Monday, November 9, 2009

Kula nyanya kwa Afya yako!


Pengine wengi tunafikiri nyanya hazina umuhimu sana kwa mwili, lakini labda kwa kujua yanayopatikana ndani yake, tukabadilika mawazo yetu. Nyanya si kiungo cha chakula tu kinachotoa ladha nzuri kwenye mchuzi na kachumbari lakini pia zina faida kubwa kwa mwili.
Nyanya inaupatia mwili wetu faida zifuatazo.
• Vitamin C, A na K
• Pottasium
• Manganese
• Ufumwele
• Cromium
• Vitamini B1 na B6
• Chuma
• Kopa
• Vitamin B2 na B3
• Magnesium
• Folate, Phosphorous
• Protini ingawa kwa kiasi kidogo.
• Tryptohan, Folate na Molybdenum.

Kweli inabidi kwa kujua hivyo, tusiidharua nyanya tena!

1 comment:

Unknown said...

Asante kwa some zuri