Friday, February 26, 2010

Ajifungua watoto wawili baada ya kutolewa ovari na kurejeshewa tena!


Mwanammke mmoja wa Denmark amejifungua watoto wawili salama, baada ya kutolewa ovari za uzazi alipokuwa akiugua kensa, ovari hizo kuhifadhiwa katika barafu na baada ya mwaka mmoja zikarejeshwa tena mwilini mwake. Hadi sasa kuna watoto 8 tu ulimwenguni waliozaliwa baada ya mama zao kurejeshewa ovari, na Stinne Holm Bergholdt ni mwanamke wa kwanza duniani aliyeweza kujifungua mtoto wa pili baada ya ovazi zake kuondolewa na kurejeshwa tena. Bi. Bergholdt aligunduliwa kuwa na ugonjwa wa kensa ya mifupa alipokuwa na miaka 27 na kutokana na hofu ya kutozaa kutokana na athari za tiba ya mionzi na dawa za kensa, aliwataka madaktari wake waondoe ovari zake na kumrejeshea baadaye akipona. Baada ya kupona na mwaka mmoja baadaye alirejeshewa ovari zake na kujifungua mtoto wa kwanza kwa njia ya kupandikizwa mayai katika maabara au Vitro Fertilizertion na kujifungua salama mtoto wa kike aitwaye Aviaja ambaye hivi sasa ana umri wa miaka mitatu. Furaha ya kumzaa mtoto huyo ilimfanya mwamake huyo wa Kidenmark afikirie kuzaa mtoto mwingine. Walipokwenda hospitali ikaonekana kuwa tayari ni mjamzito. Baada ya miezi 9 alijifungua mtoto wa pili wa kike aliyemuita Lucca. Kizazi cha mwanamke huyo kinaendelea vyema na hivi sasa anazuia uzazi ili ajiepushe kushika mimba nyingine.
Taarifa hiyo imeleta matumaini zaidi kwa madakatari na wagonjwa hasa wenye kensa waliokuwa na hofu ya kushindwa kupata watoto hasa baada ya kupata matibabu ya saratani.
Mmh.. suala hili linanifanya nikubaliane zaidi na usemi huu kuwa, Kwa kumtegea Mungu na kwa kupitia sayansi kila kitu kinawezekana!

1 comment:

Elizabeth said...

Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159. dawnacuna314@gmail.com