Tuesday, November 6, 2007

Afya ni Nini?

Katika katiba yake ya mwaka 1984 Shirika la Afya duniani (WHO) limeielezea "afya" kama ni hali ya kuwa mzima kimwili, kiakili na kiajamii na wala sio tu hali ya kutokuwepo na ugonjwa. Katika miaka kadhaa ya hivi karibuni sentensi hiyo imekuwa ikifanyiwa marekebisho na kujumuisha uwezo wa kuishi maisha yenye faida kijamii na kiuchumi..

Je, wewe kwako afya ni nini?

No comments: