
Kila ambavyo mwanamke mwenye unene wa kawaida anavyofanya mazoezi ndivyo uzito wake utakavyopungua. Uchunguzi huo umesema kuwa kushughulisha mwili kuna umuhimu mkubwa katika kupunguza unene.
Hata hivyo wataalamu wamesisitiza kwamba kufanya mazoezi kunapaswa kuambatana na kula chakula bora ili kujenga afya vyema. Pia watu wazima wameshauri kula matunda na mboga mboga, kupunguza kula vyakula vyenye mafuta mengi na kufanya mazoezi ili kulinda afya zao na kuweza kuisha maisha marefu.
No comments:
Post a Comment