Monday, March 15, 2010

Kensa zinazoshambulia kizazi … sehemu ya kwanza


Kuna kensa mbalimali tofauti zinazoweza kushambulia sehemu mbalimbali za kizazi na mfuko wa uzazi. Lakini kensa ambayo inajulikana sana pengine kutokana na kuwepo vipimo vya kujua kama kensa hiyo ipo au la ni kensa ya mlango wa uzazi (cervical cencer) ambayo hushambulia mdomo au shingo ya kizazi. Kensa hiyo huweza kugunduliwa mapema na kwa urahisi baada ya wanawake kufanyiwa kipimo cha kupima kensa hiyo na pale inapoonekana kuna mabadiliko yasiyo ya kawaida katika seli za kizazi ambazo mwanzoni huwa bado hasijageuka kuwa kensa kamili. Mabadiliko ya mwanzo ya seli hizo kuelekea kwenye saratani huwa ni rahisi kutubiwa, suala ambalo limepelekea idadi ya wanawake wanaosumbuliwa na ugonjwa huo ipungue katika miaka ya hivi karibuni. Kensa nyingine inayowatokea sana wanawake ni kensa ya kizazi (uterine cancer) au kensa inayoshambulia mji wa mimba. Kensa hiyo hushambulia kuta za kizazi. Kensa ya kizazi kwa hakika ni kensa inayoshambulia mwili wa kizazi ambao umejengwa kwa tishu mbalimbai kutoka katika mlango wa uzazi hadi ndani ya kizazi chenyewe. Kensa ya kizazi mara nyingi huwapata wanawake wenye umri mkubwa ambao hedhi yao imeshakatika, na mara nyingi hushauriwa waondolewa kizazi. Wataalamu wanasema kwamba, suala muhimu linaloweza kufanikisha matibabu ya kensa ya mlango wa uzazi na ya kizazi ni kugunduliwa mapema magonjwa hayo. Kensa nyingine ambayo haishuhudiwi sana ni kensa inayoshambulia kizazi iitwayo Uterine Sarcoma, ambayo hushambulia misuli ya kizazi. Kensa hiyo hufananishwa zaidi na saratani nyinginezo zinazoshambulia misuli kuliko saratani za kizazi.
Si vibaya kujua yafuatayo kuhusiana na ugonjwa wa kensa:
Kensa ya matiti ndio kensa inayotokea zaidi duniani huku kensa ya korodani ikiwa inatokea kwa chache zaidi.
Hii ni katika hali ambayo kensa inayoongoza kwa kusababisha vifo vingi zaidi vya wanawake ni kesna ya kensa matiti huku kensa ya mapafu ikishika namba ya kwanza kwa kupelekea wanaume kufa kwa wingi.
Kati ya watu watatu mmoja anatabiriwa kupata kensa nchini Uingereza kwenye miaka ijayo.
Kensa ya matiti inaongezeka huku kensa ya mapafu ikitarajiwa kupungua kutokana na kupungua wafutaji sigara.
Usikose kufuatilia zaidi makala zijazo zinatakazojadili kensa mbalimbali.
Daima na tutunze afya zetu!

1 comment:

Anonymous said...

Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com