Saturday, September 12, 2009

Je unajua?....Tikiti hupunguza shinikizo la damu!


Kula matunda yenye madini ya potassium na mboga boga kama vile tikiti maji, au matunda mengine yanayopatikana katika msimu wa joto, kunaweza kusaidia kupunguza shinikizo la damu.
Haya shime wadau msisahau kula matunda na mboga mboga ili kuboresha afya zetu

No comments: