Wednesday, January 19, 2011

Jibu la swali la Mdau


Kuna mdau ambaye aliniuliza muda mrefu uliopita iwapo mwanamke na mwanamume ambao wana Ukimwi wanaweza kupata mtoto kwa njia ya IVF au la. Kwa kuwa ni muda mrefu sikuwepo kuandika blog hii na kujibu maswali, nimeamua kulijibu swali hili hapa ili muulizaji aone jibu lake kwa urahisi na wengine pia waweze kufaidika nalo.
Jibu ni kuwa ni vigumu kusema kuwa njia hiyo inaweza ku-guarantee kuzaliwa mtoto asiyekuwa muathirika wa HIV, hasa kwa kuzingatia kuwa wote baba na mama ni wagonjwa. Ni kweli iwapo mmoja tu ndiye mgonjwa kunakuwa na uwezekano mkubwa wa kufanyika IVF kwa njia inayoitwa Sperm wash ambayo hufanywa kabla ya mbegu ya kiume kutumbukizwa kwenye tumbo la mama na huweza kuzaliwa mtoto asiye mgonjwa wa Ukimwi. Lakini sikukatishi tamaa mdau, iwapo huna matatizo ya uzazi, kuna uwezekano wa mwanamke na mwanamume waathirika wa Ukimwi kuzaa mtoto asiyeathirika, iwapo watakuwa wakitumia dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo kabla na wakati wa ujazito, na hasa mama kuendelea kutumia dawa hizo wakati wote wa ujauzito.Kuzaliwa watoto wasioathirika kutoka kwa wazazi waathirika wa Ukimwi, kumeshuhudiwa mara nyingi nchini Tanzania na kwingineko.

4 comments:

Anonymous said...

kiukweli umejibu kitu cha uongo na hauna uhakika ....mtt hupata virusi wakati wa kuzliwa na kunyonyesha..sparms hazihusiki kbisa ktk suala zima la maambukizi toka kwa mama kwenda kwa mtt,..ingekuwa hivyo hakuna mtt ambae angepona na pia kungekuwa na dawa za ukimwi

Anonymous said...

Yeah hata mimi hapa nimeshangaa....Hii inabidi ubadili kwavile scientific inawezekana kabisa kuzaa mtoto asiye HIV positive. Mtoto anapata ukimwi pale anapopita katika njia ya mama yake wakati wa kuzaliwa. Na kwa vile ngozi yake ni very delicate ndio maana anapata damu ya mama yake ambayo ina Ukimwi. Sio lazima IVF hata naturally way watu wawili wenye ukimwi wanaweza kuzaa mtoto asiye na ukimwi. Lakini mama anayakaiwa aanze kwenda clinic mara tu anapokua amepata mimba. ITH

Anonymous said...

Sikuweza kushika mimba kwa miaka 10 kwenye ndoa yangu, nilikuwa kwenye ukingo wa kupoteza ndoa yangu kwa sababu mume wangu alihitaji mtoto wa kumzaa, mwenzangu wa kazi alinielekeza kwa Dr Dawn, Alikubali kunifanyia tambiko la ujauzito, nilifuata maagizo aliyonipa, na pia mshangao wangu, nilipata ujauzito ndani ya wiki 6, mimi na mume wangu tukafanya mtihani na matokeo yakaonyesha mapacha, Lakini sasa nina wavulana wangu 2 warembo, zote namshukuru Mungu Mwenyezi kwa kumtumia Dk Dawn kusaidia ndoa yangu,
Ninampendekeza Dr Dawn, kwa yeyote aliye na masuala ya uhusiano/ndoa au utasa, Dr Dawn hakika atakusaidia, wasiliana naye kwa Whatsapp: +2349046229159

Anonymous said...

Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com