
Kila mtu anajua umuhimu wa maji katika miili yetu. Sio kwamba tu mwili wenyewe umejengwa kwa asilimia kati ya 55 na 75 za maji (kwa kutegemea unene wa mtu ambapo watu wembemba wana kiasi kikubwa cha maji mwilini kuliko wanene) bali pia mwili unahitajia maji kwa kiasi kikubwa ili kufanya kazi zake vyema.
Je? Unajua mapafu yako yanahitajia vikombe wiwili vya maji hadi vinne kila siku ili kufanikisha kwa ufanisi kazi yake ya kupumua? Na kiasi hicho huhitajika ziadi wakati wa baridi.
Je, unajua wakati unapotoka jasho kikombe kimoja cha maji hupungua mwilini mwako. Na je, unatambua kwamba iwapo utaoga wakati wa mchana kwa mara karibu tatu kwa siku ni kana kwamba umekunywa vikombe 6 vya maji?
Kunywa maji kwa kiasi cha kutosha husaidia kupunguza uwezekano wa kutokea mawe katika figo, hulainisha viungo na huzuia mafua na kusaidia kupona haraka ugonjwa huo. Vilevile kunywa maji husaidia mtu kupata choo vyema.
Maji ni hitajio la dharura kwa afya zetu, kwani asilimia 60 ya uzito wako ni maji na kila mfumo wa mwili wako hutegemea maji ili kufanya kazi zake. Ukosefu wa maji mwilini humfanya mtu akaukiwe na maji au dehydration, hali ambayo hutokea pale mtu asipokuwa na maji ya kutosha mwilini ya kuuwezesha mwili wake kufanya kazi zake za kawaida. Hata katika upungufu mdogo wa maji mwilini, wakati ambapo asilimia 1 hadi 2 ya uzito wa mwili inapopungua, huweza kumfanya mtu akose nguvu na ajisike amechoka. Miongoni mwa dalili za upungufu wa maji mwilini ni:
• Kukihi kiu sana
• Uchovu
• Kichwa kuuma
• Mdomo kukauka
• Kukosa mkojo au kiasi cha mkojo kuwa kidogo.
• Udhaifu wa misuli
• Kuhisi kizunguzungu

Ni muhimu kujua kwamba mwili hupoteza maji kila siku kwa kutokwa na jasho, iwe jasho hilo umelihisi au haukulihisi, kutoa pumzi nje (exhaling), kukojoa na harakati ya tumbo. (bowel movement). Ili mwili wako uweze kufanya kazi vizuri unahitajia kurudisha maji hayo mwilini kwa kunywa vinywaji mbalimbali na vyakula vyenye maji.
Wataalamu wengi wanakubaliana kuwa mwanadamu anahitajia kunywa vikombe 8 vya maji kwa siku, ili kufidia maji yanayopotae mwilini. Hata hivyo wengine wanashauri kwamba, wanaume wanywe vikombe 13 vya maji kwa siku na wanawake vikombe 8 vya maji, na hiyo ni kutokana na tofauti ya miili yao. Tunashauriwa kuwa badala ya kunywa maji kiholela tunywe kwa mpangilio maalum kwa siku, ili kusaidia vyema katika kazi za mwili.
Tunashauriwa kunywa vikombe viwili vya maji asubuhi pindi tunapoamka, kwani husaidia kuamsha viungo vya ndani ya mwili.
Tunashauri tunywe kikombe kikoja cha maji dakika 30 kabla ya mlo, kwani husaidia kupata choo vizuri.
Tunashuariwa tunywe kikombe kimoja cha maji kabla ya kwenda kuoga, husaisia kupunguza shikizo la damu.
Na tunashauriwa kunywa kikombe kimoja cha maji kabla ya kulala kwani kufanya hivyo huzuia shinikizo la moyo.
Basi kunywa maji kwa afya yako mdau!
12 comments:
maneno kuntu. asante sana.
pole na honger na majukumu ya kutuelimisha. Mi naomba uliza swali nje ya mada hii ya maji, mimi nina hitaji kushika mimba. kwa mfano mwez huu nilianza period tarehe 17 June. Je! siku zangu za kushika mimba ni zipi? na Je nikitaka mtoto wa kike nifanyeje? naomba sana mnisaidie kwa ilo
swali zuri sana anony wa 1:17PM
Tupe zaidi nasi tufaidike.
Usisahau na ile ya kukoroma jamani tumesubiri sana.
Wadau, ahsanteni sana na samahani sana kwa kushindwa kukujibuni maswali yetu kwa wakati, kwa kweli nimebanwa haswaa na wiki ijayo tu naanza likizo nje ya nchi, lakini Tweety mada yako ya kukuroma sijasahau na nikipata muda tu nitakujibu, anonymous nawe pia ntakujibu kwa haraka.
pole na kazi za kila siku,Ahsante sana kwa somo hili la maji nimejufunza mengi na nitawaelimisha wengine ili wafaidike zaidi,usichoke kuendelea kutuelimisha katika afya zetu,mungu akutie nguvu.
Tafadhali tuwekee MENU NZURIII YENYE VIRUTUBISHO VYOTE YA KUPUNGUZA MWILI, MAANA NYINGI NAZIONA ZINAKUWA ZINA MAPUNGUFU FULANI FULANI
ASANTE
Mimi nina mtoto mchanga. sa je? mtoto mchanga nae anahitaji maji anapofikisha mda gani? mr. merina au baba jacklina.
Mr. Merina maziwa ya mama yanatosha kwa mtoto hadi miezi minne! nasisitiza tena miezi minne! kwani maziwa ni asilimia ngapi maji? labda nusu au zaidi? basi maji ya nini tena? hakuna ulazima wa kumpa mtoto maji au chakula kingine chochote hadi afike miezi minne, tumbo la mtoto ni dogo sana na unapompa maji ambayo tayari anayapata kwenye maziwa anayokunywa basi humzuia mtoto kunyonya na kupata virutubisho muhimu katika maziwa ambavyo anavihitajia sana katika umri wake huo mdogo...
Mimi ni mdau mzuri wa kona ya afyakwani inanisaidia sana kuapata elimu mbali mbali...
naomba ushauri kuhusu matumizi ya poda kwa watoto wadogo, mana nasikia watu wengine wanasema poda si nzuri kwa afya ya mtoto...sasa nipo njia panda mana karibu nitajifungua na sielewi which is which.
Ahsante
Sikuamini kuwa ningeweza kuungana tena na mpenzi wangu wa zamani, nilipatwa na kiwewe cha kusimama peke yangu bila mwili wa kusimama na kuwa nami, lakini nilipata bahati sana siku moja nilikutana na Dk DAWN, baada ya kumwambia. kuhusu hali yangu alifanya kila liwezekanalo kumuona mpenzi wangu anarudi kwangu, kiukweli baada ya kunifanyia uchawi mpenzi wangu wa zamani alirudi kwangu chini ya masaa 48, mpenzi wangu wa zamani alirudi huku akiniomba kuwa hatoniacha kamwe. tena. Miezi 3 baadaye tulioana na kuoana, ikiwa una hali sawa. Ana nguvu nyingi katika mambo yake;
* upendo
inaelezea * inaelezea kivutio
* kama unataka ex wako nyuma
*acha talaka
*kuvunja mawazo
* huponya viharusi na magonjwa yote
* uchawi wa kinga
*Ugumba na matatizo ya ujauzito
* bahati nasibu
* bahati nzuri
Wasiliana na Dk Ediomo kwenye barua pepe yake: dawnacuna314@gmail.com
Whatsapp:+2349046229159
Sikuweza kushika mimba kwa miaka 10 kwenye ndoa yangu, nilikuwa kwenye ukingo wa kupoteza ndoa yangu kwa sababu mume wangu alihitaji mtoto wa kumzaa, mwenzangu wa kazi alinielekeza kwa Dr Dawn, Alikubali kunifanyia tambiko la ujauzito, nilifuata maagizo aliyonipa, na pia mshangao wangu, nilipata ujauzito ndani ya wiki 6, mimi na mume wangu tukafanya mtihani na matokeo yakaonyesha mapacha, Lakini sasa nina wavulana wangu 2 warembo, zote namshukuru Mungu Mwenyezi kwa kumtumia Dk Dawn kusaidia ndoa yangu,
Ninampendekeza Dr Dawn, kwa yeyote aliye na masuala ya uhusiano/ndoa au utasa, Dr Dawn hakika atakusaidia, wasiliana naye kwa Whatsapp: +2349046229159
Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.
Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.
Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com
Post a Comment