
Aina mbalimbali za njugu (nuts) maragwe, samaki, mafuta ya mimea kama mafuta ya zaituni ni miongoni mwa vyakula vyenye Omega 3.
Fatty acid aina ya Omega 3 ina faida nyingi mwilini ikiwepo ile ya kusaidia moyo na hata kupunguza shinikizo la damu. Wachunguzi pia wamegundua omega 3 husaidia ubongo kufanya kazi nzuri hasa kwa watoto na vile vile ina faida katika ukuaji wa kawaida wa mwili.
No comments:
Post a Comment