Saturday, February 28, 2009

Chai inapunguza mshituko wa Moyo!


Utafiti mpya uliofanyika nchini Marekani unaonyesha kuwa kunywa chai vikombe vitatu kwa siku au zaidi kunapunguza msituko wa moyo kwa asilimia 21.
Haya shime tunywe chai wadau!

No comments: