Saturday, October 2, 2010

Marekani yaomba msamaha kwa kuwafanyia majaribio ya Kaswende wananchi wa Guatemala

Marekani imeomba msamaha kuhusiana na kuwaambukiza kwa makusudi ugonjwa mbaya wa kaswende, wafungwa, wanawake na wagonjwa wa akili wa Guatemala katika majaribio yaliyofanywa na watafiti wa serikali ya Marekani katika miaka ya 1940. Katika jinai hiyo ililofanywa kwa lengo la kujaribu dawa mpya ya penisilini, wafungwa waliambukizwa kaswende kwa makusudi na baadaye kutibiwa kwa dawa hiyo. Hillarry Clinton Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa jaribio hilo lililosababisha maambukizo ya ugonjwa huo wa zinaa kati ya mwaka 1946 hadi 1948 nchini Guatemala ni kinyume cha maadili hata kama tukio hilo lilitokea miaka 64 iliyopita.
Rais Alvaro Colom wa Guatemala amelalamikia vikali jinai hiyo ya Wamarekani akisema ilisababisha maambukizo ya kaswende kwa mamia ya wananchi wa nchi hiyo na kwamba ni jinai dhidi ya binadamu. Kaswende ni ugonjwa wa zinaa unaoweza kusababisha matatizo ya moyo, upofu, matatizo ya akili na hata kifo.

3 comments:

Anonymous said...

hawa Marekani wamesahau Mungu yupo?

Anonymous said...

mamy are ok?
tume-miss mafunzo yako.
hope uko sawa just busy kwa maisha.

Anonymous said...

Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com