Monday, November 16, 2009

Kinadada wasihofu tena…. kwani rangi za nywele hazisababishi kensa!


Taasisi ya Ujerumani ya kuchunguza hatari za vitu imetangaza kwamba rangi za nywele hazisabishi kensa. Uchunguzi wa taasisi hizo umesema kuwa mada zinazosababishwa kensa hazijashuhudiwa katika rangi za nywele. Hata hivyo taasisi hizo imesema kuwa uchunguzi unatakiwa kufanywa zaidi ili kujua iwapo katika rangi hizo kunatiwa mada ambazo husababisha allergy kwa watumiaji.

No comments: