Monday, September 7, 2009

Chanjo mpya ya kensa ya mlango wa uzazi (Cervical Cancer) yagunduliwa


Wanasayansi hivi karibuni wametengeneza chanyo mpya ambayo inazuia virusi vinavyosababisha saratani ya mlango wa uzazi au cervical cancer. Kwa mujibu wa shirika la Chakula na Madawa la Marekani FDA, chanjo hiyo iliyotengenezwa na shirika la GlaxoSmithKline inaweza kuzuia aina mbalimbali za virusi kwa karibu asilimia 93, vinavyoweza kusababisha kensa ya mlango wa uzazi. Matumizi ya chanjo hiyo mpya hayana athari zozote mbaya muhimu kwa mtumiaji, isipokuwa maumivu kidogo na uvimbe sehemu inapochomwa dawa. FDA imesema kuwa chanyo hiyo inaweza kutumiwa kwa wanawake wenye umri wa miaka 10 hadi 25.
Ugonjwa wa kensa ya mlango wa uzazi unasababishwa na virusi vya Papilomma (HPV) ambapo aina 15 za vijidudu hivyo huweza kusababisha ugonjwa huo. Kensa ya mlango wa uzazi ni kensa ya tano miongoni mwa saratani zinazosababisha vifo vya wanawake ulimwenguni, ambapo wanawake karibu 473,000 hupatwa ugonjwa huo kila mwaka. Inasemekena kuwa karibu asilimia 85 ya vifo vya wanawake katika nchi zinazoendelea vinasababishwa na kensa ya mlango wa uzazi. Nchini Marekani pekee wanawake 11,999 hupata ugonjwa huo na serikali kutumia karibu dola bilioni 2 kwa ajili ya matibabu ya ugonjwa huo kwa mwaka.

http://www.presstv.ir/detail.aspx?id=105373§ionid=3510210

1 comment:

Anonymous said...

Nilisoma baadhi ya shuhuda kuhusu mtangazaji wa mapenzi anayeitwa DR DAWN kuhusu jinsi ambavyo amesaidia watu wengi kuwarudisha wapenzi wao wa zamani ndani ya masaa 48, kwa dhati nilikuwa nikifikiria kama hiyo ni kweli na ikiwa mwanaume huyu angeweza kusaidia kumrudisha mpenzi wangu ambaye Napenda sana. Niliamua kuwasiliana naye kwa sababu nampenda sana mpenzi wangu na tumetengana kwa miezi kadhaa. Kwa kweli nilimkumbuka sana, nimejaribu njia zingine zote kumrudisha lakini sikuweza. Niliwasiliana na DR DAWN na akaniambia kuwa ex wangu atanirudia baada ya saa 48 zijazo,
Kwa mshangao wangu Ex boyfriend wangu alirudi saa 48 haswa, shukrani kwa Dr DAWN,
Anaweza pia kukusaidia
*Tahajia ili kupata mimba.
*Tahajia ili kuungana tena.
*Tibu ugonjwa wowote.
*tahajia kwa bahati nzuri.
*Tahajia kwa ajili ya mali.
Na wengine.
Wasiliana naye kupitia: dawnacuna314@gmail.com
Whatsapp: +2349046229159