hata katika nchi zilizoendelea na zenye utajiri mkubwa. Amesisitiza kwamba la kusikitisha ni kuwa maradhi ya kensa ambayo mwanzoni yalishudiwa kwa wingi katika nchi zinzoendelea hivi sasa yapo pia katika nchi masikini.

2 comments:

Disminder orig baby said...

eee Mungu tunusuru, tutakufa wengi jamani. Shida na lishe zisizo na mpango, hakuna mazoezi ni kazi ngumu tu za kuchosha miili then unaishia kula chakula hata hakina kirutubisho.

Anonymous said...

Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com